Fumbo Khan
Member
- Dec 1, 2020
- 5
- 9
Mdada huyo wa S.Africa ambaye kitaaluma ni mhandisi na tayari ana kazi, amejiua kisa mapenzi. Kabla ya kujiua aliibukia Facebook kumtuhumu boyfriend wake. Anasema alijitoa sana kwa mwanaume husika lakini akaishia kuharibiwa maisha yake na jamaa. Aliongeza kuwa mwanaume huyo alisababisha awe kama mwendawazimu halafu baadaye jamaa akawa anamuuliza mbona upo kama mwehu wakati yeye ndie chanzo
View attachment 1639590View attachment 1639591
View attachment 1639590View attachment 1639591