MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 145
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Amber Luke, raia wa Australia, amepaka rangi mboni za macho yake na kupasua ulimi uwe kama wa nyoka.
Yaani MUNGU anamuumba Mtu kwa Mfano wake halafu Mtu huyo anaji-transform afanane na shetani Nyoka lililomlaghai pale Bustanini...One Day People will remember all shit they did just to enjoy Life.
Yaani MUNGU anamuumba Mtu kwa Mfano wake halafu Mtu huyo anaji-transform afanane na shetani Nyoka lililomlaghai pale Bustanini...One Day People will remember all shit they did just to enjoy Life.