Mwanamke kudaia arudishe pesa

Mwanamke kudaia arudishe pesa

Yap anaweza asiwe na ushahidi unaoonekana kwa watu, Lakini kumbuka akili za binadamu zinatofautiana, katika situation hiyo mwingine anaweza hata kumdhuru huyo msichana na akajitolea litakalokuwa na liwe. Hapo sijui kama suala la kuulizana kama ana ushahidi litakuwa na nafasi wakati binti atakuwa amekwishadhurika tayari. Point ipo palepale, katika maisha ya kawaida ukitaka ishi na watu vizuri huna budi kuheshimu makubaliano uliyoyaridhia kwa nafsi yako.

kwani makubaliano ya ,mapenzi nayo ni mkataba wa kudumu, wewe mwenyewe huwez waza hicho allichofanya huyo mwanaume mwenzenu
 
Akidai sawa na asipodai pia sawa...

There you are brother, ila naona watu humu wanataka kumsulibisha mwanamume aonekane kama ana makosa kwa kudai chake.

Suala la kusamehe lipo nafsini mwa mtu na mtu huyo anajisikiaje juu ya suala la kusamehe.
 
Sio ushabiki , kuna makubaliano gani ya kua wapenzi yakahusisha wazazi , hiyo ya wapi hiyo, kwanza cpati picha amewezaje kwenda kwa wazazi wa binti
Kaka mimi ninaona jamaa katumia jia nzuri sana. Unajua hivi nilifikiria sana je angetumia njia ambayo sio na kumdhuru huyo dada. Tungekua tunaongea mengine. Isitoshe huyo dada alijificha kwenye kivuli cha dini jamaa akamwamini sana.

Nadhani alitumia busara sana.
 
Kaka mimi ninaona jamaa katumia jia nzuri sana. Unajua hivi nilifikiria sana je angetumia njia ambayo sio na kumdhuru huyo dada. Tungekua tunaongea mengine. Isitoshe huyo dada alijificha kwenye kivuli cha dini jamaa akamwamini sana.

Nadhani alitumia busara sana.

huyo hakupenda bali alijaribu kutoa pesa ili ampate dada kimapenzi, wa hivyo inawezzekana dada wa watu kashtuka mapema
 
huyo hakupenda bali alijaribu kutoa pesa ili ampate dada kimapenzi, wa hivyo inawezzekana dada wa watu kashtuka mapema
Hata kama ameshituka mapema, kuacha ghafla tu na kumpa simu mwanaume mwingine apige na kusema ni mpenzi wake hii unaiwekaje?

Halafu msichana anaombwa waonane waongee hataki. Inamaanisha nini, Rafiki yangu alikonda kwa muda.
Hii ni dharau ya hali ya juu sana.
 
huyo hakupenda bali alijaribu kutoa pesa ili ampate dada kimapenzi, wa hivyo inawezzekana dada wa watu kashtuka mapema

Aaaaaaa....!, kupenda gani huko, hata kupenda kuna mipaka. Nikuulize swali na wewe, je kwa kitendo alichokifanya huyo dada alimpenda kweli jamaa hapo kabla..? Kumbuka katika mada hakuna mahala ilipoelezwa jamaa alitumia mbinu ya kutumia pesa ili kumpata msichana, bali imesemwa kuwa msichana alikuwa anaomba pesa ili aweze kutatua matatizo yake.
 
majanga... kula ale mtoto, kudaiwa adaiwe mzazi... huyo mvulana wachagga wanamuita kishoiya.. a.k.a kilaza.
 
La jamaa noma kwelikweli. Hata kama inauma vp ndio nafas pekee ya kujifunza na kuangalia yupi anaweza kuwa mke na si tu kwa kutazama kwa macho@



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
siku nyingine hata rudia tena kucheza na hisia za watu

Hahahaaaa...! Ndio maana mimi huwa napenda sana kauli hii inapotamkwa katika hukumu za kimahakama,

"Mahakama inamhukumu ndugu xxxxxx kwenda jela kwa muda xxxxxxx ili iwe fundisho kwake na kwa watu wa aina yake".

Na nadhani ndicho kilichotokea hapo. Hahaahaahahaa...!
 
kwani makubaliano ya ,mapenzi nayo ni mkataba wa kudumu, wewe mwenyewe huwez waza hicho allichofanya huyo mwanaume mwenzenu

Tunatofautiana mkuu, linalowezekana kwako kwa mwenzako haliwezekani and vice versa is true, kutokuweza kwangu kuthubutu kuthubutu kufanya alichofanya jamaa hakufanyi maamuzi yake aliyoyafanya yawe wrong. Jamaa yupo right tena right kwelikweli...! Nampa 9/10 kwa alichokifanya.
 
Waliandikishiana?

Na hao wazazi nao chenga walioe kwani wao ndo wadhamini

Huyo mwanaume mbona ningemtiririsha
 
Waliandikishiana?

Na hao wazazi nao chenga walioe kwani wao ndo wadhamini

Huyo mwanaume mbona ningemtiririsha

Sawa ungemtiriirisha, but jua kwa kufanya hivyo yaweza kuwa umeyaweka maisha ya binti yako rehani, watu wengine hawatiririshwi kirahisi kama unavyofikiria hasa pale wanpokuwa wanadai haki yao na wapo tayari kufanya lolote lile ilimradi apate haki yake. kuitwa mzazi ni zaidi ya kuwa na umri mkubwa zaidi ya watoto wako, Busara juu ya usalama na hali juu ya watoto wako ni la kwako pia. Siku zote mzazi mwema ni yule anayeamua mema juu ya mwanawe, hao wazazi wametumia cheo chao cha uzazi vyema kabisa, big up to them.
 
--Naamini kama uyo mhusika angepewa nanihii asingedai chochote bearing in mind the rule of ''give n' take'', nahisi anaumia saana kupoteza pesa yake bila malipo yoyote!
--Ila baadhi ya hawa viumbe wamezidi, kwa nini uwe mdanganyifu kiasi hicho?(mpaka unaleta ulokole?, jamani) Huo nauita utapeli kwenye mapenzi.
--
 
Why can"t your friend consider the cash given as tax deductible for the service rendered?
sasa umeambiwa jamaa hakula kitu alipie huduma gani tena? Ndo maana mimi huwa siwez kutumia na demu zaidi ya buku mbili mpaka nikisha mlaza kibra...ingekuwa mi ningedai na riba!
 
Jamaa kachemka vibaya, hamna kosa kubwa kama hilo. Ni bora ukaonekana bahiri usimpe lkn ukitoa uwe unasahau. Hata akikutema kuna cku atakukumbuka tu!!
 
Hahaa I cant imagine the look of har parents!!!!!

kwani walikubaliana nini,hizo pesa alikopa si alitoa mwenyewe
hamna haja hata ya kudai ati

Weeee
Huyo dada alipokea kwa grounds gani? Sumbawanga tutaenda hela lazima irudi, si ningempa dada angu ka sio mkataba? Tena nimekumbuka namimi nidai, tuko wengi
 
Weeee
Huyo dada alipokea kwa grounds gani? Sumbawanga tutaenda hela lazima irudi, si ningempa dada angu ka sio mkataba? Tena nimekumbuka namimi nidai, tuko wengi

Nauli za kwenda Sumbawanga si bora
ukale Nyama Choma!!!!!!!!

Nawewe unamdai huyo bidada or what was you refering to!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom