Nkyumu
JF-Expert Member
- Jun 22, 2012
- 332
- 104
. Baada ya mda alimuuliza huyo msichana kama yuko na mtu, msichana akasema yuko pekee yake (Single). Basi jamaa akatupa karata yake.
Yule msichana akasema yeye ameokoka na anapenda kuenenda katika mapenzi ya kimungu.
Basi rafiki yangu alifurahi sana kukutana na huyo binti, akauliza wapi anakosali, bila kusita msichana akaeleza anasali wapi.
Jumapili moja jamaa yangu akaibukia kanisani na kuona kweli anasali pale, akamtamburisha kwa baadhi ya ndugu zake.
Baada ya muda fulani yule binti akaaza kuwa anaomba pesa. Ok bila kusita jamaa akawa anampa hizo pesa (mara anataka kusuka, anataka kununua viatu, hela ya chakula cha mchana na mengine). "Huyu dada amesoma na ana digrii pia anafanya kazi"
Mkuu kaka' akuna makubaliano ya kuwa wapenzi aliuliza tu na baadaye akajipeleka kanisani akatambulishwa kwa ndugu basi ....