Rudia kusoma budaa, nikirudi nishamaliza hukoo niko mwepesiii ππLazy man. Yani anakubania halafu anampa nani?. Nawe umeridhika kabisa eti na hug, mabusu halafu tunalala, halafu unauliza ufanyaje?.
Wanaanza na kuwadekeza mwanzoni.Nyie mbona mnapitia changamoto hivi
Si ndo hapo sasa.Wanaanza na kuwadekeza mwanzoni.
Vzr sana mwanamke mwwnzetu anatekeleza makubaliano ya kikao chetu cha juzi hamna kumfanyia KAZI mtu
Yeye nani anamtolea wepesi huko home ambapo umekuta ng'ari ng'ari?. Yani kila mtu anatoka kwenda kuokoteza huko mkirudi ndani mmeshiba sio πππ.Rudia kusoma budaa, nikirudi nishamaliza hukoo niko mwepesiii ππ
agiza kabisa likae kama akiba, utanishukurunaweza kuagiza gunia la mkaa
Swali zuri sana na kuna mkuu mmoja hapo juu kashauri yakuwa atafute Mama mtu mzima amsemeshe kwanza na mimi naongezea swali mmeshajaaliwa kupata watoto?, na mmefunga ndoa ya kidini au kimila? naamini sana ktk kutafuta suluhu kwa kuwashirikisha watu wazima kuliko kumpiga vibao. Ndio maana wanaume tunakufa kabla ya wanawake.Unaishi naye kwa makubaliano ya mume na mke, uchumba au mmezoana tu?
Mambo ya baby nakupenda Sana,baby siwezi ishi bila wewe,Bibi agiza savannah Mimi nakunywa maji Nina dozi.Baby ngoja nikusaidie kuosha vyombo nk.Hovyo Sana.Si ndo hapo sasa.
Kwangu ungekula vitasa hakuna namna cheee
Ndio hivyo sasaβ¦Mambo ya baby nakupenda Sana,baby siwezi ishi bila wewe,Bibi agiza savannah Mimi nakunywa maji Nina dozi.Baby ngoja nikusaidie kuosha vyombo nk.Hovyo Sana.
Ana miaka mingapi?
Wakati mnanyanduana kwa kuibia hukujua kama ni mchafu?
Pumbavu kabsaaaVzr sana mwanamke mwwnzetu anatekeleza makubaliano ya kikao chetu cha juzi hamna kumfanyia KAZI mtu
Usitumie hasira hazita saidia fikiria vema cha kufanya kumtoa nje ya chumba sio dawa.Wanajukwaa, naomba mnisaidie hili limekaaje.
Ninaishi na mwanamke ila ni mbishi kupindukia kiasi kwamba hataki kufanya usafi wa nyumba, nikimwelekeza kutimiza majukumu fulani labda kufua nguo zangu, analoweka na kukamua, na kuanika hivyo hivyo mpaka niongee sana ndiyo ananisikiliza.
Sasa nimeona hii inansumbua kitu, nataka nimfukuze ndani. Bora akae chumba cha nje, mimi nikae kivyangu ili hayo majukumu nitekeleze mwenyewe. Hii imekaaje?
Maana sitaki aingie ndani kwangu tena, nataka nimpe chumba cha nje anipishe. Maana nina hasira sana, nikikaa naye karibu naweza kuagiza gunia la mkaa.
Dada wewe ni mnyakyusa ? πππYani uko na mwanamke ndani halafu hakufulii nguo!!unafua mwenyewe eti hutaki kujibishana nae..nonsense kabisa.na bado unamhudumia!!π
Ungekuwa unamlisha vitasa vya mshtukizo kama mabomu ya Urusi na Ukraine.pumbavu kabisa
Mara nyingi kwenye maisha ndio mfumo huo unasema kama sio leo basi itakuwa kesho mara imepita miaka 5 mateso raha vyote vyako π€£ π€£Alijipa matumaini eti atabadilika
Hawa watu huwa hawako sawa na ndo maana hutakiwi mtegemea mmojaTunapitia mengi pole sana
Wa kwangu ni msafi kupindukia yaani ndani ng'ari ng'ari mpaka air freshener.
Ila sasa mbunye kwa mbinde, nimeamua kutafuta kimada. Nikirudi niko mwepesiii namhug mabusu halafu tunalala tu,
Sasa nifanyeje?
Umevamia sasa unalia,pole sana,hakuna mwanamke mwepesi.Tuanzie hapa kwanza ,kilikuvutia nini mpaka ukaamua kuishi naye...?Wanajukwaa, naomba mnisaidie hili limekaaje.
Ninaishi na mwanamke ila ni mbishi kupindukia kiasi kwamba hataki kufanya usafi wa nyumba, nikimwelekeza kutimiza majukumu fulani labda kufua nguo zangu, analoweka na kukamua, na kuanika hivyo hivyo mpaka niongee sana ndiyo ananisikiliza.
Sasa nimeona hii inansumbua kitu, nataka nimfukuze ndani. Bora akae chumba cha nje, mimi nikae kivyangu ili hayo majukumu nitekeleze mwenyewe. Hii imekaaje?
Maana sitaki aingie ndani kwangu tena, nataka nimpe chumba cha nje anipishe. Maana nina hasira sana, nikikaa naye karibu naweza kuagiza gunia la mkaa.
Weka na beki tatu, Sasa Kama kumuacha hutaki, unataka Nini?mashine ya kufua itadeki nyumba pia?
Eti Saint Anne mimi ni mnyakyusa ukiniona onaDada wewe ni mnyakyusa ? πππ
Kina mama wa kinyakyusa hawapendi ujinga kabisa