Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
asante mkuu...
Lakini rekebisha spelling kwenye hiyo heading...binafsi nilipoiona hii thread nilielewa kitu kingine kabisa maana kwa waswahili ukisema mwanamke mkuu...hata kama ulikuwa ulimaanisha mwanamke mguu...bado hiyo mkuu imekamilika na ina maana yake ambayo siyo uliyoikusudia wewe..
We Mfunyukuzi hiyo picha kama naijua
sasa napata picha; ile ya asha balaka na hii zinaendana, inaonekana mfukunyuku ana picha zaidi. tule raha