Mwanamke msagaji ameniambukiza virusi vya ukimwi.

Mwanamke msagaji ameniambukiza virusi vya ukimwi.

Acha maneno mengi malizia story, blog yako haifunguki.

Leo nimeelezea vitu vingi sana, kesho nitaendelea na nilipo achia..Ninavyo vitu vingi sana kaka vya kuzungumzia kuhusu suala hili. Kuhusu blogu yangu, tafadhali tembelea : ULIMWENGU USIONEKANA, kama itashindwa kufunguka hapa JF, unaweza kwenda google na kutype anwani hiyo hapo juu.
 
Imetosha sasa kaka, tuangalie umuhimu wa uzi huu kwa jamii yetu, habari za Shigongo zinatoka wapi tena mjomba?. Kwa nini usi apreciate jitihada za blogu yangu katika kutoa elimu ya mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi? Uki apreciate tunacho kifanya hauwezi kupungukiwa na kitu chochote.

Yes I like this.. Lazima tukubalI hata km ni hadithi c mwisho wa Cku tunaelimika?
 
mleta mada nahisi umekula funds za kina david cameroon na obama kuhamasisha uliberali tz kwa kina dada.ur post r too much into to inspire lesbianism ruther than condemning it.deuces.
 
mleta mada nahisi umekula funds za kina david cameroon na obama kuhamasisha uliberali tz kwa kina dada.ur post r too much into to inspire lesbianism ruther than condemning it.deuces.

Nadhani utakuwa haujasoma vizuri uzi wangu, hakuna kitu chochote kinacho ashiria kuwa ninawaspoti waliberali...Sura ya kwanza inaonyesha namna ambavyo suala la usagaji limeenea katika jamii yetu, lengo likiwa kukuonyesha umuhimu wa mimi kuandika makala haya i.e kutoa elimu ya kukabiliana na vitendo hivi katika jamii yetu,. Hata hivyo ninakusihi ufuatilie hadi mwisho wa makala haya utagundua ni kitu gani ninakieleza hapa. Utakuwa unanikosea sana heshima yangu kama utasema nipo hapa kwa ajili ya kusuport huu upu. uzi.
 
tatizo lako umekosea ndg.ulitakiwa kwanza u-stick na hadithi yako ambayo kwa namna flan imenivutia.lakin kuanza kuja na mapicha na bla bla bla zingine kuhusu usagaji na ku promote blog yako,hapo ndo nahisi umesimamia upande wa kuhamasisha.btw malizia ile hadithi.
 
tatizo lako umekosea ndg.ulitakiwa kwanza u-stick na hadithi yako ambayo kwa namna flan imenivutia.lakin kuanza kuja na mapicha na bla bla bla zingine kuhusu usagaji na ku promote blog yako,hapo ndo nahisi umesimamia upande wa kuhamasisha.btw malizia ile hadithi.
Kuhusu hadithi, jiandae kusoma gazeti la "Ulimwengu" litakuwa mtaani kuanzia Agosti 10 ,2013..
 
hii ilikuwa promo ya gazeti la ulimwengu na blog yako nini
 
Ningemalizia kama mnge apreciate ninacho kifanya badala ya kuanza kunicriticize tena.

Unajua mkuu cku zote kwenye msafara wa mamba na kenge wamo! Wanaokudis achana nao kwan cku zote kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji. Endelea kutushushia mautam.
 
Unajua mkuu cku zote kwenye msafara wa mamba na kenge wamo! Wanaokudis achana nao kwan cku zote kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji. Endelea kutushushia mautam.

Okei usijali, nitaendelea , just stay in touch.
 
SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA : WANAWAKE WANAO TAFUTA WANAWAKE WENZAO KATIKA MITANDAO YA URAFIKI NA UCHUMBA KWA AJILI YA KUANZISHA MAHUSIANO YA JINSI MOJA.


SOURCE : http://www.mungwakabili.blogspot.com







dadacomputer.jpg

Msichana akifurahia internet. Kuna idadi kubwa sana ya watumiaji wa mitandao mbalimbali ya kijamii nchini ambao wanajitambulisha kama wasichana wa kitanzania wanao jihusisha na ngono za jinsia moja ambao huwatafuta wasichana /wanawake wenzao kwa ajilin ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja.

Katika mitandao mbalimbali ya kutafuta marafiki na wachumba , kuna idadi kubwa sana ya watumiaji wa mitandao hiyo wanao jitambulisha kama wanawake wa kitanzania wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsia moja.
Kwa mfano katika tovuti moja ya uchumba na urafiki ya kitanzania, kuna wanachama wapatao 74,470 . Kati yao wanawake ni 14,280 na wanaume wapo 60,190, kati ya wanawake 14280 wanao tumia mtandao huo, wanawake 6432 sawa na asilimia 40 ya idadi ya wanawake wanao tumia mtandao huo, wanajitambulisha kama wanawake wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja. Wanawake hawa 6432 ni wale wanao jitambulisha wazi wazi kwamba wao wanajihusisha na mahusiano ya jinsi moja ama wanatafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja, achilia mbali wale ambao hawajitambulishi kama wanawake wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha mahusiano ya jinsi moja.



Haya ni maelezo ya baadhi ya watumiaji wa mtandao elezwa hapo juu, ambao wanajitambulisha kama wanawake/wasichana wa kitanzania wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja.


· Sugarita,24 from DSM Cutee looking for women….I love galz... no men allowed
· Jen B, 21, from Mwanza; Natafuta Mdada Msafi wa kupeana Raha.


· Ejaculator,35 from Dar Es salaam; lesbian, napenda sana kusagana, kama uko interested niandikie private acha contact zako nitakupigia tupange kuonana. wanaume sitaki, pia nitakupa raha kwa vibrater na big dildo.

· MamboYetu,30 from Dar Es salaam; nahitaji mxagaji jamaniiii!!!!!!!!!!!!!!! men NO.

· Babycute, 25 from Dar Es salaam; nahitaji mwanamke tu wa kusagana ,men stay away .

· MSAGAJI ,36: from Dar Es salaam: NATAFUTA WAPENDAO KUSAGANA; HI MIMI NI MSAGAJI NATAFUTA WANAWAKE WANAOPENDA KUSAGANA,WANAUME HAWANA NAFASI NI MADEMU TU ALIETAYARI TUWASILIANE.

( Hawa ni baadhi kati ya mamia ya watumiaji wa mtandao huu wanao jitambulisha kama wanawake wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha mahusiano ya jinsi moja, tumechagua kuandika maelezo ya hao hapo juu kwa sababu maelezo ya wengine hayaandikiki ).


[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 175"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD] Na katika tovuti moja ya kigeni ambayo huwaunganisha watu na wachumba, kuna zaidi ya wanachama Elfu 3, ambao wana jitambulisha kama wanawake na/ama wasichana wa kitanzania wanao tafuta wanawake na ama wasichana wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja. [/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Vile vile katika baadhi ya blogu za kitanzania zinazo hamasisha masuala ya ngono, kuna kundi kubwa sana la watu wanao jitokeza kutoa maoni yao katika blogu hizo ambao wanajitambulisha kama wanawake/wasichana wa kitanzania wanao tafuta wanawake/wasichana wenzao kwa ajili ya kuanzisha mahusiano ya jinsi moja. Blogu ya RAHATUPU ni mfano wa blogu za kitanzania ambazo zinatumika katika kuhamasisha masuala ya usagaji na ushoga. Maelezo yanayo tolewa na wanawake wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha mahusiano ya jinsi moja katika blogu hiyo, hayaandikiki.

Pia katika mtandao wa kijamii wa Facebook, kuna kundi kubwa sana la watumiaji wa mtandao huo ambao wanajitambulisha kama wasichana/wanawake wanao tafuta wanawake wenzao kwa ajili ya kuanzisha nao mahusiano ya jinsi moja. Baadhi ya wasichana hao, wanatumia majina ya bandia ambayo yanawaelezea moja kwa moja kuwa wao ni watu wa aina gani. Baadhi ya majina hayo ni pamoja na :
· Joan Msagaji.
· Ricy Msagaji.
· Nasagana Bure Kut****wa kwa pesa.
· Mariam Msagaji Tanga.
· Msagaji Mbeya.
· Msagaji Mrembo Smart.
· Msagaji Hodari.
· Msagaji Mwenye Nyege.
· Msagaji wa Wanawake.
· Msagaji Utamu.
· Msagaji Nicky
· Msagaji Beyonce.
· Sofia Msagaji.
· Leylah Msagaji.
· Msagaji Puritieh.
· Martina Msagaji.
· Pwido Msagaji.
· Jenny Msagaji.
· Msagaji Arda.
· Pretty Msagaji.
· Msagaji Mrembomsiginapapai.
· Nasa Gana.
· Mimi Nasagana.
· Naliwapapuchi, Naliwa0713, Nasagana ( Edit imefanyika ili kupunguza ukali wa maneno ). Nakadhalika nakadhalika.


Wengi wa hawa huwa ni members katika makundi yanayo waunganisha wanawake wanao jamiiana na wanawake wenzao.


Kwa maelezo zaidi, tembelea : ULIMWENGU USIONEKANA.
 
[h=3]SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA: WANAWAKE WANAO FANYA BIASHARA YA KUUZA MIILI YAO KWA WANAWAKE WENZAO NCHINI TANZANIA.[/h]
SOURCE : http:// ULIMWENGU USIONEKANA


Kabla hatujaanza kuelezea namna suala la wanawake kuuza miili yao kwa wanawake wenzao nchini Tanzania, ni vyema tukaona namna suala hilo hilo lilivyo nchini Tanzania. Hapa tuna copy na kupaste taarifa ya mtandao wa P.M NEWS la nchini NIGERIA lenye kichwa " LESBIAN PROSTITUTION BOOM IN LAGOS " . Habari hii, itatusaidia kupata picha ya kinacho endelea hapa kwetu Tanzania katika biashara hii, kwani tofauti iliyopo ni ndogo sana.



[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Picha Ya Makahaba wa Nigeria wanao fanya kazi ya kuuza miili yao jijini Lagos. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[h=1]Lesbian Prostitution Booms In Lagos[/h] [h=1][/h] [h=1][/h] [h=1]http://pmnewsnigeria.com/2011/10/28/lesbian-prostitution-booms-in-lagos/print/[/h] Published on October 28, 2011 http://pmnewsnigeria.com/2011/10/28/lesbian-prostitution-booms-in-lagos/#comments
Beautiful girls, rich women, money, expensive cars, strip clubs, luxurious hotels â€"the secret sex trade, exclusive only to women, is now big business in Lagos State, southwest Nigeria, P.M.NEWS has revealed, after intense undercover research.
Like in a secret cult, only the initiated understand its cryptic language, esoteric ways, sexual benefits and financial rewards.
For those involved in the bizarre trade, it was discovered during investigation in Lagos Mainland and Island, lesbianism is not new.
Most sex workers with secondary school education agreed that their involvement in the salacious act dates back to their boarding school days when they were initiated by older girls.
Back then, it was just casual sex by girls in their puberty. Today, lesbianism has become a trade, a big but hidden business in the Lagos metropolis.
Dozens of prostitutes informally interviewed during this investigation gave a rare insight into the usually hermetic world of lesbianism in Lagos and the trade now associated with it.
The youngest lesbian prostitute P.M.NEWS met for this article was 16 years old. Most of them were in their early 20s.
Many get involved through seduction. Some are influenced or initiated by friends who are already in the sex trade and have contacts and connections in high places , where women are ready to exchange cash for pleasure.
“I was introduced to lesbianism when I was in secondary school. I was in a boarding school in Benin,” says one of the lesbian prostitutes who introduced P.M.NEWS team into the strange world of lesbian prostitution in Nigeria’s most populous city.
Now a student at the University of Ado Ekiti, the Edo State indigene, shuttles between campus and clubs, hotel rooms or sleek houses in Lagos most weekends to have sex with rich women.
“I have to be in Lagos on weekends because that’s where the business pays well. Sometimes, I travel to Port Harcourt, but most times, I come Lagos.
“I already know how it works here in Lagos. I have a lot of contacts in the strip clubs and I have a lot girls who are into the business and they refer women to me. But it is better to meet the woman yourself because if she is rich, the other girl will not refer you to her, she will take her herself,” she says.
During an outing in Lagos four weeks ago, she remembered with nostalgia, how a rich man once approached her for his shy wife and paid her big money.
“She was shy, she told me. She wanted a girl that night but she could not come to the strip club and her husband picked me for her.
“The husband left us in the room upstairs. He was having some drinks downstairs and watching TV. He later came when we were almost done and gave her a peck. He asked her if I was good. She didn’t answer. She just gave him a peck and smiled,” she said.
She admitted that sometimes, she services men, but added, “It’s better to do it with a girl. She knows how to make you come and she cannot transmit diseases to you.”
There are also risks, she admitted. She remembered how she was approached by “one rich woman with a British accent.
“I agreed to follow her. However, when we got home, there were two other ladies waiting for me. She did not tell me I would be having sex with three women. But I had no choice. I was already there and I did it. I just renegotiated the amount,” she said.
This new trend of prostitution is fast spreading among teenagers, but is not restricted to them.
The high and mighty in the society are involved. Other less fortunate in life are also involved in their level.
Tribe or religion is no barrier. P.M.NEWS was introduced to some lesbian prostitutes who claimed to be Muslims and others said they are Christians.
There were also others, who perhaps, due to the effect of alcohol, did not know which religion they practice.
Unlike the ordinary sex trade between men and women, those involved in the trade said they do not stand by the roadside to meet patrons.
Patrons and sex workers usually meet in some of the strip clubs in Lagos, exchange contacts or leave straightaway for their escapades.
Rich women are involved mainly for pleasure while the workers are in it for money.
“It’s about connection. One person introduces “one person to another and it goes round. They are able to identify themselves through compliments like;oh! I love your legs. You have sweet boobs. You look beautiful,’” another lesbian prostitute told P.M.NEWS in a strip club during the investigation.
She added: “They also wink and look seductively at you. If they get a good response from you, then they know they are with the right person.”
She says some possess a high level of courage.
“They can walk up to any lady they find attractive as long as the environment is safe for them.”
Other prostitutes argued that society women in Lagos who are involved in the trade are very caring.
“Especially if they find you interesting, in the sense that if you are able to make them reach orgasm. They will give you a special treatment such as take you for shopping and keep you as partner even after sex. They can then buy you a car or rent you an apartment,” one of the sex workers said, echoing what was heard from others in their business.
The payment for services rendered is determined by quality service offered by the prostitute.
“It could be sucking their private part or the ability to creatively use your hands to please them,” a sex worker said.
The excellent use of vibrators and a good massage can put one worker at an advantage position.
The fees start from N15000 a night and can reach N100,000 in some cases. The amount dwarfs by far what is paid by men, which starts from N1000 or N2000 depending on the area.
The ghettos are no exception to the trade but the price is relatively poor, it was discovered. It varies between N2000 and N5000.
One sex worker explained that even though the trade is based on connections and recommendations, there are special places where it is easy to get hooked with lesbians. Beauty salon, luxurious hotels, swimming pools and expensive shopping malls were mentioned.
Married women are also involved. They woo girls in need of money, including their friends’ daughters.
Married women in the trade claim that their husbands are either not good enough in bed or too busy to attend to their sexual needs.
“They tell me their husbands do not satisfy them or are too busy and they can’t cheat with another man without being suspected,” a worker told P.M.NEWS.
“The good thing about it is that men cannot suspect them. Any woman can hang out with them and men are not bothered,” a sex worker said.
Some women, the prostitute explained, invite two girls to satisfy them.
The root of this new dimension of prostitution can be traced to “only-girls” boarding schools.
Young innocent girls in such schools are lured into the act by older girls, most time through bullying.
During this investigation, our correspondents interviewed dozens of sex workers mainly at strip clubs and attended a get together by lesbians and bi-sexuals.
â€"Simon Ateba & Kashimana Beba
 
SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA : WANAWAKE WANAO FANYA BIASHARA YA KUUZA MIILI YAO NCHINI TANZANIA . A CASE OF DAR ES SALAAM & ARUSHA.

SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA


MACHANGU2.jpg

Machangudoa wakijiuza jijini Dar Es salaam. Kutokana na biashara yao kuwa ngumu, wengi wao sasa wamejiingiza kwa wingi katika biashara ya kuuza miili yao kwa wanawake wenzao(ngono ya jinsia moja


changu1%5B1%5D.jpg


Machangu wakiwa kazini jijini Dar Es salaam. Baadhi ya machangu hawa hufanya biashara ya kuuza miili yao kwa wanawake wenzao. Picha zote kwa hisani ya GPL.

Kuibuka, kuenea na kushamiri kwa vitendo vya mahusiano ya jinsi moja kati ya wanawake kwa wanawake katika jamii yetu kumekuja na suala la biashara ya ngono inayo husisha mwanamke na mwanamke. Kwa mujibu wa utafiti wetu biashara hii hufanywa na makundi mawili. Kundi la kwanza linawahusisha wanawake na ama wasichana ambao si machangudoa, bali wanaingia katika mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzao kwa sababu ya kupata fedha ambazo hupewa na wanawake wasagaji ambao ndio huwashawishi kuingia katika mahusiano ya jinsi moja. Kundi la pili linawahusisha wanawake ambao ni machangudoa wanao jiuza katika mabaa na kumbi mbalimbali za starehe ambao sasa pamoja na kuuza miili yao kwa wateja wa kiume, wanawake hao huuza miili yao pia kwa wanawake wanao jihusisha na ngono ya jinsi moja. Katika sehemu ya pili ya makala haya , tutalielezea kwa kina suala hili na kuonyesha namna linavyo changia katika kasi ya mambukizi ya v.v.u nchini Tanzania.
 
[h=3]SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA: WANAWAKE WANAO JAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO KWENYE TASNIA YA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA NCHINI TANZANIA.[/h]
SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA







[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Haroun Rashid Kahena, a.k.a Inspector Haroun, msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Temeke, jijini Dar Es salaam, Tanzania, amekuwa msanii wa kwanza na pekee kutoka nchini ambaye amefanya wimbo unao mkemea na kumkosoa mwanamke anaye jamiiana na wanawake wenzake. Inspekta Haroun anatuonyesha ni kwa jinsi gani suala hili limejikita mizizi katika ardhi yetu na hivyo kuhitaji juhudi za haraka na za makusudi katika kukabiliana na suala hili kabla halija sambaza virusi kwenye mfumo wa jamii yetu.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kushamiri kwa suala la mahusiano ya jinsi moja kati ya wanawake kwa wanawake kumewasukuma baadhi ya wasanii kutoa nyimbo zinazo kemea kuhusu uwepo wa suala hilo katika jamii yetu. Haroun Rashid Kahena , maarufu zaidi kama " Inspector Haroun " ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Temeke jijini Dar Es salaam. Mnamo mwaka 2004 katika Santuri yake iliyojulikana kama "Pamba Nyepesi " kulikuwa na wimbo uitwao " JIMAMA MSAGAJI ". Katika wimbo huu msanii Haroun Kahena anakemea vikali tabia ya mwanamke mmoja anaye jihusisha na mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzake.
Ni Haroun Kahena pekee ndio aliye toa wimbo mzima ambao una ongelea suala la mwanamke anaye jihusisha na mahusiano ya jinsi moja na wanawake wenzake. Hata hivyo suala hilo linatajwa japo kwa ufupi sana na wasanii wengine katika nyimbo zao. Mara nyingi hutajwa pindi msanii azungumziapo suala la mmomonyoko wa maadili katika jamii yetu. Kitendo cha msanii Haroun Kahena, kutoa wimbo unao kemea tabia ya mwanamke anaye jihusisha na mahusiano ya jinsi moja, kinatuthibitishia namna ambavyo suala hilo limeenea na kushamiri katika jamii yetu kwa sababu wasanii siku zote huwa wanaimba kuhusu mambo yanayo tokea katika jamii inayo wazunguka.
 
[h=3]SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA :WANAWAKE WANAO JAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO KATIKA FILAMU ZA KITANZANIA.[/h]

CHANZO : ULIMWENGU USIONEKANA






[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Nora katika tabasamu. Katika muvi ya UPANDE WA PILI WA NDOA, mwanadada Nora ameigiza kama mwanamke ambaye ana uhusiano wa jinsi moja na wifi yake ama dada wa mume wake kwa jina lingine. Picha kwa hisani ya GPL.[/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Nora akiwa batani. Picha kutoka GPL.[/TD]
[TD="class: tr-caption, align: center"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]







UPANDE WA PILI WA NDOA ni filamu ya kwanza ya kitanzania inayo julikana ambayo ndani yake kuna wahusika wanawake ambao wana uhusiano wa jinsi moja. Katika filamu hii, mwanaume anafunga ndoa na mwanamke ambaye ni rafiki wa karibu na dada yake , bila kujua kwamba mke wake ana uhusiano wa jinsi moja na dada yake huyo .. Anapokuja kuujua ukweli anakuwa amekwisha chelewa sana.






[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Mnenguaji Queen Suzy. Katika filamu ya UPANDE WA PILI WA NDOA, msanii huyu ameigiza kama mwanamke ambaye ana uhusiano wa jinsi moja na mke wa kaka yake. Filamu hii inatuonyesha ni kwa namna gani suala la usagaji limejikita mizizi katika jamii yetu na endapo hatua za makusudi za kukabiliana nalo hazitachukuliwa mapema, litamomonyoa maadili ya jamii yetu kwa kiasi kikubwa sana. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Katika filamu hii, msanii Nuru Nassor maarufu kama Nora amecheza kama mke wa mtu ambaye ana uhusiano wa jinsia moja na dada wa mume wake, wakati mnenguaji wa muziki wa dansi aitwaye Queen Suzy amecheza kama mwanamke ambaye ana uhusiano wa jinsi moja na wifi yake.
 
SEHEMU YA KWANZA BADO INAENDELEA ; WANAWAKE WANAO JAMIIANA NA WANAWAKE WENZAO KATIKA FASIHI YA KISWAHILI TOKA TANZANIA.



SOURCE : ULIMWENGU USIONEKANA





[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]Kava la kitabu cha WASAKATONGE kilicho tungwa na MOHAMED SEIF KHATIB. Ndani ya kitabu hiki cha mkusanyiko wa mashairi mbalimbali( DIWANI) kuna shairi liitwalo " JIWE SI MCHI" ambalo kupitia kwalo, Mwanafasihi Mohamed Seif Khatib anawaonya na kuwakosoa vikali wanawake wenye tabia ya kujamiiana na wanawake wenzao kwa kuwaambia kuwa, tabia hiyo ni kinyume na maadili yetu na kinyume na maumbile ya mwanadamu. Mwanafasihi anaenda mbele zaidi na kuwakumbusha wanawake hao kuwa, kujamiiana ni tendo linalopaswa kufanywa kati ya mwanaume na mwanamke na si vinginevyo.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Mohamed Seif Khatib ni Mshairi maarufu kutoka Tanzania. Katika Diwani yake maarufu ya mwaka 2005, ijulikanayo kama " WASAKATONGE " , kuna shairi linaitwa " JIWE SI MCHI ".
Katika shairi hilo, mshairi anakosoa vikali tabia ifanywayo na baadhi ya wanawake katika jamii yetu kwa kujamiiana wao kwa wao hali wakijua kufanya hivyo ni kinyume na utaratibu uliowekwa na Mwenyezi Mungu achilia mbali ya kwamba ni kinyume na tamaduni za mtanzania pamoja na maumbile ya asili ya mwanadamu. Mshairi anawakumbusha wanawake wa aina hii kwamba, tendo la kujamiiana ni jambo linalopaswa kufanyika kati ya watu wawili wenye jinsia mbili tofauti yani mwanamke na mwanaume na sio mwanamke na mwanamke ama mwanaume na mwanaume.


Kwa kuhitimisha, maelezo hayo hapo juu yanaonyesha ni kwa kiwango gani suala la mahusiano ya jinsi moja kati ya wanawake kwa wanawake limeshamiri katika jamii yetu na hivyo basi serikali kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za kijamii pamoja na jamii yote kwa ujumla zinapaswa kuchukua hatua za makusudi kabisa katika kutafuta suluhisho la tatizo hili linalo ikumba jamii yetu.
 
Back
Top Bottom