Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
unamlamba chumvini!
Afanaleik kufa hakuna breki, hivi umekusudia kabisa kusema hivi au basi tu ajali ya maneno?
unamlamba chumvini!
Afanaleik kufa hakuna breki, hivi umekusudia kabisa kusema hivi au basi tu ajali ya maneno?
Wanawake wengi Bongo huolewa na watu wasio wapenda, kwani wale wanaowapenda hawawezi kuwaambia na kwa hiyo inabidi asubiri yule anayemuapproach (hata kama hampendi) alafu baadaye aanze kujilazimisha kumpenda na mwisho wake anampenda kweli, na akisikia anataka kumwacha wengine wanafikia hata hatua ya kunywa sumu.
Lakini kuna njia nyingi za kuapproch, kwa Bongo tumezoea wanaume wanajileeza maelezo mengi na mashairi ya kumwaga utadhani ya Shaban Robert, kwa wenzetu haiko hivyo, kwani wao wanaamini Mtu mzima akikuambia NO leo hata kesho ni NO. Lakini Hapa Bongo wadada wanasema NO wakimaanisha nikafikiri alafu kesho anakuja na Jibu la nipe Muda alafu kesho kutwa YES sasa inakuwa mambo africa Bambataa.
Wadada wanaowapenda wanaume na kwa vile wanaogopa kuonekana wahuni nawashauri watumie non-verbal techiniques, kwa mfano muulize mkaka kama ataweza kukupeleka sehemu fulani kama naomba unisindikize dukani Jumamosi nataka kwenda kuangalia kiatu (Ujue kwanza kama anapenda vitu vya bei kubwa au ndogo, usimpeleke asikoweza kufika) ukifika huko haimaanishi akununulie hata akija na pesa zake (wakaka wengi wanapenda kujitutumua) mwambie hapana, usipokee ofa katika hatua hii, kama una pesa zako nunua (kama Utakiona) kama hakipo mwambie nashukuru kwa kampani yako, na mwambie kuwa window shopping ni tamu mkiwa wawili.
siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??
Ukiwa naye kazini hapo ni rahisi zaidi mana ni rahisi kumuuliza vipi tukanywe chai wote? au lunch? au utapenda kunipa lift? au nikupe lift? au kwanini leo usipite njia hii (unayopita wewe) au unapenda nikusindikize??? Ni rahisi sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtongoza mwanamke....
Afanaleik kufa hakuna breki, hivi umekusudia kabisa kusema hivi au basi tu ajali ya maneno?
Nina imanaisha hayo kamanda!
Hivyo hili neno kumega au kumegwa ni mwanamke tu ndio anamegwa? Je ww mwanaume humegwi na huyo mwanamke? Au mnamegana? Hebu niwekeni swa na huu usemi.Matokeo yake ndo yale mambo ya kumegwa na kuachwa kisha kuoneana kicheche.. Mi naona bora wawe wawazi tungu mwanzoni ili jamaa mapema kabisa ajue kuwa lengo nini haswa. Kwa sababu kwa hulka yetu wanaume, mwanamke akijilengesha hata kama huna feelings naye utammega tu kumbe mwenzako yeye ana ndoto za kuwa na wewe forever ila hakuziweka bayana tangu mwanzoni.
Hiyo ndiyo huwa inapelekea wanawake kutuona wanaume kama wakatili, hatujali hisia zao pale wanapoonesha kutupenda, lakini ukweli ni kuwa njia wanayokuwa wametumia kumtokea mtu ndiyo jamaa naye anaitumia kama advantage ya kummega. Sidhani kama demu ambaye simfeel akija siriaz kunambia kuwa anataka anipe moyo wake nitakubali kumchezea ilhali najua anachokifeel. Nitamwambia tu ukweli ili asipoteze muda wake kwangu. Ila kama atakuwa anajirahisisha tu bila kuweka bayana lengo, nammega kisha nasepa..
Hivyo hili neno kumega au kumegwa ni mwanamke tu ndio anamegwa? Je ww mwanaume humegwi na huyo mwanamke? Au mnamegana? Hebu niwekeni swa na huu usemi.
Wanawake wengi Bongo huolewa na watu wasio wapenda, kwani wale wanaowapenda hawawezi kuwaambia na kwa hiyo inabidi asubiri yule anayemuapproach (hata kama hampendi) alafu baadaye aanze kujilazimisha kumpenda na mwisho wake anampenda kweli, na akisikia anataka kumwacha wengine wanafikia hata hatua ya kunywa sumu.
Lakini kuna njia nyingi za kuapproch, kwa Bongo tumezoea wanaume wanajileeza maelezo mengi na mashairi ya kumwaga utadhani ya Shaban Robert, kwa wenzetu haiko hivyo, kwani wao wanaamini Mtu mzima akikuambia NO leo hata kesho ni NO. Lakini Hapa Bongo wadada wanasema NO wakimaanisha nikafikiri alafu kesho anakuja na Jibu la nipe Muda alafu kesho kutwa YES sasa inakuwa mambo africa Bambataa.
Wadada wanaowapenda wanaume na kwa vile wanaogopa kuonekana wahuni nawashauri watumie non-verbal techiniques, kwa mfano muulize mkaka kama ataweza kukupeleka sehemu fulani kama naomba unisindikize dukani Jumamosi nataka kwenda kuangalia kiatu (Ujue kwanza kama anapenda vitu vya bei kubwa au ndogo, usimpeleke asikoweza kufika) ukifika huko haimaanishi akununulie hata akija na pesa zake (wakaka wengi wanapenda kujitutumua) mwambie hapana, usipokee ofa katika hatua hii, kama una pesa zako nunua (kama Utakiona) kama hakipo mwambie nashukuru kwa kampani yako, na mwambie kuwa window shopping ni tamu mkiwa wawili.
siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??
Ukiwa naye kazini hapo ni rahisi zaidi mana ni rahisi kumuuliza vipi tukanywe chai wote? au lunch? au utapenda kunipa lift? au nikupe lift? au kwanini leo usipite njia hii (unayopita wewe) au unapenda nikusindikize??? Ni rahisi sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtongoza mwanamke....
hivi unapomega kitu si unaacha alama,je mwanamke anapomegwa kuna alama inabaki? Kama hakuna alama inayobaki basi mie nadhani neno zuri litakuwa ni kumegana. Maana kila mtu amemla mwenzio na wote wameshiba.Sweetie, mwanamme unamega. Mwanamke unamegwa. Huwezi kusema eti mwanamme umemegwa na demu unless wewe ni mwanamme uliyemegwa na mwanamme mwenzako (yuuuuck). Get it now?
hivi unapomega kitu si unaacha alama,je mwanamke anapomegwa kuna alama inabaki? Kama hakuna alama inayobaki basi mie nadhani neno zuri litakuwa ni kumegana. Maana kila mtu amemla mwenzio na wote wameshiba.
Ni lugha tu hiyo Pretty...sio lazima kila neno liwe na maana literal...ni katika kuleta ladha ya maongezi ndio maana zipi figures of speech.
hivi unapomega kitu si unaacha alama,je mwanamke anapomegwa kuna alama inabaki? Kama hakuna alama inayobaki basi mie nadhani neno zuri litakuwa ni kumegana. Maana kila mtu amemla mwenzio na wote wameshiba.
Haya ndugu yangu nimekusoma, ila linda vyako hapo mjini kuna manyangumi na mapapa ya wake za watu! Hawa kina Fidel80 wapo kila kona.....!
umenikuna palepaleeeeeee mummy!!!!!!!...... nawaaambia wasichana msitongoze kimalaya mkaka unayempenda kikweli, mambo ya kuacha mapaja nje na cleavage its an old fashion en leave them for the hookers.Wanawake wengi Bongo huolewa na watu wasio wapenda, kwani wale wanaowapenda hawawezi kuwaambia na kwa hiyo inabidi asubiri yule anayemuapproach (hata kama hampendi) alafu baadaye aanze kujilazimisha kumpenda na mwisho wake anampenda kweli, na akisikia anataka kumwacha wengine wanafikia hata hatua ya kunywa sumu.
Lakini kuna njia nyingi za kuapproch, kwa Bongo tumezoea wanaume wanajileeza maelezo mengi na mashairi ya kumwaga utadhani ya Shaban Robert, kwa wenzetu haiko hivyo, kwani wao wanaamini Mtu mzima akikuambia NO leo hata kesho ni NO. Lakini Hapa Bongo wadada wanasema NO wakimaanisha nikafikiri alafu kesho anakuja na Jibu la nipe Muda alafu kesho kutwa YES sasa inakuwa mambo africa Bambataa.
Wadada wanaowapenda wanaume na kwa vile wanaogopa kuonekana wahuni nawashauri watumie non-verbal techiniques, kwa mfano muulize mkaka kama ataweza kukupeleka sehemu fulani kama naomba unisindikize dukani Jumamosi nataka kwenda kuangalia kiatu (Ujue kwanza kama anapenda vitu vya bei kubwa au ndogo, usimpeleke asikoweza kufika) ukifika huko haimaanishi akununulie hata akija na pesa zake (wakaka wengi wanapenda kujitutumua) mwambie hapana, usipokee ofa katika hatua hii, kama una pesa zako nunua (kama Utakiona) kama hakipo mwambie nashukuru kwa kampani yako, na mwambie kuwa window shopping ni tamu mkiwa wawili.
siku nyingine mpeleekee kizawadi kidogo, kama pipi, muulize umewahi kuonja hizi pipi? au mints, kwa kaka yyote mwenye uzoefu wake au aliyekomaa atajua dada ajenda yako nini, atakupa maneno, na hapo hutaonekana umeanzisha wewe, na kama atakupiga buti bado haiwezi kusound sana maana hujasema neno lolote. au vipi??
Ukiwa naye kazini hapo ni rahisi zaidi mana ni rahisi kumuuliza vipi tukanywe chai wote? au lunch? au utapenda kunipa lift? au nikupe lift? au kwanini leo usipite njia hii (unayopita wewe) au unapenda nikusindikize??? Ni rahisi sana kwa mwanamke kumtongoza mwanaume kuliko mwanaume kumtongoza mwanamke....
Mkuu Bluray kwani komredi Masanilo umemjua leo?
Masanilo bora uende likizo tu ukirudi naona kidogo jamvi litapumua...lol tutabaki na dogo Fidel.....hahahaha
Ni wanaumme wangapi wakitongozwa watasema NO? Hata kama hampendi yule mwanamke atasema yes tuu ili mradi ampitie tuu.
kwi kwi kwi namsubili kwa hamu bro. Yo Yo bado yupo lock up twendeleze libeneke lakini kipo kikosi kazi kama akina Msanii, Mbu we acha tu
Subiri Fidel atakuambia ni nini ndugu yangu.