Mwanamke mmoja hamtoshi mwanaume

Hakuna mwanamke anayeweza kuhimili jitihada za mwanaume kamili. Kila siku wanakuwa na sababu za kutoshiriki.

Sasa ni wakati muafaka kuwa na wanawake wengi ili kupunguza ugomvi na mauaji yanayoendelea nchini kutokana na mahusiano na mapenzi.
Ni kweli kabsa usemalo ase mwanamke mmoja atosh kwa mwanaume kamil kabsa weng katika tendo wakichoka kushiriik tens inakua ugomv
 
Wengi wetu bila baba zetu kuongeza wake wengine au kuchepuka tusingekuwepo duniani kabisa.
Ila tunajifanya kumkosoa jamaa ili tuonekane hatuchepuki.
 
Ukiona hivyo ujue unapaswa kubaki na mmoja tu.
Na uwe mwaminifu kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…