Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
There you are brother, ila naona watu humu wanataka kumsulibisha mwanamume aonekane kama ana makosa kwa kudai chake.
Suala la kusamehe lipo nafsini mwa mtu na mtu huyo anajisikiaje juu ya suala la kusamehe.
Wala hatumsulubishi huyo jamaa ukifatilia hata bidada tumemsema sana
Wote tu sawa kuachana ktk mapenzi ni kawaida
lakini si angemwambia mwenzeke tu kwamba
kila mtu ashike njia yake!!!!!!!
Halafu eti kwasababu Once in Lifetime ulinipa hela
ya Saloon ndo uje unidai,ana bahati anawafaham
wazazi wake na wana uwezo wa kuzitoa!!!!!!!!