Mwanamke msagaji ameniambukiza virusi vya ukimwi.

Mwanamke msagaji ameniambukiza virusi vya ukimwi.

SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA: WANAFUNZI WA KIKE WANAO JAMIIANA NA WASICHANA WENZAO KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA WASICHANA NCIHINI TANZANIA.


SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA


MADENTI.jpg


dentiuchi.jpg

Mambo yanayo fanywa na baadhi ya dada zetu wa shule wawapo mashuleni..Kuna pepo baya sana lililo apishwa kuwaingia, kuwateketeza na kuwaharibu watoto wa kike . Pepo linafanya kazi kwa kushirikiana na mapepo mengine kumi na mawili . Mapepo yote haya yanatoka baharini ( Marine Spirits ) . Nitalizungumzia suala hili baadaye baada ya kuhitimisha makala haya. Nitaeleza namna pepo hilo linavyo fanya kazi na jinsi ya kuwanusuru binti/dada zako dhidi ya mikono ya pepo hao wachafu.




Nitalielezea suala hili kwa kuuchambua utafiti wa mwanadada Cecilia Izahaki, ulio fanyika katika shule tatu za sekondari za wasichana zilizopo mkoani Kilimanjaro.
UCHAMBUZI WA UTAFITI " FEMALE ADOLESCENTS' KNOWLEDGE ON HOMOSEXUAL RELATIONSHIPS AND THEIR EFFECTS IN LEARNING: The Case Of Moshi Rural District Area. By . Cecilia Izahaki ( 2006 ); A Dissertation Submitted in Partial Fulfillment of the Requirement for the Degree of Masters of Arts in Applied Social Psychology ( MAASP), University Of Dar Es salaam, September, 2006.

Mnamo mwaka 2005, mtafiti Cecilia Izahaki kutoka Chuo Kikuu Cha Dar Es salaa, alienda kufanya utafiti katika shule tatu za sekondari za wasichana za bweni zilizopo mkoani Kilimanjaro kaskazini mwa Tanzania. Utafiti huu ambao ulikuwa sehemu ya kukamilisha masomo yake ya SHAHADA YA UZAMILI KATIKA SANAA NA SAIKOLOJIA YA JAMII kutoka katika Chuo Kikuu Cha Dar Es salaam, ulilenga katika kujua ufahamu wa wanafunzi wa kike katika shule za sekondari za wasichana pekee kuhusu suala la ngono za jinsia moja kati ya wanafunzi wa kike mashuleni
( usagaji ) na namna linavyo waathiri wahusika katika masuala yao ya kitaaluma. Ufuatao ni uchambuzi ( kwa ufupi ) wa matokeo ya utafiti huu, fuatana na mimi hadi mwisho . Kutokana na ukubwa wake nitachambua baadhi ya sura na vipengele vilivyomo ndani ya ripoti ya utafiti huu . Nitajikita kwenye vipengele vinavyo onyesha namna ambavyo suala la usagaji limeshamiri miongoni mwa wanafunzi wa kike katika baadhi ya shule za sekondari za wasichana.


1.. Female students' Knowledge on types of Sexual Relations and Homosexual Practices........Page.55.

Kwa mujibu wa mwandishi Cecilia Izahaki, kipengele hiki kimalenga katika kubaini ufahamu wa wanafunzi wa kike kuhusu aina za mahusiano ya kingono na mahusiano ya jinsia moja. Mtafiti alitumia njia ya mahojiano ( interview ) ambapo aliwaweka wanafunzi katika makundi matatu ( Focus Group Discussions ) . Kundi la kwanza liliwahusisha, Form 1 na form II, kundi la pili liliwahusisha Form 3 & 4, na kundi la tatu liliwahusisha From 5 & 6. Mtafiti anaelezea katika ripoti yake kuwa aligundua wanafunzi wa tatu na nne, walikuwa na ufahamu mkubwa sana kuhusu aina mbalimbali za ufanyaji ngono pamoja na suala la ngono za jinsia moja kwa ujumla wake.

Mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne mwenye umri wa miaka 18 alisema :

" Kujamiiana ni kitendo cha kukutana kimwili kati ya mwanamke na mwanaume, mwanaume na mwanaume au mwanamke na mwanamke "

Mtafiti anaeleza ya kuwa baada ya dada huyo kutoa definition hii ya kujamiiana, ilitokea hali ya kubishana kidogo kuhusu uhalisia wa maana hii, lakini mwisho wa siku, wanafunzi wote wa kidato cha 3 na 4 walikubaliana na definition hii..

Mtafiti anaendelea kueleza kuwa katika kundi la wasichana wa kidato cha kwanza na pili, msichana mmoja mwenye mika 13 alisema :

" Kujamiiana ni kitendo cha kukutana kimwili kati ya mwanamke na mwanaume "

Hata hivyo baadhi yao walikuwa wanauliza maswali mengi kuhusu aina za ngono haramu kama vile ubakaji, usagaji na ushoga.

Mtafiti anahitimisha kwa kujenga hoja kuwa , mitazamo tofauti kuhusu ngono iliyo tolewa na wanafunzi hawa wa kike inaonyesha kuwa wanafunzi wa kike wanao soma katika vidato vya juu yani 3,4,5 na 6 walikuwa na ufahamu mkubwa kuhusu aina mbalimbali za ufanyaji ngono ilhali wale walio kuwa katika vidato vya chini yaani cha pili na cha kwanza ambao umri wao ni kati ya miaka 12 -15 walikuwa na ufahamu mdogo kuhusu masuala ya aina mbalimbali, sababu kubwa ikiwa ni hao wa vidato vya juu kuwa experience na exposure kubwa kuhusu taarifa mbalimbali zinazo husu masuala ya ngono...

UFAHAMU WA WANAFUNZI WA KIKE KATIKA SHULE ZA WASICHANA KUHUSU USAGAJI.

Wakitoa maelezo yao kuhusu ufahamu wao juu ya suala la usagaji, wanafunzi hawa walikuwa na mawazo yafuatayo. Kwa maelezo ya mtafiti, wanafunzi wengi wa vidato vya juu, (kuanzia kidato cha tatu hadi sita ) waliweza ku define suala la usagaji. Mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne alisema:

" Kusagana ni kitendo cha mwanamke na mwanamke kuwa na mahusiano ya mapenzi ili kumaliza tamaa zao za ngono "

Mwanafunzi mwingine wa kidato cha sita alisema : " Ushoga wa wanawake ni kitendo cha wanawake wawili au zaidi kushirikiana kufanya ngono wao kwa wao bila mwanaume kwa aidha kusagana viungo vya uzazi au kutumia vitu visivyo viungo vya mwili "


UFAHAMU WA WANAFUNZI WA KIKE KUHUSU VIUNGO VYA MWILI PAMOJA NA VITU VISIVYO VIUNGO VYA MWILI VINAVYO TUMIWA NA WANAFUNZI WASAGAJI WAKATI WA KUJAMIIANA NA WASICHANA WENZAO.

Mtafiti aliwauliza wanafunzi na waalimu mbalimbali wa kike katika shule hizo kuhusu ufahamu wao kuhusu viungo vya mwili pamoja na vitu viungo visivyo vya mwili ( artificial objects ) ambavyo hutumiwa na wanafunzi wasagaji wakati wa kujamiiana na wasichana wenzao.

Discipline mistress ( mwalimu wa nidhamu ) wa moja wapo kati ya shule zilizo fanyiwa utafiti alikuwa na haya ya kusema. " During the inspection, we found out that the lesbians were using artificial penis made of soft plastick materials, others used banana, okra anmd doorknobs."


Mtafiti anaeleza katika ukurasa wa 58 wa ripoti ya utafiti huo kuwa ,katika mahojiano haya wanafunzi walitaja viungo na vitu vingine vinavyo tumiwa na wanafunzi wasagaji wa kujamiiana jinsi moja ni pamoja na vidole, test tube, mishumaa, karoti, matango na maindi.

Wanafunzi wa kidato cha sita walielezea namna ambavyo wanafunzi wasagaji hufanya wakati wa kujamiiana kwa jinsi moja na wanafunzi wenzao. Mmoja wao alisema " They normally say that , they begin by touching their sexual organs , sucking breasts; lips and tongues and then join vagina and begin frictioning to each other until they reach the maximum pleasure " @ Uk.59

Mtafiti anahitimisha kwa kusema , maelezo ya wanafunzi hawa ni uthibitisho wa kutosha kuwa wanafunzi hawa wa kike walikuwa na ufahamu wa hali ya juu sana kuhusu tendo la kujamiiana kwa jinsi moja kati ya wanawake kwa wanawake na kwamba kuna uwezekano mkuu kuwa kuna wanafunzi wengi wanao jihusisha na mchezo huo... Endelea kufuatilia mfululizo wa makala haya, muendelezo wa sehemu ya kwanza ya makala haya bado unaendelea na baadaye nitaendelea kufanya uchambuzi wa ripoti ya utafiti huu.
 
Hiyo blog haitoi mwendelezo wa stori ya mwanzo

Stori ya mwanzo, itaendelea tutakapoo fika kwenye kipengele cha " SIMULIZI KUTOKA KWA WANAWAKE WA KITANZANIA WALIOPATA MAAMBUKIZI YA V.V.U KWA KUJAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO NCHINI TANZANIA". Kuna stori za wanawake wengine kumi na mbili ( Jumla wapo kumi na tatu ), video na audio documentary zinakuja pia.
 
[h=3][/h][h=3]SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA: Usagaji Katika Shule za Skondari za Wasichana Nchini Tanzania[/h]

SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA






Bado tunaendelea na uchambuzi wa ripoti ya utafiti FEMALE ADOLESCENTS'KNOWLEDGE ON HOMOSEXUAL RELATIONSHIPS AND THEIR EFFECTS IN LEARNING:A Case Of Moshi Rural District.


VYANZO VIKUU VYA TAARIFA KUHUSU SUALA LA KUJAMIIANA KWA JINSI MOJA MIONGONI MWA WANAFUNZI WA KIKE WANAOSOMA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA WASICHANA ZA BWENI NCHINI TANZANIA.
Mtafiti alitaka kujua vyanzo vikuu vya taarifa kuhusu suala la kujamiiana kwa jinsi moja kati ya wasichana wa kike wanao soma katika shule za sekondari za wasichana za bweni.


Mtafiti aligundua kuwa MSUKUMO RIKA " Peer Pressure" ndio
chanzo kikuu cha taarifa kuhusu mapenzi ya jinsia moja kati ya wasichana mashuleni.




Mmoja wa wanafunzi walio hojiwa alisema


" Mazungumzo ya wanarika letu pia ni chanzo kimojawapo cha habari za mambo ya ngono. Ni kawaida kabisa kuwakuta wanafunzi hapa wakizungumza mambo ya ngono njiani, mabwenini na hata darasani wakati waalimu hawapo "…@ Uk. 61.




Baada ya maelezo ya mwanafunzi huyu wa kike, mtafiti anaongezea kwa kusema, wengi wa wanafunzi wa kike mashuleni hujisikia huru kuuliza kuhusu maswali yanayo husu masuala ya ngono kwa wasichana wenzao ( rika lao ) kuliko mtu mwingine yoyote. Hapa mtafiti anamaanisha kuwa wanafunzi wa kike wawapo mashuleni huwiwa vigumu kuwauliza waalimu wao kuhusu masuala yahusuyo ngono na badala yake huwauliza wanafunzi wenzao. Wakati wa mazungumzo hayo ndipo linapo zuka suala la usagaji..






Vyanzo vingine vilivyo tajwa kwa mtafiti ni pamoja na vitabu vya ngono , internet na mikanda ya ngono. Iligundulika kuwa baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari za bweni za wasichana wanamiliki vitabu vya ngono vinavyo onyesha jinsi ya kujamiiana kwa jinsi moja kati ya mwanamke na mwanamke. Na kuhusu mikanda ya ngono na internet, iligundulika kuwa baadhi ya wanafunzi hasa wale wanao toka maeneo ya mijini huenda mashuleni wakiwa tayari wana ufahamu kuhusu masuala ya ngono za jinsia moja kati ya wanawake kwa wanawake kupitia internet, hivyo wanapokuwa katika majidiliano na wasichana wenzao kuhusu masuala ya ngono, hulizungumzia pia suala la usagaji. Mara nyingi hawa wanakuwa ni wale wa kidato cha tano na sita.. ( KUMBUKA HII ILIKUWA NI MWAKA 2005 , KIPINDI AMBACHO FACEBOOK NA MITANDAO MINGINE YA KIJAMII HAIKUWA MAARUFU, UNADHANI HALI ITAKUWAJE SASA ? )






HALI HALISI YA SUALA LA USAGAJI KATIKA SHULE ZA SEKONDARI ZA WASICHANA ZA BWENI NCHINI TZ PAMOJA NA SABABU ZINAZO WAFANYA WANAFUNZI HAO KUJIHUSISHA NA NGONO YA JINSIA MOJA.






Mtafiti alitaka kujua ni kwa kiwango gani suala la usagaji linafanyika katika shule za sekondari za wasichana. Mtafiti aligundua kuwa kuna kundi kubwa sana la wasichana hususani wanao soma kuanzia kidato cha tatu hadi sita katika shule za sekondari za wasichana pekee nchini ambao wanajihusisha na usagaji mashuleni na kwamba suala hilo limekuwa na athari kubwa sana katika maendelo ya kitaaluma kwa wahusika.










Kuhusu sababu zinazo wafanya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari za wasichana za bweni nchini Tz kujihusisha na usagaji, mtafiti aligundua mambo yafuatayo :


1. KUJIEPUSHA NA MIMBA & UKIMWI.
Kuna ujinga wa hali ya juu sana miongoni mwa wanafunzi wa kike katika shule za sekondari za bweni nchini Tz wanao jihusisha na ngono za jinsia moja. Wengi wao wanaamini kuwa wakijamiiana na wasichana wenzao watajipusha na kupata maambukizi ya virusi vya ukimwi pamoja na mimba. Haya ni maelezo ya mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.


"" Unajua unaweza kumshawishi rafiki yako hadi akakubaliana na wewe kusagana baada ya kumweleza kuwa hawezi kupata mimba wala ukimwi "


Mwanafunzi mwingine ambaye alikiri kujihusisha na usagaji shuleni alisema;
" Unajua mwalimu, ulimwengu ni wa hatari sana siku hizi kutokana na UKIMWI na mimba ukiwa shuleni. Lakini mapenzi ni kitu cha asili ambacho siwezi kukiepuka. Lakini ninapotumia vifaa vya ngono visivyo asiliana na kusagana na rafiki yangu Napata kilele cha raha pasipo kuathirika na UKIMWI wala mimba."


MAONI YANGU : Mwanafunzi huyu anaweza kujiepusha na mimba, lakini hawezi kujiepusha na maambukizi ya ukimwi . Katika sehemu za mbeleni, tutalielezea hili kwa upana wake.




2. MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA AINA YA KUBERI.
Mtafiti aligundua kuwa sababu nyingine inayo wapelekea baadhi ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari za wasichana kujamiiana na wasichana wenzao, ni matumizi ya kilevi aina ya kuberi. Msichana wa miaka 19 alisema :
" Mara nyingi baada ya kutumia kuberi, mtu unashindwa kujizuia kufanya tendo la ngono na mwenzio wa jinsia moja, na baaday inajenga mazoea ".


3. Kutokuwepo na watu wa jinsia tofauti yaani wanaume.
Msichana wa miaka 21 aliyesoma kidato cha sita alisema:
" Hufikia mahali najisikia hamu sana ya kujamiiana kiasi cha kushindwa kuvumilia ndipo humfuata rafiki yangu na kumshawishi tuanze kusagana ili kutimiza ile hamu ya raha ambayo ndio pekee inayo nisumbua "


4. Umasikini
Haya ni maelezo ya msichana wa miaka 19 akisoma kidato cha tatu ;
" Mimi huwa namkubalia shoga yangu kunisaga hasa kwa sababu hunipatia vitu ambavyo sina kama vile ; pafyumu,fedha na biskuti " @ pag 83.


5. Udadisi
Haya ni maelezo ya msichana wa kidato cha tatu, mwenye umri wa miaka 18.
" Mimi nilisikia wenzangu wakizungumza raha wanazo pata kwa kusagana , nikasisimka sana na wengine waliponishawishi nifanye hayo mambo name nikajikuta nimeingia mkenge "


6. Utani / Mzaha.


"Urafiki wetu ulianza baada ya mwenzangu kuwa ananitania Tania name nikawa najibu kwa kumshikashika na kuigiza kama alivyo kuwa ananitania kuwa mimi ni mme wake mwishowe tukawa tunasisimka na kuanza kusagana "




Mtafiti alitaka kujua kuhusu hali halisi ama mwenendo mzima wa maisha ya wanafunzi wa kike wanao jamiiana wanasichana wenzao mashuleni. . Alitaka kujua sifa za wasichana hao na jinsi wanavyo ishi wakiwa shuleni. Wanafunzi wa kidato cha tatu hadi sita , waliweza kusema bila wasiwasi kabisa kuwa wanafunzi wasagaji huonyesha sifa zifuatazo;
Mara nyingi hutembea pamoja, mmoja anaongea na kujifanya kama mwanaume, na mwingine anatumia muda mwingi kujiremba.
" Mimi huwa ndiye mwanaume, na namtimizia mahitaji yote madogo madogo, naye hunifulia nguo,kutandika kitanda , kun'garisha viatu na kupiga kiwi viatu na kunyoosha" . Haya ni maelezo ya msichana wa kidato cha sita mwenye umri wa miaka 20 ambaye katika mahusiano haya husimama kama mwanaume., Yanapatikana katika ukurasa wa 85 wa ripoti hiyo.
Mara nyingi huoga pamoja, wanavaliana nguo, wanatumiana kadi za mapenzi na barua za mapenzi. Kwa mfano maneno machache kutoka katika barua moja wapo iliyoletwa kwa mtafiti kama ushahidi ina maneno yanayo someka kama ifuatavyo :


" Mpenzi , nikikumbuka penzi lako motomoto ulilonipa jana, nashindwa hata kusoma. Ninakuomba leo tukutane wakati wa ‘prepo' nyuma ya choo, unidunde tena "




Tabia nyingine iliyotajwa ni kusalimiana kwa kuitaana majina kama vile " sweet, darling, husband na honey na wakati mwingine kupenda kukaa pamoja sehemu za giza .


Vilevile, wanapenda kutomasana na kubusiana kwa mahaba mazito. Pia wanapenda kuvaliana nguo za ndani kama vile chupi na underskirts. Mara nyingi Yule mwenye uwezo mzuri wa kifedha humletea mwenzake zawadi kama vile pipi, matunda, handkerchiefs, kalamu, madaftari nakadhalika, wakati mwenzake asiye na uwezo wa kifedha, hubeba jukumu la kufua nguo, kutandika kitanda na kupiga kiwi viatu vyao wote. Mwanafunzi mmoja wa kutoka kidato cha nne alisema
" Pia wasagaji wengi wana tabia ya kutomasana sehemu zao za siri na kwenye matiti na wanakuwa wanaona aibu aibu hata kwa wasichana wenzao hasa wakijua kuwa wameshajulikana kuwa ni wasagaji "


Tabia nyingine ni pamoja na kutumiana salamu kwa kuandika ujumbe kwenye karatasi na/au simu za mkononi kwa kuandikiana maneno kama " Tukutane wapi leo?".Kipande cha karatasi kilichokuwa na maneno yaliyotumwa kutoka kwa msichana mmoja kwenda kwa mwenzake yalisomeka kama ifuatavyo :
"…..macho yako yan anivutia sana,…tembea yako yanitia wazimu wa mapenzi"


ATHARI ZAKE


i. Kujitenga/ Kutengwa
" Mara nyingi wasagaji hujitenga kulingana na couples zao na huwa hawashei vitu vyao na watu wengine ,na hata kwenye group discussions huwa hawashiriki "
'


ii. Kuathirika kisaikolojia
" Wasagaji wanahamaki sana hata kwa vitu vidogo tu. Kwa mfano, ukiazima kandambili wakati wao hawapo huja wakaanzisha ugomvi mkubwa na wanapiga kelele kiasi kwamba watu wote bwenini wanasikia "


iii. Kupatwa na majeraha baada ya tendo la kusagana kwa kutumia vifaa bandia vya kiume.
" Unajua mwalimu ingawa nafurahia kutumia zana zisizo asilia, mwishoni huwa nasikia maumivu na kuwa na wasiwasi kuwa nimejiumiza sehemu zangu za siri"






iv. Kufukuzwa shule :


Vitabu vya rekodi za nidhamu vilionyesha kuwa kuanzia mwaka 2001 hadi 2004, wanafunzi wapatao 158 wamefukuzwa katika shule zote tatu baada ya kuthibitika kuwa wana jihusisha na ngono ya jinsia moja. Kumbukumbu zinaonyesha kuwa kulikuwa na wanafunzi 48 kwenye shule ya kwanza, wanafunzi 58 kwenye shule ya pili na wanafunzi 52 kwenye shule ya tatu , katika shule zilizo fanyiwa utafiti. @ Uk.69.


Matoke haya yanaungwa mkono na taarifa ya gazeti la majira , Toleo Na. 3563, Vol.II/1573, Jumatano , Oktoba 8,2003 lilo kuwa na kichwa


" Wasichana 17 Weruweru wasimamishwa kwa usagaji "
Na. Amina Juma, Moshi.


WANAFUNZI 17 wa shule ya Sekondari ya wasichana ya Weruweru wilayani Hai, Kilimanjaro, wamesimamishwa masomo kwa muda usio julikana wakidaiwa kujihusisha na vitendo vya usagaji. Akizungumzia adhabu hiyo, Kaimu Mkuu wa Shule hiyo Sista Amantia, alisema kuwa adhabu hiyo imekuja baada ya uongozi wa shule kubaini kuwepo kwa vitendo hivyo, Alisema wanafunzi hao walio simamishwa Septemba 30, mwaka huu, watalazimika kukaa nje ya shule na kukosa masomo hadi hapo Bodi ya Shule hiyo, itakapo kutana, Oktoba 10 mwaka huu kwa ajili ya kuwajadili wanafunzi hao na kutoa uamuzi………..I


v. Kukosa hamu ya mapenzi kwa wanaume
" Wavulana ndio nini bwana?. Hawawezi kunitosheleza na kunifikisha kilele cha raha. Najua jinsi ya kufika kilele cha raha lakini sio kutokana na wavulana "


vi. Kuwa watoro wa vipindi n.k.
Mtafiti anamalizia kwa kutoa mapendekezo ya suluhisho la tatizo hili, sitayaelezea leo, nitayaelezea wakati natoa mapendekezo yangu.


N.B: Huu ni uchambuzi wangu kwenye utafiti ulio fanywa na Mtafiti Cecilia Izahaki. Katika sehemu ya pili ya makala haya ambayo inahusu sababu zinazo wafanya wanawake kujamiiana na wanawake wenzao nchini Tanzania, tumelielezea pia suala la usagaji mashuleni kwa kutumia data zinazo tokana na utafiti wetu, so stay tuned.


Ntamalizia sehemu ya kwanza kwa kuelezea suala la usagaji katika taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania.
 
MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA : USAGAJI KATIKA TAASISI ZA ELIMU YA JUU NCHINI TANZANIA.


SOURCE : http://www.mungwakabili.blogspot.com


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Picha ya wanafunzi wa Chuo Kikuu: ANGALIZO : Wanafunzi hawa hawahusiani na habari hii wala makala haya.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa mujibu wa utafiti wetu, wanawake wanao jihusisha na usagaji katika taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania, wapo katika makundi mawili, kundi la kwanza , ni la wale walio anza na mchezo huo tangu wakiwa katika shule za sekondari za bweni, sasa wamekutana tena chuo kikuu na kuamua kuendelea na mchezo wao. Kundi la pili linawahusisha wasichana ambao wameingia kwenye usagaji kwa sababu zinazo fanana na wanawake wengine ambao sio wanafunzi. Hivyo basi hatutalizungumzia sana suala hili hapa, ila tunaahidi kulizungumzia wakati tunaelezea kuhusu sababu zinazo wafanya wanawake kuingia katika mahusiano ya jinsi moja. Fuatilia blogu hii, kuanzia kesho ambapo tutaanza kuiangalia sura ya pili ambayo inaelezea kwa kina sababu haswa zinazo wafanya wanawake kuingia katika usagaji.
MWISHO WA SEHEMU YA KWANZA. SEHEMU YA PILI, INAZIELEZEA KWA KINA SABABU ZINAZO WAFANYA WANAWAKE KUJAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO ( A CASE OF TANZANIA ). NITAANZA KUZIWEKA HAPA MOJA BAADA YA NYINGINE KUANZIA KESHO ( TUOMBE UZIMA )..... Au mmechoka?
 
SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA : USAGAJI KATIKA TAASISI ZA ELIMU YA JUU NCHINI TANZANIA.


SOURCE : www | Error. mungwakabili. blogspot.com


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Picha ya wanafunzi wa Chuo Kikuu: ANGALIZO : Wanafunzi hawa hawahusiani na habari hii wala makala haya.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kwa mujibu wa utafiti wetu, wanawake wanao jihusisha na usagaji katika taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania, wapo katika makundi mawili, kundi la kwanza , ni la wale walio anza na mchezo huo tangu wakiwa katika shule za sekondari za bweni, sasa wamekutana tena chuo kikuu na kuamua kuendelea na mchezo wao. Kundi la pili linawahusisha wasichana ambao wameingia kwenye usagaji kwa sababu zinazo fanana na wanawake wengine ambao sio wanafunzi. Hivyo basi hatutalizungumzia sana suala hili hapa, ila tunaahidi kulizungumzia wakati tunaelezea kuhusu sababu zinazo wafanya wanawake kuingia katika mahusiano ya jinsi moja. Fuatilia blogu hii, kuanzia kesho ambapo tutaanza kuiangalia sura ya pili ambayo inaelezea kwa kina sababu haswa zinazo wafanya wanawake kuingia katika usagaji.
 
417046_277557248987224_1941483665_n.jpg

Kwa mujibu wa utafiti huu, wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao, nchini Tanzania, wanafanya hivyo kwa sababu zifuatazo :

1. UDADISI : Kwa mujibu wa kamusi ya Kiswahili sanifu, neno " udadisi " maana yake ni ile hali ya mtu kuwa na nia ama shauku thabiti ya kutaka kujua ama kufahamu kuhusu kitu, jambo au hali fulani eidha kwa kugusa, kuona, kusikia ama kuonja. Utafiti wetu umetuwezesha kugundua kwamba kuna kundi kubwa sana la wanawake na wasichana wanao ingia katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao kwa sababu tu ya udadisi wa kutaka kujua kilichomo ndani ya mahusiano ya jinsi moja.

" Nilitaka kujua ni kitu gani kinawafanya baadhi ya wanawake hadi kufikia hatua ya kuingia katika mahusiano ya kimapenzi na wanawake wenzao "…… Eliza.

Naye Belinda, anasema
" Nia yangu ilikuwa ni kutaka kujua tofauti iliyopo kati ya kujamiiana mwanamke kwa mwanaume na kujamiiana kati ya mwanamke na mwanamke mwenzake, ndio maana nikaamua kuingia katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzangu "
Oliva anaelezea
" Mimi nilitaka kujaribu tu kuona kama kuna raha yoyote kwenye kujamiiana na mwanamke mwenzangu "

" Nilikuwa silioni suala la kujamiiana kati ya mwanamke na mwanamke kama jambo linalo wezekana, ndio maana nikaamua kutafuta mwanamke mwenzangu na kujaribu kufanya naye ili nione inakuwaje "…………….Jamila.

" Kila siku nilikuwa najiuliza hivi kweli mwanamke mwenzangu anaweza kuniridhisha kimapenzi? Mwishowe nikaamua kuingia katika mahusiano na mwanamke mwenzangu kuona kama hilo linawezekana "…….Zubeda.

" Mimi nilitaka kujua huwa inakuwaje kuwaje pindi mwanamke anapofanya tendo la kujamiiana na mwanamke mwenzake "………………..Rose
" Mimi kwa upande wangu nilitaka kuona namna inavyokuwa pindi tendo la kujamiiana lifanyikapo baina ya mwanamke na mwanamke "…………………Flora.

" Nilikuwa napenda sana kutazama mikanda ya ngono, siku moja nikaona kipande cha mwanamke akiwa anajamiiana na mwanamke mwenzake, nilishangaa sana kusema ukweli, na nikajikuta natamani na mimi nijaribu kufanya na mwanamke mwenzangu ili nione itakuwaje. Kwa kuwa nimeolewa na ninaishi na mume wangu ambaye muda mwingi anakuwa safarini, siku moja nikamuita house girl wangu nikamuomba tuangalie pamoja, mkanda wa ngono, ilipofika sehemu ya mwanamke kwa mwanamke nikamsogelea na kumuomba na sisi tujaribu tuone inakuwaje. Hivyo ndivyo ilivyokuwa namna nilivyo ingia katika mahusiano ya jinsi moja na mwanamke mwenzangu"…………………..Sofia

" Mara kwa mara nilikuwa nasoma kwenye magazeti kuhusu wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao, mwanzoni sikutilia sana maanani lakini kadri siku zilivyo zinazidi kwenda ndivyo nikawa nakutana na habari za aina hiyo, hatimaye sasa nikaamua na mimi nione mwenyewe inakuwaje kuwaje pindi mwanamke anapo jamiiana na mwanamke mwenzake "…Irene.

" Mimi nilitaka nithibitishe kama yaliyokuwa yanasemwa kuhusu usagaji ni kweli. Nilikuwaga nasikia wanasema sijui wasagaji wana mapenzi ya kweli na ni wazuri sana kitandani. So nikawa nataka kujua kama kinachosemwa ni kweli. Mwisho wa siku nikajikuta nimeingia kwenye mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzangu ". ………………Salome.

"

MAMBO YALIYO WAFANYA WANAWAKE HAWA KUPATWA NA UDADISI WA KUTAKA KUJARIBU KUJAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO.
Mambo huwa hayatokei tu yenyewe, bali huwa yanasababishwa kutokea. Baada ya kugundua kwamba asilimia kubwa ya wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao nchini Tanzania wameingia katika mahusiano hayo kwa sababu tu ya udadisi wa kutaka kujua kilichomo ndani ya aina hiyo ya mahusiano, nilitaka kujua ni kitu gani haswa ambacho kiliwafanya wanawake hao kupatwa na udadisi wa kutaka kufanya tendo la kujamiiana na wanawake wenzao jambo ambalo ni kinyume na utaratibu uliowekwa na Mungu achilia mbali mila na desturi zetu watanzania. Jibu la swali langu lilikuwa ni :
UGENI WA JAMBO LENYEWE PAMOJA NA ASILI YA MAUMBILE YA MWANAMKE.

Kwa mujibu wa utafiti huu, jambo kuu lililo wafanya wanawake hawa kupatwa na udadisi wa kutaka kujaribu kujamiiana na wanawake wenzao ni ugeni wa jambo lenyewe katika jamii yetu pamoja na maumbile asilia ya mwanamke .
Suala la wanawake kujamiiana na wanawake wenzao ni suala geni sana katika jamii yetu. Hakuna nyaraka wala kumbukumbu zozote zile zinazo julikana ambazo zinaeleza kuhusu uwepo wa wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao katika Tanzania ya kabla ya ujio wa wakoloni. Taarifa kuhusu uwepo wa wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao katika jamii yetu zimeanza kusikika kwa mara ya kwanza mnamo mwanzoni mwa miaka ya 2000.
Uwezekano wa kufanyika kwa tendo la kujamiiana kati ya mwanamke na mwanamke ni jambo ambalo haliwezekani katika fikra za mtu anayelisikia kwa mara ya kwanza. Hii inatokana na maumbile asilia ya mwanamke. Maumbile asilia ya mwanamke hayaruhusu uwezekano wa kufanyika kwa tendo la kujamiiana kati ya mwanamke na mwanamke. Huo ndio utaratibu ulio wekwa na Mwenyezi Mungu na hakuna yoyote anaye weza kuubadilisha ukweli huu.
Kama hiyo haitoshi, uwezekano wa kuwepo kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya mwanamke na mwanamke ni jambo lisilowezekana kibaiolojia, kihulka na hata kijamii. Wanawake wawili wanaweza kuwa maadui wazuri kuliko wanavyo weza kuwa marafiki, achilia mbali kuwa wapenzi wazuri. Mwanamke anaweza kumpenda mwanamke mwenzake kama mama yake, dada yake, shangazi yake, mama yake mdogo, bibi yake au binti yake na wala si kama mpenzi wake.

Hivyo basi, mtoto wa kike ambaye uwezo wake wa kufanya maamuzi sahihi ni mdogo, pindi anaposikia kwa mara ya kwanza kuhusu uwepo wa wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao anaweza kupatwa na hali ya udadisi wa kutaka kujua namna inavyo kuwa katika mahusiano hayo, kwa sababu ni jambo ambao si la kawaida.

Mwanamke huyu anaweza kujikuta akipatwa na udadisi wa kutaka kujua kilichomo katika mahusiano ya jinsi moja kati ya mwanamke kwa mwanamke.
Hebu tujaribu kutazama visa vya akina dada hawa. Diana ni msichana mwenye umri wa miaka 25 ambaye aliwahi kuwa katika uhusiano wa jinsi moja na wanawake tofauti tofauti kwa takribani miaka mitatu. Anatuelezea kisa chake juu ya namna alivyo anzisha uhusiano na msichana mwenzake kwa mara ya kwanza. Maelezo ya Diana, yatatuonyesha namna ambavyo udadisi unaweza kumfanya mwanamke kutaka kujaribu kujamiiana na mwanamke mwenzake.


" Niliyaanza nikiwa kidato cha pili mwaka 2003 baada ya kujihisi tofauti na wasichana wengine, kwani nilikuwa napenda sana kukaa, kuzungumza na hata kucheza na wavulana ninapokuwa shuleni hata nyumbani. hali hiyo ilinipelekea kuanza kuwatamani na kuwatongoza wasichana kama wanavyofanya wavulana, mwaka huohuo mwishoni akatokea msichana niliyekuwa nikiishi nae mtaani kwetu na kunibeza '' unawezaje kuniridhisha ikiwa na wewe ni msichana kama mimi?'' ndipo nilipomsihi tujaribu. tangu hapo tukawa wapenzi tunaokutana kwa siri mpaka ilipofika mwaka 2005 ambapo yule binti alifariki kwa ajali ya gari.Nilipoanza kidato cha tano mwaka 2006 katika shule ya wasichana watupu iliyopo mbeya, nilipata msichana mwingine ambaye nae alishaanza hayo mahusiano, na hvyo kufanya mapenzi yetu kuwa mazito kiasi cha kuanza kushukiwa na wanafunzi wenzetu pale shuleni. Nilipomaliza kidato cha sita february, 2008, nilitengana na yule mpenzi wangu aliyekuwa akiishi kulekule mbeya na kurudi nyumbani Dar es salaam. Kutokana na tabia zangu kuwa tofauti na ndugu zangu wa kike, kwani nilikuwa navaa nguo za kiume, nanyoa 'panki', na hata kuanza kuvuta bangi na wavulana wa pale mtaani, wazazi wangu walinibana na kunihoji kulikoni. niliamua kuwaeleza ukweli kuwa sikuwa najihisi kama mtoto wa kike kwa ujumla. Ilipofika mwezi mei, wazazi wangu walinitafutia mwanasaikolojia ambaye alianza kuja nyumbani na kunifanyia 'counselling' juu ya jinsia yangu ya kike na madhara nitakayopata ikiwa nitaendelea na tabia hyo na pia kunishauri nianze kukaa na wasichana ili nijifunze tabia na mienendo ya kike.Tangu hapo sikuwa nimejihusisha na 'usagaji' tena, na nilipofika mwaka wa pili chuoni nikaanza mahusiano na mwanaume ambaye nipo naye mpaka leo. "
Tazama sentensi iliyo pigiwa mstari. Maelezo haya yanathibitisha pasi na shaka yoyote kwamba msichana huyo hakuona uwezekano wa kufanyika kwa tendo la ndoa kati ya mwanamke na mwanamke ndio maana akamuuliza huyo Diana, anaweza vipi kufanya naye ikiwa na yeye ni mwanamke kama yeye. Msichana huyu aliingia kwa mara ya kwanza katika uhusiano wa jinsi moja na msichana mwenzake kwa nia ya kuthibtisha kama kweli inawezekana kwa msichana kujamiiana na msIchana mwenzake.
Jamila ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32, amekuwa katika mahusiano ya jinsi moja kwa takribani miaka mitatu. Anasema, baada ya tabia yake kujulikana, baadhi ya wanawake na wasichana wamekuwa wakimfuata kwa nia ya kuomba kuanzisha naye uhusiano wa jinsi moja
" Ninapowauliza wamevutiwa kitu gani na mimi wanasema wanataka tu kujaribu kuona inavyo kuwa " …… Anasema.

" Nilikuwa sijawahi kusikia kabisa kuhusu kuwepo kwa wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao. So siku niliposikia kwa mara ya kwanza, nilishangaa sana na nikataka kujua inakuwaje, so nikaamua kufuatilia hadi nione mwisho wake. "….. Belinda.

 
SABABU YA PILI : KUIGA NA KUTUKUZA TAMADUNI ZA KIMAGHARIBI


source : ULIMWENGU USIONEKANA


555807_281548321921450_1354973469_n.jpg








Moja kati ya athari mbaya zilizo achwa na watawala wa kikoloni barani Afrika, ni kile kinacho julikana kama " Utumwa Wa Kifikra " . Utumwa huu wa kifikra ndio unao wafanya vijana wengi wa kiafrika kuabudu kitu chochote kile ambacho wanadhani ama kuamini kuwa ni utamaduni wa kizungu ama utamaduni wa kimagharibi so to say.
Miongoni mwa kundi la vijana walio athiriwa na jambo hili ni baadhi ya wasichana na wavulana wa kitanzania hasa waishio mijini na wale walio kwenda kwenda shule. Tazama nguo wanazo vaa, namna wanavyo ongea, mitindo ya nywele zao, na mitazamo yao kuhusu masuala mbalimbali kama vile, mahusiano, familia nakadhalika, vyote kwa pamoja ni akisi ya mtindo wa maisha ya wadada na wakaka w wenzao waliopo katika nchi za kimagharibi. Kwa ufupi ni kwamba chochote kile kitakacho aminika kuwa cha kimagharibi, kita thaminiwa na kutukuzwa sana. Yeyote anaye fanya chochote cha kimagharibi atawekwa katika kundi la watu wanao kwenda na wakati na kwa yeyote atakaye kwenda kinyume chake basi atawekwa katika kundi la watu washamba wanaoishi nyuma ya wakati wao. Kuwaelezea wasichana waliopo katika kundi hili kwa sentensi moja ya kiingereza ni kwamba " They are trying to be as much as Europeans as much as possible "
Miongoni mwa wasichana waliopo katika kundi hili,wapo wasichana ambao wamekwenda mbali zaidi kwa kufikia hatua ya kuingia katika mahusiano ya kijinsia moja huku wakidhani kwa kufanya hivyo wanakwenda na wakati. Kwa bahati mbaya sana, wasichana hawa wanadhani ama kuamini kwamba usagaji ni sehemu ya utamaduni wa kimagharibi na ndio sababu wanajiingiza katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo ni kwenda na wakati na ndio umagharibi ama uzungu wenyewe.

" Kuna mdada mwenzangu alinitongoza na kuniomba tuwe wapenzi, nilivyo mwambia kwamba siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke mwenzangu alinishangaa sana na kuniuliza ninaishi dunia ya wapi coz wasichana wajanja wa mjini wote wana jihusisha kimapenzi na wasichana wenzao "………………….Anastazia.

" Room mates wangu karibu wote wapo katika mahusiano ya jinsi moja, nakumbuka siku moja niligombana na boyfriend wangu kwenye simu huku wawili kati ya hao rafiki zangu wakiwa wanasikiliza , baada ya kumaliza kuongea na simu, mmoja wao alini ponda sana huku akiniambia " Yani wewe mpaka karne hii badogo tu unahangaika na wanaume? Hayo yalikuwa mambo ya kizamani shosti, siku hizi wasichana wajanja tunapendana sisi kwa sisi .Shauri zako endelea hao pasua vichwa"…………..Radhia.

" Siwezi kuwa na boy friend coz hayo ni mambo ya kizamani, mpango uliopo sasa hivi ni gal kwa gal " ………………Angel.

Kuthibitisha hoja yangu hii, fuatilia habari hii iliyoripotiwa na gazeti la Risasi la tarehe 4, Agosti 2010 yenye kichwa : MSANII ATESWA NA USAGAJI!; Awakimbia mashotito wake.
Na. Gladness Mallya.

  • Msanii anayekwenda juu katika Filamu za Kibongo, Kelvina John amepiga kelele akilalamikia tabia ya baadhi ya mashostito wake (majina tunayo) kumtaka wasagane, Risasi Mchanganyiko ndilo lenye data.

    Msanii huyo ambaye ameondokea kuwa na ‘taito' kufuatia kuwa mzuri katika uigizaji, aliongea na gazeti hili hivi karibuni na kuweka kweupe kuwa, amekuwa akishangaa sana kuona kila shostito wake, humwalika kulala kwake, lakini akikubali, usiku anaombwa kusagana hali inayomfanya awe anatimua usiku huo huo kurudi kwake, Sinza Madukani.

    "Nashindwa kuelewa sababu ni nini. Mimi si msagaji, lakini karibu mashoga zangu wote ni wasagaji," alisema Kelvina.
    Akaendelea: "Kila anayeniomba nikalale kwake, nikikubali, usiku ananifanyia dalili za kutaka kunisaga, jamani, sijui wakoje hawa watu."

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, msanii huyo anayeonekana vyema kwenye tangazo la kampuni moja ya simu iliyobadili jina lake hivi karibuni, aliwataja kwa majina mashostito wake hao ambao kwa sasa gazeti linawahifadhi.

    Kelvina ambaye amewahi kuolewa na mtoto wa mfanyabiashara maarufu nchini na aliyewahi kuwa kigogo wa chama tawala, alisema mkasa uliompata mara ya mwisho kwa shoga yake mmoja maeneo ya Sinza-Kamanyola ndiyo yaliyomsukuma kuanika kila kitu.

    Alisema kuwa, hivi karibuni alitumiwa meseji na rafiki yake huyo ambaye alimwomba wakalale wote kwa vile siku hiyo, boifrendi wa huyo shoga yake hakuwepo jijini Dar.

    Anasema alipofika, waliongea kwanza kama marafiki kisha wakapanda kitandani kulala.
    Anasema: "Saa tano usiku, nikashangaa ananivutia kwake na kunikumbatia. Nilipomuuliza akajifanya alipitiwa."

    Kelvina anasema kuwa, alipokuwa anapitiwa na usingizi, alishangaa kumwona shoga yake huyo akitaka kupanda juu yake na ndipo alipomsukuma na kuamka kisha akawasha taa akimshangaa.

    Anasema: "Nilipomuuliza, akasema eti nisijifanye siyajui mambo ya mjini. Kusema ukweli aliniboa sana, usiku huo huo nikaondoka zangu bila kuogopa muda."
    Mwsho, Kelvina iliwataka mademu wa Bongo kujitenga na tabia ya usagaji kwani haina faida na ni chukizo kubwa mbele ya Mungu.
Msisitizo wangu upo hapo kwenye sentensi iliyo kolezwa kwa wino. Sentensi hiyo inatuthibitishia namna ambavyo baadhi ya wasichana wa kitanzania, huingia katika mahusiano ya jinsi moja wakiamini ati wanakwenda na wakati na kwamba huo ndio ujanja.

Kama bado hauja kubaliana na hoja hii hebu rejea kusoma mada hii :
[h=3]· TABIA CHAFU ILIYOANZISHWA NA WASICHANA WA DAR ES SALAAM[/h]

CHANZO : Sintah.Com: TABIA CHAFU ILIYOANZISHWA NA WASICHANA WA DAR ES SALAAM
Hi wadauzz

Mamboz
kuna tabia chafu ambayo wasichana wengi wa Dar es salaam hata wasanii wa kike wamekuwa nayo,hii tabia ni ya kujiusisha na ngono ya jinsia moja(usagaji)
sielewi hili balaa limeanzia wapi eti ni fashion,yaani wasichana wengi wa Dar wakiwemo wasichana maaruf they do practise,kwangu mimi sijaifurahia kwani kama wasichana maarufu ambao ni kioo cha jamii wanatia aibu hakuna fashion ya usagaji jamani fanyeni vyote ila sio hii
hii ninawapa the ist awaken call,wakiendelea nitawataja humu humu maana watu kama sisi tumeletwa kwa ajiil ya kusaidia jamii ukizingatia kizazi kipya kinakuwa
ukinichukia alrit,ukinipenda alrit mimi ndio mim,

Kumbuka hii ni kuwaambia wajirekebishe, tuu ila ikiindelea tutawaanika humu.
Msisitizo wangu upo hapo kwenye sentensi iliyo kolezwa kwa wino. Maelezo hayo yanatuthibitishia kwamba lipo kundi la wasichana wa mijini ambao wanaingia kwenye mahusiano ya jinsi moja kama fashion tu ili waonekane na wao wanakwenda na wakati ama hawajapitwa na umagharibi. Swali zuri la kujiuliza hapa ni je? Ni kweli mahusiano ya jinsi moja ni utamaduni wa kimagharibi kama wanawake hawa wanavyo dhani ama kuamini? Jibu linapatikana kwenye sehemu za mbele za makala haya.
 
KUTAFUTA MARIDHISHO YA KINGONO







SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA






Hii inawahusu zaidi wanawake ambao wamewahi kuwa katika mahusiano na wanaume wasioweza kuwaridhisha kimapenzi ama wanawake waliomo ndani ya ndoa lakini wanaume wao hawana uwezo wa kuwaridhisha kimapenzi.
Uchunguzi wetu umegundua kwamba kuna idadi kubwa sana ya wanawake nchini Tanzania , wanaoingia katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao kwa nia ya kutafuta maridhisho ya kingono ambayo wanayakosa ama wameyakosa kwa wanaume.
Imani iliyo jengeka miongoni mwa Jamii ya watu wenye kufuatilia habari kuhusu wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao katika jamii yetu ni kwamba ati wanawake wasagaji wana uwezo mkubwa wa kuwaridhisha kingono wanawake wanao jamiiana nao kuliko ambavyo wanaume wanaweza ama kwa lugha nyingine wanawake wana uwezo mkubwa sana wa kuwaridhisha kingono wanawake wenzao kuliko wanaume wanavyo weza kuwaridhisha wanawake.


" Unajua tangu nilipo achana na boy friend wangu miaka mitatu iliyo pita sijawahi kubahatika kukutana na mwanaume mwenye uwezo wa kunifikisha kileleni kama my ex boyfriend, hali hiyo ili nifanya niwe nabadilisha marafiki wa kiume mara kwa mara bila mafanikio. Hali ilinichanganya sana na sikujua nitafanya nini kumpata mwanaume mwenye uwezo wa kuniridhisha kimapenzi kama ilivyo kuwa kwa my ex - boyfriend. Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii na mitaani huko, nikakutana na taarifa zinazo sema kuwa wasagaji wapo hot sana kitandani na uwezo mkubwa wa kumfikisha mwanamke kileleni kushinda hata wanaume. Kwa kuwa lengo langu kuu ilikuwa ni kumpata mtu wa kunifikisha kileleni, nikaamua kumtafuta mwanamke msagaji ili niweze kukipata kile nilicho kikosa kwa wanaume."................Felista.


"


" Unajua tatizo, wanaume wengi wa siku hizi wana papara sana katika mapenzi na wengi huwa wanashindwa kuturidhisha ama kutufikisha kileleni, na hili ni tatizo linalo wakumba wanawake wengi sana. Mimi pia ni muhanga wa tatizo hili. Unakuta mwanaume wakati wa tendo la ndoa anakuparamia tu hovyo hovyo, hakuandai wala nini, anakuwa mbinafsi kwenye tendo, anacho jua yeye ni kumaliza shida zake tu baada ya hapo anakupa mgongo wakati wewe mwenzako bado unamuhitaji. Nilikuwa katika wakati mgumu sana kuishi na mwanaume wa aina hii na ndoa yangu nikawa naiona chungu, mara kadhaa nikawa nafikiria kutoka nje ya ndoa lakini nikawa nasita. Katika hangaika hangaika yangu ya kupata suluhisho la tatizo langu nikakutana na taarifa kwamba wanawake wasagaji wana uwezo mkubwa wa kuwaridhisha kingono wanawake wanao jamiiana nao. Kabla ya hapo niliwahi kuwa nimesikia kuhusu uwepo wa wanawake wasagaji katika jamii but sikuwahi kufikiria kama na mimi siku moja nitaingia huko kwa sababu sikuwa na sababu yoyote ya kufanya hivyo. Taarifa hizi na ugoigoi wa mume wangu ndio vilivyo nifanya sasa nitafute mwanamke anayejamiiana na wanawake wenzake ili na mimi niweze kupata hayo maridhisho ya kingono "……… Daniela.
Katika mijadala mbalimbali mitandaoni ambayo inahusiana na suala la wanawake kujamiiana na wanawake wenzao, suala la kutoridhishwa kimapenzi na wanaume zao, linatajwa kama miongoni mwa sababu zinazo wasukuma wanawake hao kuingia katika mahusiano ya jinsi moja .
Swali muhimu la kujiuliza hapa, ni je ni kweli wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao wana uwezo wa kuwaridhisha wanawake wanao jamiiana nao kuliko ambavyo wanaume wanaweza kufanya? Jibu la swali hili linapatikana katika sehemu ya tano ya makala haya.
 
[h=3]KUTAFUTA UPENDO WA DHATI [/h]
SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA








Hii inawahusu zaidi baadhi ya wanawake ambao wameumizwa sana kimapenzi na wanaume ambao wamewahi kuwa nao katika mahusiano ya kimapenzi, ama wanawake ambao wameshuhudia ukatili wa baba zao dhidi ya mama zao, pamoja na wanawake ambao walipata kunyanyaswa kijinsia na wanaume wakati wa utoto wao




Propaganda zilizo samba kwenye mitandao zinasema wanawake ni wakweli, waaminifu na wenye upendo wa dhati kuliko wanaume. Wanawake wanao ingia katika mahusiano ya jinsi moja kwa sababu hii, anaamini kuwa akiwa katika mahusiano ya kimapenzi na mwanamke mwenzake, atakuwa katika mikono salama na wala hawezi kuumizwa kwa sababu iliyo tajwa hapo juu kwamba wanawake ni waaminifu na wenye upendo wa ukweli.






"Wanaume kuwa waongo sana nayo inachangia kwani mtu anaahidi kukuoa hata kufikia hatua ya kujitambulisha kwa wazazi ndugu jamaa na marafiki kuwa atakuoa kumbe ana mke wake nyumbani. mimi kwa kweli kwa jinsi nilivyoumizwa nadhani nikipata rafiki wa kike atakae kuwa na upendo wa dhati namimi nitamkubali kuliko kuwa na mwanaume wa kunitia matatizoni kila leo "…..Flora.


" Nilikuwa katika mahusiano ya kimapenzi na zaidi ya wanaume watano na wote wakaishia kuniumiza vibaya sana, nilijiuliza maswali mengi sana moyoni, kwamba mimi nitakuwa mtu wa kuumizwa mpaka lini?, nitaendelea kuwa -------- kila siku mpaka lini, mwisho wa siku nikaona bora niwe na mwanamke mwenzangu kwa sababu niliamini wanawake ni watu wanao jali na waaminifu katika mahusiano " ……….Saada.
"……….niliamua kujiingiza kwenye hii hali baada ya kuumizwa sana na aliyekuwa boyfriend wangu…….." ..Rose
" Kwa jinsi wanaume walivyo niumiza sikutaka kabisa kusikia chochote kuhusu wanaume na nikaamua kukaa bila mpenzi kwa mwaka mmoja, lakini mwisho wa siku mimi ni binadamu , siwezi kukaa bila kuwa na mtu wa kunipenda au kumpenda, nikaamua kutafuta mwanamke mwenzangu na kuingia naye katika mahusiano ya kimapenzi " ……………Winnie


Soma maelezo ya baadhi ya wachangiaji katika mada isemayo " PINDI MWANAMKE MWENZAKO ANAPOKUTAKA KIMAPENZI NA KUKUNYIMA RAHA " iliyo chapishwa katika blogu ya www. dinamarios. blogspot.com , mnamo Septemba 7,2009.


i. "hello dina,
kwa kipindi tulichopo sasa haya mambo ni ya kawaida sema tu si ya kulazimisha sana mpaka ukamnyima mwenzako raha hata kazini akapaona pachungu!!!
wana wake wengi wapo kwenye haya mambo ya kisagaji coz wengi wao wamekua wana umizwa sana na hawa wanaume wetu wa kibongo si siri wana ume wana chosha akili sana !!!
yani unakuta lina wanawake kama 6 hivi then linakuambia linakumbenda au linakuweka nyumbani kama kapeti likirudi halitaki kufanyana na wewe hata miezi sita,
unajua sisi wana wake tunajua sana kupenda
na tunapopenda tuna kuwa waaminifu kupita kiasi sasa tukipendana wenyewe kwa wenyewe huwa tuna peana raha sana,
mimi nilishakuwa na mwanaume alinitesa sana tena sana lakini kuna siku nilikutana na mama mmoja anamatatizo kama yangu ndipo akasema tujaribu kusagana kweli dina lienjoy sana tena sana mpaka sasa nimeolewa na nnaishi na mwanaume lakini bado nasagana nayule mama yani sina wasi wasi nannaenjoy sana nikiwa na sagana !!!
sema tu haya mabo yanahtaji iwe siri na si kujionyesha kwa watu!!
mwingine anakuwa hafahamu hivi vitu usimforce!!!
hata huyo aliyetoa story hii angeonja asengesema huyo!!

so habari ndio hiyo "



ii. " jamani mbona kusagana ndo issue kinyama? niko na age ya 26,yaani mi natamani nipate mwanamke mwenzangu tuiendeleze shughuili maana wanaume wanaleta stress tuuu!!! sema sasa naogopa kumwambia mdada mwenzangu nahisi ataniona waajabu wakati inasaidia kuepuka magonjwa ya zinaa na ukimwi,natafuta mdada wa kusex nae....plssss!!!!!!! "


iii. " Si utani jamani wanaume wanakero sana tena sana hebu jamani tuamue tu tuendeleze kusagana tuone watafanyaje maana sisi wanawake kwa wanawake tunajua utamu upo wapi hivyo tuna-touch palepale hamuoni kama ni issue poa "




iv. " HATARI KITU GANI JAMANI MIE MWENYEWE NATAMANI NIMPATE MWANAMKE MWENZANGU AWE ANANISTAREHESHA SEMA NDO SIJUI PAKUANZIA HAWA WANAUME NI MASTRESS NA WANAHANGAIKA MWISHOWE NIPATE MARADHI, PLZ DINA HUYO DADA KAMA HAMTAKI HUYO ANIPE CONTACT MIE NIWASILIANE HUYO DADA.

IM FADE UP NA WANAUME.NA I THINK NITAENJOY SAANA,I KNOW GIRLS WENGI THE WANAPRACTISE HII HAPA MJINI WENGINE MPO HUMU SO MTULIE TU

LULU "

v. "Acha tupendane wadada kwa wa dada tu, mijanaume inavyotutenda ivi ya nini kuwa nayo?ata ulipende vipi halipendeki linazidi kuhangaika tu na mi nungaembe ya mjini"












Swali la kujiuliza hapa ni je? Ni ukweli kwamba wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao wana upendo wa dhati na ukweli kama walivyo kuwa wakiamini wanawake hawa ? Jibu la swali hili lipo katika sehemu za zinazo kuja za makala haya, endelea kufuatilia hadi mwisho.
 
[h=3]KUJIEPUSHA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI.[/h]
SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA




[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Mgonjwa wa ukimwi akihudumiwa hospitalini; Asilimia kubwa ya wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao nchini Tanzania wana amini kuwa hawawezi kupata maambukizi ya ukimwi kwa kujamiiana na wanawake wenzao. Huu ni ujinga wa hali ya juu sana.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

KUJIEPUSHA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI.
Kuna sintofahamu na ujinga wa hali ya juu sana miongoni mwa jamii ya wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao nchini Tanzania . Huwezi kuamini kuwa kuna idadi kubwa tu ya wasichana na ama wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao nchini Tanzania ambao wanaamini kwa dhati kabisa kwamba , kuwa katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao kutawaepusha na maambukizi ya virusi vya ukimwi..
" Jamani mnajua siku hizi dunia imechafuka sana, magonjwa ni mengi na ukimwi upo nje nje na hakuna mwanaume wa kumuamini kwa sababu wanaume karibu wote wameoza, so ndio maana tunaona ni bora tuwe na wanawake wenzetu ili kujiepusha na magonjwa ya zinaa na ukimwi " . Haya ni maneno ya mwanamke mwenye umri wa miaka 24, ambaye yupo katika mahusiano ya jinsi moja na mwanamke mwenzake.
Msichana mwingine anasema;
" Wakati rafiki yangu shuleni ananishauri tuanzishe uhusiano wa jinsi moja, aliniambia uzuri wa kuwa na mwanamke mwenzako, hauwezi kupata mimba wala ukimwi "
Huyu naye ana imani hiyo hiyo ;
" Kujiepusha na ukimwi ndio sababu kuu iliyo nifanya niingie kwenye usagaji, kwani najua nikiwa na mwanamke mwenzangu hatuwezi kupeana magonjwa ya zinaa wala ukimwi "
Msikilize na huyu hapa
" Unajua nini? Mimi nimeolewa na nina watoto wawili, mume wangu ni mtu wa safari siku zote na mara nyingi huniacha peke yangu hata kwa miezi mitatu, nashindwa kuvumilia kwa sababu ni binadamu, but siwezi kutoka na mwanaume mwingine kwa sababu naogopa kupata ukimwi, kwani nitamuambukiza na mume wangu na tutakufa na kuwaacha watoto wetu wakiwa yatima, ndio maana nimechagua kuwa na mwanamke mwenzangu aniridhishe kuliko kwenda kwa mwanaume "


" HATARI KITU GANI JAMANI MIE MWENYEWE NATAMANI NIMPATE MWANAMKE MWENZANGU AWE ANANISTAREHESHA SEMA NDO SIJUI PAKUANZIA HAWA WANAUME NI MASTRESS NA WANAHANGAIKA MWISHOWE NIPATE MARADHI, PLZ DINA HUYO DADA KAMA HAMTAKI HUYO ANIPE CONTACT MIE NIWASILIANE HUYO DADA "…DINA MARIOS (DM), Septemba 07, 2009.


Kwa mujibu wa utafiti huu, katika kila wanawake kumi wanao jihusisha na mahusiano ya jinsi moja nchini Tanzania, wanawake saba kati yao wanaamini kwamba hawawezi kupata maambukizi ya v.v.u kwa kujamiiana na wanawake wenzao.
Swali la kujiuliza hapa ni je, ni kweli kujamiiana jinsi moja kati ya mwanamke na mwanamke hakuwezi kusababisha maambukizi ya v.v.u? Hii ndio sababu kubwa iliyo tufanya kutoa hiki kitabu. Majibu ya swali hili yapo katika sura ya nne ya kitabu hiki.
 
KUJIEPUSHA NA KUPATA UJAUZITO SHULENI, KABLA NA NJE YA NDOA


SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA


Hii inawahusu zaidi baadhi ya wanafunzi wa kike wa shule za sekondari, pamoja na baadhi ya wanawake walio kwenye ndoa . Kwa mujibu wa utafiti " FEMALE ADOLESCENTS KNOWLEDGE ON HOMOSEXUAL ACTS AND THEIR EFFECTS IN LEARNING : A Case Of Kiliminjaro Rural District, moja kati ya sababu zinazo wapelekea baadhi ya wanafunzi wa kike wanao soma katika shule za sekondari za bweni au kutwa za mchanganyiko ama za wasichana pekee, kujiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na wasichana wenzao wa mtaani ama wanafunzi wenzao wa kike, ni kujiepusha na kupata ujauzito wakiwa shuleni .


" Unajua sisi tumesha vunja ungo tayari na tuna mihemko ya kingono, mtu unaogopa kuwa na mwanaume kwa sababu unaweza kupata mimba ukiwa bado shuleni, na ukipata mimba ukiwa shuleni madhara yake nadhani unayafahamu, inaweza kuwa ndio mwanzo wa kuharibikiwa kwako, kwa sababu kwanza, utafukuzwa shuleni na wazazi wako wanaweza kukufukuza nyumbani vilevile, sasa mateso yote hayo ya nini wakati ninaweza kujamiiana na msichana mwenzangu na tukaridhishana bila kuwa katika hatari ya kupata ujauzito "


Maelezo ya mwanafunzi huyu wa kike wa shule moja ya sekondari ya kutwa iliyopo jijini Dar Es salaam yanashabihiana na maelezo ya mwanafunzi mwingine wa kike katika shule moja ya sekondari ya bweni ya wasichana tupu iliyopo nje ya mkoa wa Dar Es salaam, ambapo anasema
" Unajua unaweza kumshawishi rafiki yako kusagana kwa kumwambia kuwa hatoweza kupata mimba wala ukimwi "


Ama kwa upande wa baadhi ya wanawake walio ndani ya ndoa, wao huamua kujiingiza katika usagaji kwa sababu wanajua hawawezi kugunduliwa haraka na wala hawawezi kupata ujauzito.


" Sitaki kuvunja ndoa yangu, bado ninamuhitaji mume wangu kama baba wa watoto wangu, ingawa amekuwa busy na haniridhishi kitandani. So najua nikitoka na mwanaume wa nje kwanza nitastukiwa haraka lakini pia ninaweza kubeba ujauzito wa nje ya ndoa jambo ambalo sipo tayari kwalo ".
Anasema Siwema, mama wa watoto wawili mwenye umri wa miaka 32 aishie jijini Dar Es salaam, na ambaye yupo katika mahusiano ya jinsi moja na mwanamke mwenzake kwa mwaka mmoja sasa.
Rehema anaongeza kwa kusema ;
" Kwanza ukiwa na mwanamke mwenzako ni ngumu sana kushtukiwa , wakati mwingine anaweza kuwa anakuja hadi nyumbani kwako na unamtambulisha kwa mume wako kama rafiki yangu au ndugu yako wa mbali, kumbe ni mpenzi wako, so ni mara kumi kucheat na mwanamke mwenzangu kuliko na mwanaume coz ni vigumu sana kushtukiwa "





Swali muhimu la kujiuliza hapa, je wasichana ama wanawake kujamiiana wao kwa wao ndio njia sahihi ya kujiepusha na maambukizi ya v.v.u? . Jibu la swali hili lipo katika sura ya nne ya kitabu hiki.
 
Naenda lunch kwanza, nitaendelea baada ya masaa mawili. So stay in touch.
 
Nasikia wadada wanajua sana kuyatekenya maungo ya wadada wenzao kiasi cha kuwapagawisha.

lakini mie natumia urithi nilioachiwa na babu kuwapagawisha mademu. Rungu langu lina asali tamu kupindukia na kila anayeramba asali huwa hataki kuacha. :kev:
 
Hongera mungwakabili unajitahidi kuandaa articles nzuri kuhusu lesbian, Ila sijaona unapokemea au kuonesha ubaya na madhara ya hii tabia mbaya ambayo ni chukizo kwa binadamu na Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Hongera mungwakabili unajitahidi kuandaa articles nzuri kuhusu lesbian, Ila sijaona unapokemea au kuonesha ubaya na madhara ya hii tabia mbaya ambayo ni chukizo kwa binadamu na Mungu.

Makala ni ndefu sana, endelea kufuatilia hadi mwisho.
 
KUWA KATIKA MAZINGIRA YASIYOKUWA NA WANAUME.
SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA




Kuwa katika mazingira yasiyokuwa na wanaume ni sababu nyingine kuu inayo wafanya baadhi ya wanawake kuamua kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na wanawake ama wasichana wenzao. Hii inawahusu zaidi baadhi ya wasichana wanao soma katika shule za sekondari za bweni za wasichana pekee pamoja na wanawake waliopo magerezani.
Kwa mujibu wa utafiti " FEMALE ADOLESCENTS KNOWLEDGE ON HOMOSEXUAL RELATIONSHIPS AND THEIR EFFECTS IN LEARNING " wanafunzi wa kike wanao jihusisha kimapenzi na wasichana wenzao wawapo mashuleni wanafanya hivyo kwa sababu ya kutokuwepo na wanaume katika mazingira yao, na wanafanya na wasichana wenzao kama mbadala wa wavulana ambao pengine labda wangeweza kufanya nao kama wangekuwepo katika mazingira husika.
Matokeo ya utafiti huo hapo juu ambao ulifanyika katika shule za sekondari tatu za wasichana zilizopo hapa nchini yanaripoti kwamba kuna idadi kubwa sana ya wasichana wanao soma katika shule za sekondari za wasichana pekee za bweni ambao wanajihusisha na vitendo vya kujamiiana kati ya wao kwa wao na kwamba vitendo hivyo vina athari kubwa sana kwa wahusika kama vile kupatwa na magonjwa ya zinaa, kuathirika kisaikolojia pamoja na kushuka kwa uwezo wao wa kitaaluma.
Utafiti huo unaeleza ya kwamba wasichana wanao jihusisha na mchezo huo mashuleni ni wale ambao wanasoma kuanzia kidato cha tatu hadi cha sita.


 
[h=3]USHIRIKINA[/h]
SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA



Utafiti wetu umetuwezesha kugundua kwamba kuna kundi kubwa tu la wanawake wanao jihusisha na mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao hapa nchini, kwa sababu za imani za kishirikana. Wanawake hao hufanya hivyo kama sehemu ya masharti waliyopewa na waganga wao wa kienyeji. Ninaye shahidi mmoja katika hili. Kwa jina anaitwa Adivela * ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32 anajishughulisha na biashara ya chakula jijini Dar es salaam. Kabla ya kuingia katika biashara ya chakula, Adivela alikuwa anamiliki biashara ya saluni .
Anasema : " Baada ya kuona biashara yangu haichanganyi sana, nikaamua kwenda kutafuta ushauri kwa rafiki yangu mwanamke ambaye pia amejiajiri mwenyewe lakini yeye alikuwa anamiliki duka dogo la nguo. Rafiki yangu akanipeleka kwa rafiki yake mwingine ambaye pia alikuwa ana fanya biashara ya nguo hapa hapa jijini. Tuliongea mengi sana kuhusu biashara lakini mwisho wa siku akaniambia siwezi kufanikiwa katika biashara kama nitakuwa nafanya biashara hiyo mkavu mkavu yani bila kuwashirikisha masangoma. Akaniambia angeweza kunisaidia kwa kunipeleka kwa sangoma ambaye huwasaidia wafanya biashara mbalimbali. Wiki moja baadaye nikafunga safari kwenda kwa sangoma yule kwa kufuata direction niliyopewa na yule mwanamke. Ilinichukua masaa maatu kufika katika kijiji anacho ishi sangoma niliye elekezwa . Nilipofika kwa sangoma nilikuta kuna watu wengi wapo nje wana subiri zamu yao ifike kumuona sangoma. Masaa kadhaa baadaye zamu yangu kumuona yule sangoma ikawa imewadia. Baada ya kuelezea shida zangu na kumfahamisha sangoma kuhusu mtu aliyenielekeza kwake. Akaniambia nitoe kiasi fulani cha pesa, nikamkabidhii akafanya uganga wake kisha akanipatia dawa za kuoga na kunywa, pamoja na dawa za kuweka ofisini kwangu. Baadaye akaanza kunipa masharti ya zile dawa. Akaniambia sitatakiwa kulala na mwanaume kwa muda wa siku tisini mfululizo. Katika kipindi chote hicho ninatakiwa kuwa najamiiana na mwanamke mwenzangu. Hakuishia hapo akasema mwanamke ninayepaswa kuwa najamiiana naye lazima awe binti mdogo na kamwe asiwe mtu mzima. Masharti ya dawa ile yalinitaka nisitoe siri kuhusu sharti la kujamiiana na mwanamke mwenzangu kwa mtu yoyote. Nilichoka sana, sikutegemea kama ningepewa masharti magumu kama hayo. Kwa kuwa lengo langu ilikuwa ni kufanikiwa katika biashara yangu, sikuwa na jinsi ikanibidi tu nikubaliane na masharti na kutafuta msichana mwenzangu kuwa na uhusiano nae.
Kweli niliporudi mjini, nikatafuta masichana wa kuanzisha naye uhusiano. Wiki mbili baadaye tayari nikawa nimeshampata msichana wa kuwa naye na kwa bahati nzuri au mbaya alikuwa ni msichana wangu wa kazi ambaye nilikuwa nimemuajiri pale saluni kwangu. Maelezo ya mganga yalikuwa ni siku 30tangu nijamiiane na mwanamke mwenzangu nitaona mabadiliko makubwa sana katika biashara yangu ."
BAADA YA SIKU 30:
"Baada ya hizo siku kumi na nne, ni kweli niliona mabadiliko makubwa tena mabadiliko makubwa sana, lakini mabadiliko hayo hayakuwa mabadiliko chanya, yalikuwa ni mabadiliko hasi, biashara yangu iliporomoka kwa kiasi kikubwa sana, kabla sijaenda kwa yule mganga nilikuwa naweza kutembelewa na angalau wateja watano hadi saba kwa siku lakini ilifikia nikawa napokea mteja mmoja au sipokei kabisa. Nadhani sababu kuu iliyo fanya wateja wapungue ni kutotoa kwangu tena zile huduma za ziada nilizo kuwa nazitoa kwa wateja wangu . Nilifanya hivyo kwa sababu nilikuwa nna amini maelekezo ya mganga, niliamini kwa kufuata tu maelekezo ya mganga ningeweza kupata mafanikio katika biashara yangu hata bila kuzingatia masuala mengine muhimu katika biashara kama vile customer care nakadhalika. "
UAMUZI ALIO UCHUKUA
"Nikarudi tena kwa yule mganga, longo longo zikawa nyingi mara ulikosea masharti nakadhalika. Niliumia sana moyoni kwanza kitendo tu cha mimi kujamiiana na mwanamke mwenzangu kilinifedhehesha sana na bado kina nifedhehesha mpaka leo, sio hivyo tu nilipoteza pesa zangu nyingi sana kwa kumpa yule mganga pamoja na heshima yangu. "
MADHARA YAKE
"Mpaka leo hii yule msichana anajua mimi ni msagaji na amenitangazia kwa watu kwamba mimi ni msagaji. Mtaa niliokuwa ninaishi nimehama ili kukwepa aibu, mume wangu ameshazipata habari, ulitokea ugomvi mkubwa sana, mpaka ikanibidi nikae chini na kumuelewesha ndipo aliponielewa japo kwa shingo upande sana."




MAONI YAKE
"Unajua siku hizi kuna waganga wengi sana matapeli, so unapoenda kufuata huduma yao, watachukua hela yako, halafu watakupa dawa za uongo na ukweli na masharti magumu na ya kipuuzi kama niliyo pewa mimi, masharti ambayo wanajua huwezi kuyatimiza na hata ukiyatimiza huwezi kudumu katika kuyatimiza.
Tusitegemee nguvu za giza katika kutafuta mafanikio, mwisho wa siku tutajikuta kwenye matatizo makubwa kama yaliyo nikuta mimi, na pengine Mungu alikuwa ananipa fundisho, what if kama yule mganga angeniambia nimtoe mwanangu, au wazazi wangu, leo si yangekuwa mengine."
Utafiti wetu umegundua kwamba katika kila wanawake kumi wanao jihusisha na mahusiano ya jinsi moja nchini, mmoja kati yao anajihusisha na mahusiano hayo kwa sababu za kishirikina.
 
[h=3]FAHARI YA MFUMO DUME, KUPAMBANA NA MFUMO DUME NA KUTOJIAMINI& KUTOYAKUBALI MAPUNGUFU YA KIMAUMBILE KWA BAADHI YA WANAWAKE.[/h]

SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA

FAHARI YA MFUMO DUME .
Jamii ya Tanzania kama ilivyo kwa jamii za nchi nyingi za kiafrika inatawaliwa na mfumo dume. Mfumo dume ni mfumo unao muweka mwanamke chini ya mwanaume kwa kila kitu. Watu wanao ishi katika jamii zinazo tawaliwa na mfumo dume wanaamini ya kwamba mwanamke hana uwezo wa kufanya kitu chochote kile kwa ukamilifu kama ambavyo mwanaume anaweza kufanya. Kwa ufupi hapa mwanamke anachukuliwa kama kiumbe dhaifu mbele ya mwanaume. Wanawake wengi wa kitanzania wanakubaliana na ama kuridhika na dhana hii kwa vitendo. Kwa mfano kuna misemo maarufu sana ambayo hutumiwa na wanawaume kuwahusu wanawake, misemo hiyo ni kama vile " Acha mambo ya kike" usiwe na akili za kike " n.k. Misemo hii inabeba ujumbe namna ambavyo wanawake wanachukuliwa kuwa viumbe dhaifu katika jamii yetu. Mtu anayefanya mabo yaliyo katika chini ya kiwango huambiwa kuwa anafanya mambo ya kike. Mtu muoga, mtu asiye weza kujitegemea ama kujisimamia nakadhalika hufananishwa na mwanamke. Nchini Tanzania, kumwambia mwanaume " wewe ni mwanamke !" ni tusi la kiwango cha juu sana. Ukitaka kumuudhi mwanaume wewe mwambie " wewe ni mwanamke " ama muite jina lolote lile linalo maanisha uanamke, kwa mfano kumuita mwanaume " m***e, ni tusi la kiwango cha juu kabisa ambalo linaweza kumfanya mwanaume huyo kukufanyia kitu chochote kibaya na ikaonekana ni haki yake kufanya hivyo kutokana na ukubwa wa tusi hili. Kwa bahati mbaya sana wanawake walio wengi nchini Tanzania wanakubaliana na dhana hii. Unaweza ukakuta mwanamke anamwambia mwanaume " mbona una mambo ya kike wewe " au hata mwanamke mwenzake.
Wapo baadhi ya wanawake ambao hawakubaliani kabisa na dhana hii. Hata hivyo wanawake hawa hawasemi kwamba wanawake sio dhaifu, la! Isipokuwa wanasema wao ndio sio dhaifu, so wanajiweka katika kundi la wanaume kabisa.
Wanawake hawa huwa hawataki kuhusishwa kwa vyovyote vile na mambo yanayo fanywa na wanawake wenzao, hivyo basi linapo kuja suala la mahusiano ya kimapenzi wao wanakuwa upande wa wanaume, na wanachukua nafasi ya wanaume. Hali huwa mbaya zaidi pale mwanamke huyu anapokuwa amezaliwa akiwa na muonekano na sura ya kiume .Mwisho wake ndio hivyo tena wanajikuta wanaingia kwenye mahusiano ya jinsi moja. Miongoni mwa wanawake tulio fanya nao mahojiano wametoa maelezo yanayo onyesha kwamba kuingia kwao katika mahusiano ya jinsi moja kumesbabishwa na wao kutopenda kuonekana wanawake yaani watu dhaifu.


Mwanahabari mmoja maarufu jijini Dar Es salaam, aliwahi kuulizwa kwa nini anapenda kuvaa suruali na badala ya sketi akajibu hapendi kuvaa sketi kwa sababu kuvaa sketi kutamfanya aonekane dhaifu lakini akivaa suruali kunamfanya aonekane imara na hata wanaume humuheshimu kwa sababu hiyo. Hii inaonyesha ni namna gani dhana ya mwanamke ni dhaifu ilivyo jikita mizizi katika nchi yetu.


KUPAMBANA NA MFUMO DUME
Kama tulivyo ona hapo juu, mfumo dume ni mfumo unaomuweka mwanamke chini ya mwanaume. Dhana iliyojengeka katika Jamii ya watu wanao amini katika mfumo dume ni kwamba mwanamke hawezi kufanya chochote pasipo mwanaume.
Wakati wanawake walio makini wakipambana na mfumo dume kwa kwenda shule, kuacha utegemezi kwa wanaume, kujiingiza katika masuala ya uchumi, uongozi na biashara, wanawake wasio na busara wao wameamua kupambana na mfumo dume kwa kujiingiza katika vitendo vya mapenzi ya jinsi moja kwa kudhani kwamba wanapambana na mfumo dume. Wanaingia katika mahusiano ya jinsi moja kama namna ya kuwaonyesha wanaume kwamba wanawake wanaweza kufanya mambo yao wao peke yao bila kuwashirikisha wanaume likiwamo suala la kujamiiana ambalo kiasili na kimsingi lilikusudiwa kufanyika kati ya mwanamke na mwanaume.




KUTOKUJIAMINI NA K UYAKUBALI MAPUNGUFU YA KIMA UMBILE WALIYO NAYO BAADHI YA WANAWAKE.
Hii inawahusu baadhi ya wanawake ambao wanaamini kuwa, sura na maumbile yao haviwezi kuwafanya wavutiwe na wanaume. Kwa sababu hii wanawake hawa hawangaiki na wanaume kabisa, kwani wanaamini hawawezi kupata wanaume wa kuwapenda kwa dhati kutokana na namna walivyo . Tazama maelezo ya mwanamke huyu ;


" Hebu nitazame vizuri halafu uniambie ni mwanaume gani anaweza kumpenda mwanamke kama mimi kwa dhati. Sina chochote kile cha kumvutia mwanaume, kwanza ni mfupi, mweusi halafu mwembamba na sina sura yenye mvuto,unadhani nitamvutia mwanaume yupi wa kunipenda kwa dhati kama sio kudanganyana huko "
Maelezo ya mwanadada huyo hapo juu yanapatana na matokeo ya uchunguzi wetu ambao umebaini kwamba, asilimia kubwa ya wanawake wanao toa malalamiko ya kuachwa ama kusalitiwa na wanaume zao ni wale ambao hawana sura na au maumbile yenye mvuto .
 
[h=3]UMASIKINI NA TAMAA YA KUPATA FEDHA ( WANAWAKE WANAO FANYA BIASHARA YA KUUZA MIILI YAO KWA WANAWAKE WENZAO NCHINI TANZANIA )[/h]

SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA















Utafiti wetu umetuwezesha kugundua ya kwamba kuna wanawake wengine wanaingia kwenye mahusiano ya jinsi moja kwa sababu ya kutafuta fedha za kujikimu au za kugharimia maisha yao ya kila siku. Tumefanya mahojiano na wasichana mbalimbali ambao wamekiri ya kwamba, wamejiingiza katika vitendo vya jinsi moja kwa sababu ya kutafuta fedha za kujikimu kimaisha.
Wanawake walio katika kundi hili wamegawanyika katika makundi makuu mawili.
Kundi la kwanza ni la wasichana na ama wanawake ambao sio machangudoa, lakini wanajiingiza katika vitendo vya kujamiiana jinsi moja kwa sababu ya kutaka pesa.
Kundi la pili ni la wanawake ambao biashara yao ni kuuza miili yao na miongoni mwa wateja wao ni pamoja na wanawake wenye kupenda kujamiiana jinsi moja.
Tuanze kuyachambua makundi haya moja baada ya jingine:
Kundi la kwanza : Kundi hili nalo limegawanyika katika makundi mengine madogo yapatayo mawili.
· Kundi namba moja :
Linawahusisha wanawake na/ ama wasichana ambao wao ndio huchukua nafasi ya mwanamke katika mahusiano ya jinsi moja ya mwanamke kwa mwanamke.
Sifa za wanawake / wasichana walio katika kundi hili :
Wasichana walio katika kundi hili wana sifa zifuatazo :
i. Ni wasichana warembo na wenye mvuto :
Unajua hawa wanawake wasagaji huwa wanapendaga waonekane na wanawake wazuri na wenye mvuto. Ni vigumu sana kumkuta akiwa na mwanamke asiye kuwa na mvuto kwa sababu wao wenyewe ( hao wasagaji ) hawana mvuto na wengi wao wamekaa kidume dume. So hupendelea kuwafuata wanawake wenye mvuto wa sura na kuanzisha nao uhusiano. . Anasema Grace, mwanadada ambaye amekuwa na urafiki na wasichana wanao jihusisha na mahusiano ya jinsi moja kwa muda mrefu.


MTU NA DADA YAKE WAOLEWA NA WASAGAJI !
Grace anaendelea kusema Nina rafiki yangu mwingine yeye anatoka mkoani na ni mrembo sana, kabila yake ni ( anataja jina la kabila ), unawajua jinsi wa ( anataja jina la kabila walivyokuwa wazuri, yeye alishawishiwa kuingia katika mahusiano ya kisagaji na mdada mmoja ambaye ni msagaji wa siku nyingi tu na alishawahi kunishawishi hata mimi nikamtolea nje. Dada huyu ni msagaji wa siku nyingi sana na anajulikana tangu alipokuwa anasoma shule ya sekondari. Inasemekana alishawahi kufukuzwa shule mara kadhaa kwa tuhuma za usagaji.
Kibaya zaidi dada huyu amemshawishi na mdogo wake wa kike kuingia katika mahusiano ya kisagaji na rafiki wa huyo mdada msagaji ambaye yupo naye katika mahusiano ya jinsi moja.


Alimwambia, ukiwa katika mahusiano na mwanamke mwenzako huwezi kupata mimba wala ukimwi, wala kuumizwa kimapenzi. Sasa hivi masikini wasichana wote wawili yani mtu na dada yake wameolewa na wanawake wenzao, dah inasikitisha sana na inatia huzuni sana, I cant imagine wazazi wao huko nyumbani kwao watajisikiaje siku watakapo sikia taarifa hizi, mtu anaweza kufa kwa presha.




ii. Wengine ni wanafunzi wa taasisi za elimu ya juu
Utafiti wetu umetuwezesha kugundua ya kwamba, baadhi ya wasichana waliopo katika kundi hili, ni wanafunzi wanao soma katika taasisi za elimu ya juu. Wanafunzi hao huingia huko kwa kushawishiwa na rafiki zao ambao tayari wamekuwa katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake hao. Ugumu wa maisha ya chuo pamoja na tamaa ya kuwa na fedha na kumiliki vitu vya thamani, vinatajwa kama sababu zinazo wafanya wadada hawa kukubali kuingia katika mahusiano ya jinsi moja na hao wanawake wasagaji wenye uwezo wa kifedha pindi washawishiwapo. Baadhi ya vyombo vya habari chini Tanzania hususani magazeti hasa hasa yale yajulikanayo zaidi kama magazeti ya udaku ama magazeti pendwa vimekuwa vikiripoti mara kwa mara kuhusu uwepo wa baadhi ya wanafunzi wa taasisi za elimu juu nchini wanao shawishika kuingia katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake watu wazima wenye fedha zao kwa sababu ya tamaa ya fedha na kumiliki vitu vya bei ya juu.




iii. Wapo katika mahusiano na wapenzi wao wa kiume
Uchunguzi wetu umegundua kuwa wengi wa wasichana walio katika mahusiano hayo, wapo pia katika mahusiano ya kimapenzi na wapenzi wao wa kiume. Wengine wana wachumba kabisa na wapo hata wake za watu. Wanaingia katika mahusiano haya kwa sababu ya kushawishiwa na pesa kutoka kwa hao wanawake wasagaji wenye pesa.


iv. Huingia katika mahusiano haya na wanawake wenye uwezo mkubwa wa kifedha.


Wanawake hawa hukubali kuingia katika mahusiano na wanawake wasagaji wenye uwezo mkubwa wa kifedha. Kamwe hawawezi kuingia katika mahusiano na wanawake wasagaji wasio na uwezo wa kifedha, kwa sababu interest yao huwa ipo kwenye kupata pesa kutoka kwa wanawake hao wasagaji. Grace, rafiki wa mmoja kati ya wasichana hao, anaendelea kusema:


" Mara nyingi wanapokuwa approached na hao wanawake wasagaji. Swali kubwa na ka msingi ambalo wanaliuliza huwa ni what is she doing ? and all that ". Anaongeza . Huwa wanataka kujua mwanamke husika ana uwezo wa kipesa kiasi gani ili kujiridhisha wanawake hao wanaweza kuwatunza kwa kiwango na kwa kiasi gani "










v. Wengine ni wanafunzi wa shule za sekondari:
Miongoni mwa wasichana walio katika kundi hili ni baadhi ya wasichana ambao bado ni wanafunzi wa shule za sekondari. Sababu kuu inayo wafanya wanafunzi hawa kuingia katika mahusiano haya ni tamaa ya fedha na kumiliki vitu vya bei ya juu kama vile nguo, simu, saa nakadhalika.
Mnamo mwaka 2009, magazeti na mitandao mbalimbali nchini viliripoti habari kuhusu mwanamke mtu mzima mwenye umri wa miaka 45 ambaye alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumuweka kinyumba na kumtumia kwa usagaji msichana mwenye umri wa miaka 20 ambaye alikuwa ni mwanafunzi wa shule ya sekondari. Tukio hili lilitokea huko mkoani Tanga. Iliripotiwa ya kwamba, wazazi wa binti huyo waliingiwa na mashaka baada ya binti yao kutoonekana nyumbani kwa karibu wiki nzima, wazazi walienda kutoa taarifa polisi ambao walianza kufanya msako wa nguvu ulio fanikiwa kuibua maficho ya binti huyo ambae alikutwa nyumbani kwa mwanamke huyo. Alipo banwa aeleze alichokuwa anakifanya kwa mwanamke huyo, binti huyo alisema kuwa alikuwa anaishi na mwanamke huyo kinyumba kama mke na mume na kwamba mwanamke huyo alifanikiwa kumshawishi kuingia uhusiano wa jinsi moja baada ya kuahidi kumnunulia vitu vya gharama ya juu kama vile nguo, simu, vipodozi pamoja na kumpatia pesa za kumtunza. Mwanamke huyo baadaye alikamatwa na kufikishwa polisi ambao walimpeleka mahakamani akishtakiwa kwa kosa la kumdhalilisha kijinsia binti huyo.


Kisa kingine kinasimuliwa na Bi. Subira, mwanamke mwenye umri wa miaka 45 ambaye ni mkaazi wa jijini Dar es salaam. Anasema :
" Jamani tuweni makini sana na nyendo za binti zetu kwa sababu sasa hivi dunia imechafuka, kwani kuna baadhi ya wanawake wasio na maadili wenye fedha , wanatumia pesa zao kuwarubuni binti zetu kuingia kwenye mahusiano ya jinsi moja. " Ninasimulia hivi kwa sababu hili ni jambo lililo tokea katika familia yangu na aliye fanya hivyo ni mtu ambaye tulikuwa tuukimchukulia kama rafiki wa familia yetu. Ni hivi nyumbani kwangu ninaishi na binti wa miaka 19. Ni mtoto wa marehemu dada yangu aliyefariki miaka mitano iliyo pita na kunipa jukumu la kumtunza binti yake. Binti huyu amehitimu kidato cha sita mwaka huu na kurudi nyumbani kwani alikuwa anasoma kwenye shule ya sekondari ya bweni. Mwezi mmoja tangu aje hapa nyumbani alianzisha ushoga na mdada mmoja mtu mzima tu anaye karibia miaka 40. Hatukuweza kuushtukia uhusiano wa wawili hao kwa sababu hatukuwahi kudhani wala kuhisi kabisa kama anaweza kuwa na tabia ya usagaji kwa sababu tunajua ana mume wanayependana sana na ni mtu ambaye tulikuwa tunamchukulia kama family friend . Familia yangu na yao tumekuwa tukishirikiana katika mambo mbalimbali ya shida na raha. Siku moja ya Jumapili, nikiwa sina hili wala lile, nikaletewa umbeya na dada mmoja ambaye ni rafiki yangu na anaishi jirani na huyo mwnamke. Nini kimetokea? Kuna fumanizi limetokea huko, twende ukaamue ugomvi Baba ( anataja jina la mtoto wa baba huyo ) anamuua mke wake. Nasogea eneo la tukio sikuamini kilicho tokea, mwanaume kamkuta mke wake( Yule mdada ) akiwa katika tendo la kujamiiana jinsi moja na binti yangu. Nilichanganyikiwa sana nusura nianguke chini kwa presha. Sikuamini kama ( anataja jina la huyo mwanamke ) angeweza kutumia pesa zake kumrubuni binti yangu huku akiwa anajua kabisa ni msichana ambaye nimeachiwa na mmarehemu dada yangu nimtunze. Nimejaribu kumkalisha chini huyo binti kanieleza vitu vingi sana mpaka nimeogopa na sina hata amani naye naona ndio ameisha haribikiwa hivyo. "
JINSI MAHUSIANO YAO YANAVYO KUWA
" Ni shaghala baghala, hakuna uaminifu, hakuna amini wala hakuna hicho wanacho kiita ati mapenzi ya ukweli, kwa sababu wao kwa wao huwa wanachukuliana wapenzi, au vyovyote wanavyo jiita, unakuta huyu yupo na huyu mara kesho huyu kamchukua Yule, u cant believe inafikia wakati wanawekeana bifu kabisa! Inasikitisha sana yani lazima zifanyike jitiada za kupambana na tatizo hili. " Anasema Grace.


" Kuna hii niliishuhudia abt 1 and half year ago pale opposite na mango garden kuna kiglosary kimoja
alikuwa mmama mtu mzima hasa na tena kwa umri wake anatakiwa awe na wajukuu kama hana.
Alikuwa na wakaka wa makamo age 30's au 40's wakawa wanakunywa bia mara akaja mkaka na mdada. Yule mdada akaanza kubishana na yule mama mara analia (mimi mmbea na najijua nilikuwa nakula chabo tu)mmama akawa anambembeleza mara anampapasa bint haachi kulia tu
kidogo anaanza kumlaumu yule kaka aliyekuja nae najaribu kumquote''we unaweza kunifanyia hivi??ahsante sana sikutegemea''.Mara mmama akakasirika akapaza sauti
'' wewe mimi nina hela hawa wote wafanyakazi wangu nitakuvalisha dhahabu mwili mzima,tutasafiri wote dubai utakaa kwenye jumba langu lina swimming pool ndani,nitakupa kila kitu utakuwa mdada wa mjini we unafikiri wakina ....(akamtaja jina mwanamke mmoja maarufu mjini)unafikiri kwa nini wanaendesha magari??na china kila siku wanaenda? Mimi ndo kila kitu akambusu na kumfuta machozi na mpapaso wa nguvu ...yaliyoendelea sikuyajua maana mda wa kuondoka ulifika.
Nilichokiona kuwa wale wanaume wanamtafutia wanawake yule mama msagaji sasa inaelekea yule bint aliambiwa tu twende ukanywe bia za bure au twende kuna buzi lina hela kishenzi ukalichune...
Wanawake kazi kwetu
tuthamini kidogo tunachokipata "
…..…….www.jamiiforums.com







Kundi la pili ni la wasichana /mabinti wasagaji ( wanao chukua nafasi ya mwanaume katika mahusiano ya jinsi moja ya mwanamke kwa mwanamke ).
Wasichana hawa hutafuta wanawake wenye fedha kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja lengo likiwa ni kujaribu kuchuma fedha kutoka kwa wanawake hao wenye pesa ama uwezo wa kuwatunza.
SIFA ZA WASICHANA /WANAWAKE HAWA.
1. Si warembo sana na wana mvuto wa kawaida ama hawana mvuto kabisa.
2. Umri wao ni kuanzia miaka kumi na nane hadi 25 ingawa wapo wenye umri mkubwa zaidi ya huo.
3. Kiwango chao cha elimu ni kati ya darasa la saba hadi kidato cha nne ingawa wapo walio soma zaidi ya hapo.
4. Hawana kazi wala biashara maalumu za kufanya
5. Miongoni mwao wamo machangudoa yaani wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili yao hii ina maana hujiuza na kwa wanaume pia.
6. Wengi wao wana uhusiano wa kimapenzi na wanaume .
7. Wengi wao hutumia pombe, sigara na/ ama dawa za kulevya aina ya bangi
Asilimia kubwa ya walio katika kundi hili ni wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili yao yani " machangudoa "
Wasichana hawa hutafuta wanawake wanao weza kuwatunza kifedha.
Target yao kubwa ni
i. wake za watu ( hususani walio na kipato kikubwa ama cha wastani ) hasa wale walio katika mahusiano mabaya na wanaume zao
ii. Wake za watu ambao hawaridhishwi na waume zao.
iii. Wasichana ambao wameumizwa katika mapenzi.
iv. Wasichana ambao hawaridhishwi kimapenzi na wapenzi wao wa kiume.
Mtaji mkuu wa wanawake/wasichana walio katika kundi hili, ni ile imani potofu iliyojengeka miongoni mwa baadhi ya watu kwamba wanawake wasagaji wana uwezo mkubwa wa kuwaridhisha kimapenzi wanawake wanao jamiiana nao kuliko wanaume wanavyo weza kufanya na kwamba wana mapenzi ya kweli na ya dhati na ni waaminifu sana.
Wanawake na /ama wasichana hawa hujitangaza kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii ama mitandao ya urafiki na uchumba. Miongoni mwa wanawake walio umizwa na wapenzi wao, waume zao na /ama wasio ridhishwa kimapenzi na waume zao ama wapenzi wao wa kiume ni watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii. Sasa basi, wanapo kutana na wanawake wa aina hii wanaweza kushawishika kujaribu kuingia nao katika mahusiano ya jinsi moja kwa nia ya kupata hayo maridhisho ya kingono nakadhalika. Katika hayo mahusiano ndipo wasichana/wanawake hao ( wasagaji ) huweka pesa mbele.
Vile vile,wanawake /wasichana hawa wasagaji hutumia mwanya wa uwepo wa wanawake na /ama wasichana wanao taka kujaribu ngono ya jinsia moja ya mwanamke kwa mwanamke inafananaje. Wasichana hawa huwatoza hela wanawake/ wasichana wanao taka kujaribu kujamiiana jinsi moja.
Binti ni msichana mwenye umri wa miaka 23, amehitimu kidato cha nne mwaka jana na sasa anajiandaa kuingia kidato cha tano mwaka huu 2013. Anasimulia kisa chake.
" Niliingia katika mahusiano ya jinsi moja nilipokuwa nasoma kwenye shule ya sekondari ya bweni ya wasichana pekee. Nakumbuka nilikuwa kidato cha pili. Mwanamke niliyekuwa ninakaa nae bweni moja ndie aliye nishawishi, yeye alikuwa kidato cha nne. Uhusiano wetu uliendeleea hadi alipo hitimu kidato cha nne. Baada ya yeye kuhitimu, nikatafuta msichana mwingine na kuendelea naye na tabia hiyo hadi nilipo maliza shule. Nilipomaliza shule nikawa tayari nimetopea kwenye mahusiano ya jinsi moja, na kwa kuwa msichana niliyekuwa nafanya naye shuleni alikuwa anaishi mkoa wa mbali na ninapoishi, ikanibidi nitafute mtu mwingine ambaye anaishi hapa hapa dar. Mimi huwa ninaona aibu sana na sipendi kabisa watu wanijue kuwa najihusisha na mahusiano haya. So nikaamua kutafuta kupitia mtandao wa ( anataja jina la mtandao wa kijamii ). Huko nilijitangaza kwamba ninatafuta msichana wa kuwa naye katika uhusiano wa jinsi moja. Ninapokea simu nyingi sana kutoka kwa wanawake wanao hitaji mahusiano hayo. Hapa ninavyo ongea na wewe, jana tu nimetoka kujamiiana na mdada mmoja mtu mzima tu kwenye miaka thelathini. Ninao wasichana kibao, mmoja yupo Temeke, mwingine Sinza, wengine wawili wapo kinondoni na wengine wengi tu. Mpaka sasa nimeshajamiiana nao kumi na sita na wapo wengine wapo kwenye appointment. Mwingine huyu hapa anapiga simu, anamuweka loud speaker na ninasikia namna wanavyo zungumza" .


Naye Grace, anatoa maelezo kuhusu mwanamke mmoja jijini Dar Es salaam, ambaye kazi yake ni kujamiiana na wanawake wa aina mbalimbali kwa fedha .
" Anaitwa ( anataja jina la msichana ), anaishi ( anataja jina la mahali anapoishi mwanamke huyo ), ana vichwa balaa, nakwambia msururu wa wanawake huwa unajipanga kwenda kwa huyo mdada kwa ajili ya kupewa huduma ya jinsia moja. Sidhani hata kama huwa wanajikinga na ukimwi "




Kundi la pili la wanawake walio katika kipengele hiki ni wale wanao fanya biashara ya kuuza miili yao kabisa yani " MACHANGUDOA ".
Kundi hili hupatikana kwenye klabu za usiku na katika baa ambazo kuna wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili. Tulifanya survey kwa kutembelea kumbi za starehe tano pamoja na baa tano ambazo kuna wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili yao. Katika kila kumbi ya starehe na baa wanayo jiuza wanawake tulikuta taarifa za kuwepo angalau machangudoa watatu ambao wanafanya pia biashara ya kuuza miili yao kwa wanawake wengine.


· SIFA ZA WANAWAKE HAWA :




i. Huchukua nafasi zote, ya mwanaume na ya mwanamke.
Tofauti na wanawake walio katika makundi tajwa hapo juu, walio katika kundi hili huweza kujiuza kama wanawake wanao chukua nafasi ya mwanaume ama ya mwanamke katika tendo la kujamiiana la jinsi moja kati ya mwanamke kwa mwanamke.


" Sisi tunacho jali ni hela, tu kama akija mwanamke anaye hitaji hiyo huduma, huwa tunauliza, yeye ndio anataka kusagwa ama anataka kusaga?. Akisema anataka kusaga sawa, akisema anataka tufanyiane sawa, akisema anataka kunifanyia mimi,sawa tu ili mradi anipe pesa ninayo itaka " Anasema mmoja kati ya wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili yao jijini Dar Es salaam.
Mwanamke huyu anaongeza kwa kusema :
" Hata hivyo endapo atakuja mwanamke mwenye kuchukua nafasi ya mwanaume katika tendo la kujamiiana jinsi moja na akawa anataka mwanamke wa kuondoka naye siku hiyo. Mwanamke yoyote anaweza kuondoka naye, ili mradi tu ampatia pesa anayo ihitaji."
Maneno ya mwanamke huyu yanaungwa mkono na mwanamke mwingine ambaye pia hufanya biashara ya kuuza mwili wake.
" Wanao wasaga wanawake wengine hapa,wapo wachache, lakini kama akija mtu yeye ndio anataka kusaga, hata mimi ninaweza nikaenda, endapo tu atanipa pesa ninayo itaka "
ii. Wapo katika biashara kwa muda mrefu..


Uchunguzi huu ulibaini pia kuwa,wanawake hawa wamo katika biashara ya kuuza miili yao kwa muda mrefu.


KUFANYA 3SOMES
Mwanamke huyu ambaye hufanya biashara ya kuuza mwili wake katika baa moja maarufu jijini Dar Es salaam, anasema ;
" Wakati mwingine huwa wanakuja wanaume hapa wanatuchukua na kutuambia tufanye 3somes huku wakitutazama. Unajua wapo wanaume ambao huwa wanasisimka pindi wawaonapo wanawake wakijamiiana wao kwa wao, sasa baadhi yao huwa wanakuja na kutuchukua wanawake wawili, na huwa inakuwaga hivi, anakuja mwanaume mmoja anasema anataka wanawake wawili wanao sagana, halafu tukienda hotelini, anatuambia tusagane huku anatuangalia, baada ya sisi kumaliza ndipo yeye hutuingilia "
Anaongeza
" Wengine hutuchukua wanawake watatu au hata watano, wanatupeleka hotelini wanatulewesha na kututaka tufanye group sex huku wao wakitutizama "
Uchunguzi huu umebaini ya kwamba asilimia kubwa ya wanawake wanao fanya biashara ya kuuza miili yao jijini Dar Es salaam, wanawauza miili yao kwa wanaume na kwa wanawake wenzao pia. Jambo hili huchangia katika kasi ya kuenea kwa maambukizi ya virusi vya ukimwi nchini.
 
Back
Top Bottom