Mwanamke Jiamini..

Mwanamke Jiamini..

Mie sioni tatizo kwenye hili. Watu wawe huru na penzi lao kama ni kushikana viuno, kupeana busu etc.
BAK,sijasema wasiwe huru,ila wacha iwe ni kawaida yako sio ufanye pale unapoona watu,ndio mara kiss mara una mkuna sikio mpaka unaona yule mwanamme hana amani,lakini kama mazowea walaaaaaaaaaaa,tena hua napenda ila iwe real..
 
Ni ngumu kujua kama ni kawaida yao au kwa vile wako mbele za watu. Wapenzi wengine wako hivyo kwenye penzi lao.

BAK,sijasema wasiwe huru,ila wacha iwe ni kawaida yako sio ufanye pale unapoona watu,ndio mara kiss mara una mkuna sikio mpaka unaona yule mwanamme hana amani,lakini kama mazowea walaaaaaaaaaaa,tena hua napenda ila iwe real..
 
Hahahaaa. Huwezi amini hata sikurushika roho ila kwa upande wangu sa sijui mie mshamba sikuona kama ni sehemu sahihi.

Ila ndio hivyo tunatofautiana namna tulivyolelewa.
Kiuhalisia hao wapenzi mmoja wao au wote wawili hawajiamini na wanajirusha roho wenyewe! Wee mwanaume humjui na hamjuani vipi wahisi kua unataka kumvutia? NNi uswahili flani hivi
 
Hata usiache mwenzangu,wengine wanajitia ooh sikujua kama ana mtu. Watajuaje kama anae.
Ila tu sio kila sehemu,inategemea na mazingira.

Mfano there is a day tulienda
Kwenye harusi ya watu wa kwao huko,akakutana na rafiki zake wa utotoni. Kadada kamoja buana, nikaona wanakutana,kam hug then kamkiss mashavuni akawa anamtambulisha kwa wale aliokuja nao,the man akawa ametulia tu.That girl alikuwa anamu hug my man kuvuka mipaka,na makiss kiss yaliyo pitiliza nikataka ninyanyuke nimfate but my patience was on line.

Baada ya muda naona hao,wakati wanakuja bidada kamshika mkono,wamefika pale akamuegemea begani mkono kamshika siju pale ni kifuani au tumboni, analeta uzungu nivutie kiti basi nikae karibu na wewe,akavutiwa kiti still ana muegemea begani hata alipo kaa akaambiwa meet my girl maserati,aisee kama alipigwa na shot kutoa kichwa pale kwenye bega akawa ananishangaa hata alivo nisalimia like hana nguvu,aisee mbwembwe za kurekebisha kora yake na kumuweka shati sawa mara nimshike bega zilitake place kwa upande wangu,plus mwenyewe kaongezea anishike mkono wangu auminye minye adabu ilikuwepo.
Inabore but inatibu.
Cc mtoto mzuri mwenzangu emmyta.
Haha
Kama Nakuona vilee
 
Kukiss na kukumbatiana mbele za watu inagemea malezi na tamaduni lakini kwa mila zetu za kiafrika ni jambo lisilo la kawaida na wengine wanaofanya hivo ama wana pretend kwa maslahi fulani(kama hivo show off na sio natural) au malezi yao yalikua ya aina hiyo. Unajiuliza mbele ya wazazi wao wanaweza kufanya hivo? Maana wenye tamaduni yao wanafanya deep kissing popote na kwa yoyote
 
Hata usiache mwenzangu,wengine wanajitia ooh sikujua kama ana mtu. Watajuaje kama anae.
Ila tu sio kila sehemu,inategemea na mazingira.

Mfano there is a day tulienda
Kwenye harusi ya watu wa kwao huko,akakutana na rafiki zake wa utotoni. Kadada kamoja buana, nikaona wanakutana,kam hug then kamkiss mashavuni akawa anamtambulisha kwa wale aliokuja nao,the man akawa ametulia tu.That girl alikuwa anamu hug my man kuvuka mipaka,na makiss kiss yaliyo pitiliza nikataka ninyanyuke nimfate but my patience was on line.

Baada ya muda naona hao,wakati wanakuja bidada kamshika mkono,wamefika pale akamuegemea begani mkono kamshika siju pale ni kifuani au tumboni, analeta uzungu nivutie kiti basi nikae karibu na wewe,akavutiwa kiti still ana muegemea begani hata alipo kaa akaambiwa meet my girl maserati,aisee kama alipigwa na shot kutoa kichwa pale kwenye bega akawa ananishangaa hata alivo nisalimia like hana nguvu,aisee mbwembwe za kurekebisha kora yake na kumuweka shati sawa mara nimshike bega zilitake place kwa upande wangu,plus mwenyewe kaongezea anishike mkono wangu auminye minye adabu ilikuwepo.
Inabore but inatibu.
Cc mtoto mzuri mwenzangu emmyta.
Kwanza hongera kwa uvumilivu huo ulioonyesha,sipati picha yani
 
Ni ngumu kujua kama ni kawaida yao au kwa vile wako mbele za watu. Wapenzi wengine wako hivyo kwenye penzi lao.
U r right,

Ujue kuna ile ukiwa na umpendae kuna madeko deko flani hivi vinakuja tu automatically, unajikuta umemuegemea, umemuwekea mkono/mguu sehem flan flan n.k if you know what am saying
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom