Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..
Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..
Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..
hivi daughter ukimuita bf mume ukweli si bado unajulikana tu sio mumeo na ww sio mkewe? mi naona ni jina tu kama vile mpnz, bby.... etc. haibadili uhalisia.
Ni halali kwa wanawake kuwachukulia wapenzi wao kama waume wa ndoa ilihali hata uchumba bado? Nimeshuhudia marafiki zangu wawili waliokuwa na tabia hiyo na walipoachika wakakata tamaa utadhani wamepewa talaka. Wanawake msijiaminishe kihivyo mtaumia bure..
Alafu hii tabia imeota mizizi,eti mnatumiana msg oooh...karibu tule mume wangu...nae anajibu asante mke wangu....unakula nini?? Yani unafiki mtupu then end of the day mnaachana kiaina.