Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Inasikitisha,mke na mume walikua wanaishi maisha yao mazuri tu.Wiki mbili zilizoisha,mke alihamisha kila kitu kwenye nyumba waliyokua wanakaa.Ilimuuma sana mwanaume kufanyiwa kitendo kile.Akawa,anasafiri na pikipiki kila siku,saa 5 au 6 usiku kuelekea mjini moshi kwenye makazi yake mengine.Jana,sasa 6 amegongwa na gari akiwa anaelekea moshi akafa,swali lakujiuliza Je mke wake aliyemtoroka atakuja kwenye mazishi?au kuleta watoto wao!