AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
- Thread starter
- #21
Umeniita? Labeka!
Hehehe... mi sijashindwa kutongoza bana. Nshatongoza siku nyingi niliyepaswa kumtongoza. Na ameshatongozeka na akakubali kutongozeka. Yupo kajikalia nyumbani, nikitaka nagusa bega tu.
Ndio nimekuita shem.... Hebu msome huyu hapa chini..... lol
BTW Hapo unajifariji?? Ule msimamo wako wa Kuendeleza utamaduni uko wapi? Au ndio ile ya Sungura hazifai hizi ni mbichi? lol
Umechanganyikiwa....!
Scofield kidogo nikusahau....lol... Say something on the topic, achana na this crazy shem of mine.