Mwanamke kama hakutaki anakupiga mzinga

Mwanamke kama hakutaki anakupiga mzinga

Ila ukipata muda uliza wenzako wale walio waona kinyaa mwanzoni badae wakaja olewa na hao hao. Aibu yao waliificha wapi.?
Wapambane na hali zao mkuu unaolewa na mtu humpendi ndio nini sasa
 
Ndio usiseme km mtu humtaki utamuomba hela halaf akikupa unadhani ndio utaacha?
Sasa hapo nikikuomba hela ukinipa ntakuachaje unadhani. Usitoe hela ili umuimpress mwanamke. Hata akikupiga kizinga wakati unamtongoza piga chini maana ukimpa atakua na wewe kwa sababu ya pesa zako baasi
 
Hivi umeelewa kweli point yangu achana na mpenzi lijitu ambalo linakusumbua hulitaki kila unavyomwambia sikutaki haelewi

Nimekuelewa Mama yeyoo..na mimi singelei mpenzi ati. Huyo huyo anayekumendea usifanye kosa la kumpiga mzinga, akipigika mzinga utafanyaje baadae? Au umeshapitia kozi ya how to be safe after successful mzinga? Mwisho wake hilo hilo unaloliita jitu litageuka baby
 
Nikigundua hila hizi mbovu, nalipia mzinga wako, nakuvisha mpaka Pete ya uchumba, nakula punany halafu nakumwaga.
Utagundua wapi ni full kjviziana kama paka na panyaaa
 
wanawake siku izi bwana kama hakutaki anakupiga mzinga mmoja tu na namba yake utaifuta mwenyewe

ni technique nzuri kwao ila bora aseme tu hanitaki kuliko mzinga


Mizinga wanapigwa wanaume wasiojitambua. Jiulize kidogo, mwanamke akupige wewe mzinga, hujamla na hauna dili naye zaidi ya gegedo kwa siku moja tu...uje umpe hata elfu 1 akanywe gongo for what reason? Wanaume wa Dar kuweni na msimamo na wanawake wenu watawaheshimu kwani mwanamke ni kama mtoto, akishajuwa wewe ni zoba basi tambua atakuchezea akili mpaka utajuta.
 
Ukweli wakati ana njaa.

Hata kama mna njaa, hivi hamuonagi aibu/hamuhisi kuwa mnajidhalilisha kwa kumuomba mwanaume hela espcly yule ambae hamumfaham kabisa?? aisee wanawake mna roho tofauti sana, ila sio mbaya ndio nature yenu kumtegemea mwanaume kifedha Mzigua90
 
Hata kama mna njaa, hivi hamuonagi aibu/hamuhisi kuwa mnajidhalilisha kwa kumuomba mwanaume hela espcly yule ambae hamumfaham kabisa?? aisee wanawake mna roho tofauti sana, ila sio mbaya ndio nature yenu kumtegemea mwanaume kifedha Mzigua90
Utaitwa mbahili
 
Kuna mwanamke hua nadhan hanielewag vzur maana mara ya kwanza kujuana nae kabla sjamgegeda alinipiga kizinga,nkampa,..then nkagegeda,baada ya hapo akawa anaomba kishenz pesa nkawa namnyima live live,bas anajileta namgegeda akijua nampa baada ya tendo,namnyima,anaondoka,sku nyingne bila kuniomba nampa mwekundu,bas anajileta nagonga,akiomba namnyima,...

Yaan ni random equation haielew,..inabid umfanyie hiv mwanamke ili awe njia panda mda wote kua jamaa atanipa au hanip.hahaha
 
Ukiambiwa hapana ni hapana!!
Ila kuna hapana ambazo ni ndio, jiongeze!!

Hii ya kupiga mzinga ilinishinda aisee!!
 
Mizinga wanapigwa wanaume wasiojitambua. Jiulize kidogo, mwanamke akupige wewe mzinga, hujamla na hauna dili naye zaidi ya gegedo kwa siku moja tu...uje umpe hata elfu 1 akanywe gongo for what reason? Wanaume wa Dar kuweni na msimamo na wanawake wenu watawaheshimu kwani mwanamke ni kama mtoto, akishajuwa wewe ni zoba basi tambua atakuchezea akili mpaka utajuta.
Kijana hujakutana na watoto wa mwenge au makumbusho wew,watoto wazur had unasema hiv hii ni kawaida au macho yangu..unatoa tuu...we si uko mkoan mjomba,huwez iona raha ya kizinga.hahah
 
Back
Top Bottom