NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #81
shosti hii kitu nikikutana nacho hua nacheka ndani ya moyo hanalafu najiuliza kwanini hukumuanzia haya mambo zamaniiiiii lol...Hiyo ni kawaida mkuu na ni jambo zuri kwa sababu ipo natural, mahaba ya ku pretend ndio yanayochekesha maana unaona kabisaa kama ni mwanamke ana struggle kumpetipeti aonekane na hadhira, mwenyewe anadhani ndio anamlinda mwanaume asiibiwe na unaona haswa hawapo comfortable
