Sasa hivi na wwe utajinyonga kisa CCM,ila kumbuka kuna Maisha mengine baada ya CCM!!Huyo mwananume atakuwa ana kadi ya ccm ndio maana amekuwa na roho ya kutoa uhai wenzake..
Knowledge is better than Education!!Apumzike kwa amani! Lakini Bidada ametoa mpya ya mwaka haya mambo ya msomi mzima kupata wendawazimu kwa ajili ya mapemzi wangewaachia wale ambao hawajasoma!
NILIGUNDUA KUWA UVINZA KUNA WAFANYA MADADA WAWE MACHIZI, ANAWEZA KUNYWA SUMU AISEE