Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Kumtetea mtu ni mapenzi binafsi,hata wewe,waweza kumtetea umpendae,watu wanakufa kwa kutetea nchi,Mali,pesa,mke,mtoto,mpenzi nkSasa kama MUNGU ni mmoja na ndiye apaswaye kuabudiwa, inakuwaje sasa mnauana na kunyongana kwa sababu ya kumtetea mtu tu mwingine aitwaye Moh'd?