Mwanamke kama hakutaki anakupiga mzinga

Mwanamke kama hakutaki anakupiga mzinga

Nguvu ya soda tu. Ukimpa anajileta mwenyewe ili apate kukupiga mizinga mingine na utampitia bila shida. Nguvu ya pesa ni kubwa sana, hata ukitaka kugegeda puani utagegeda tu.
hahahahaha
 
Mzinga siyo siraha kwa mwanaume mwenye uchu na mwanamke.

Mizinga ni sehemu ya maisha ya mahusiano hasa ya mapenzi.

Ila sema tu kuna makombora mengine ni ngumu kuyameza.
 
wanawake siku izi bwana kama hakutaki anakupiga mzinga mmoja tu na namba yake utaifuta mwenyewe

ni technique nzuri kwao ila bora aseme tu hanitaki kuliko mzinga
Nakuunga mkono,sitaki kuendelea kuchangia
 
wanawake siku izi bwana kama hakutaki anakupiga mzinga mmoja tu na namba yake utaifuta mwenyewe

ni technique nzuri kwao ila bora aseme tu hanitaki kuliko mzinga
Nakuunga mkono,sitaki kuendelea kuchangia
 
Nguvu ya soda tu. Ukimpa anajileta mwenyewe ili apate kukupiga mizinga mingine na utampitia bila shida. Nguvu ya pesa ni kubwa sana, hata ukitaka kugegeda puani utagegeda tu.
Mie km umekuja kwa mizinga niambie bana,ongea yote mwisho nataka hela nitakuelewa,na nitaitoa vzr tu ila km unanitega nami nakutega ,( cjui km Niko sawa) na ndio maana ....
 
Mzinga siyo siraha kwa mwanaume mwenye uchu na mwanamke.

Mizinga ni sehemu ya maisha ya mahusiano hasa ya mapenzi.

Ila sema tu kuna makombora mengine ni ngumu kuyameza.

Hahaha makombora ya nyuklia na vifaru.
Kwangu iko tofauti sana, wanaonijulia naenda nao sawa. Kama tupo marafiki wa kawaida naweza kukusaidia sana tu. Sasa jidanganye kuvuka mipaka, hapo ndio mwisho kwa sababu itakua kama nna nunua, kitu amvacho sitaki kufanya.

Kosa ni pale mtu anapoomba msaada yeye anafikiri ananipiga mzinga kumbe unamsaidia kiroho safi. Lakini kuna wadada wanajielewa na kujitambua.
 
Back
Top Bottom