''18 cm'' fanya marekebisho ya kipimo hicho
Nimeajiriwa serikalini napenda kujitokeza ndani jamiiforum kumpata mwanamke aliyetayari kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mimi na awe tayari wakati wowote nitakapoamua kumuoa asije akaanza kunipa sababu kwamba nimemshitukiza.mimi ni mkristo ni mrefu wastani maji ya kunde miaka 38 .sifa nimtakaye
1.mkristo
2.mrefu [18 cm]
3.rangi yeyote
4.awe na shape nzuri
5.awe anaishi dar es salaam
6.umri miaka 25--32
7.asiwe anakunywa pombe
8.mwenye kujua mapenzi [amefundwa]
9.asiwe mkorofi
10.elimu kuanzia ngazi kidato cha nne na kuendelea
I need husband seriously lkn,awe amempokea Yesu!...pili hakuna kujuana kipindi cha mahusiano (tendo la ndoa) mpaka ndoa if God wish....,elim nina degree. kazi ni kwako,teh the.......ss hayo mambo ya shep,hebu fafanua kidogo,maana shep zipo hadi za kichina ckuhiz!
dah... ukiruhusu kuonjana kabla ya ndoa nitafute. I am a commited christian and i read bible everyday.
hee,rafiki angu ss kuwa committed christian na kusoma bibble ndo ukristo?...ww km umeamua kuwa wa Yesu acha hayo mambo na inawezekana!....tangu umeanza kuonja umefaidika na nn?
ha haaa..hakunaga ukristo uliokomaa....Mungu ni roho!na wanaomuabudu wanapaswa kumuabudu ktk Roho!Yes ukristo uliokomaa..
labda ningekuwa nimekufa kama ningekuwa sionji.... yu neva noo mtu wangu.
....mh! hili nalo neno!Mungu akubariki.
Kama 38yrs bado haujaoa, jiandae pensheni kusomeshea.
Mkuu asilimia kubwa ya wanawake ni wafupi zaidi ya hapo..wengi ni 168 cm kushuka chini unless unataka mmasai..hapo..!!!nilikosea ni 180 cm samahani
nimeajiriwa serikalini napenda kujitokeza ndani jamiiforum kumpata mwanamke aliyetayari kuanzisha mahusiano ya kimapenzi na mimi na awe tayari wakati wowote nitakapoamua kumuoa asije akaanza kunipa sababu kwamba nimemshitukiza.mimi ni mkristo ni mrefu wastani maji ya kunde miaka 38 .sifa nimtakaye
1.mkristo
2.mrefu [18 cm]
3.rangi yeyote
4.awe na shape nzuri
5.awe anaishi dar es salaam
6.umri miaka 25--32
7.asiwe anakunywa pombe
8.mwenye kujua mapenzi [amefundwa]
9.asiwe mkorofi
10.elimu kuanzia ngazi kidato cha nne na kuendelea