Mwanamke Jiamini..

Mwanamke Jiamini..

Seledi kama hizi, unaagiza ya pili, unaendelea kusoma tu, afu wewe unakausha
 
Habari za leo waungwana,
Kuna baadhi ya wanawake hua tabia zao za ajabu sana,mfano unakuta yuko na mumewe au mwanamme wake,sio kawaida yake kumshika mwanamme wake mikono wala kiss wala hug mbele za watu,ila aone mwanamke mwenzie anavyo jihashua mara kamdokoa sikio,mara kampapasa
paja yanini yote hayo nani unamuonyesha?inaonekana wazi kua huyo mume haja zowea manake
mpaka mwanamme ana wasiwasi kama ame wacha mbuzi malishoni,mwanamme hana amani kabisaa na visa vyako ebu wacha vituko eeeeh....
Hiyo inaitwa abiria chunga mzigo wako
 
Hata usiache mwenzangu,wengine wanajitia ooh sikujua kama ana mtu. Watajuaje kama anae.
Ila tu sio kila sehemu,inategemea na mazingira.

Mfano there is a day tulienda
Kwenye harusi ya watu wa kwao huko,akakutana na rafiki zake wa utotoni. Kadada kamoja buana, nikaona wanakutana,kam hug then kamkiss mashavuni akawa anamtambulisha kwa wale aliokuja nao,the man akawa ametulia tu.That girl alikuwa anamu hug my man kuvuka mipaka,na makiss kiss yaliyo pitiliza nikataka ninyanyuke nimfate but my patience was on line.

Baada ya muda naona hao,wakati wanakuja bidada kamshika mkono,wamefika pale akamuegemea begani mkono kamshika siju pale ni kifuani au tumboni, analeta uzungu nivutie kiti basi nikae karibu na wewe,akavutiwa kiti still ana muegemea begani hata alipo kaa akaambiwa meet my girl maserati,aisee kama alipigwa na shot kutoa kichwa pale kwenye bega akawa ananishangaa hata alivo nisalimia like hana nguvu,aisee mbwembwe za kurekebisha kora yake na kumuweka shati sawa mara nimshike bega zilitake place kwa upande wangu,plus mwenyewe kaongezea anishike mkono wangu auminye minye adabu ilikuwepo.
Inabore but inatibu.
Cc mtoto mzuri mwenzangu emmyta.
i wish I could be "shemeji" on that day.
 
Yawezekana anajua bwana wake muonjaji mzuri wa mboga tofauti tofauti so anaiga simba kukojolea eneo la milki yake ili simba wengine wasijishaue kuingia ktk himaya yake
 
Nitajaribu kuacha lakini
Usiache love, ni vizuri ikiwa ndio mazowea sio wale wanao pretend,ni vizuri ukiwa umemzowesha inakua sio tatizo
kumdekeza mpenzi wako ni sawa ikiwa ndio tabia yako sio mpaka uone watu..
 
Ni ngumu kujua kama ni kawaida yao au kwa vile wako mbele za watu. Wapenzi wengine wako hivyo kwenye penzi lao.
Mkuu BAK, ivi kweli mtu anafanya kitu kwa mazowea na anaefanya kwakujionyesha huwezi uka jua?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kukiss na kukumbatiana mbele za watu inagemea malezi na tamaduni lakini kwa mila zetu za kiafrika ni jambo lisilo la kawaida na wengine wanaofanya hivo ama wana pretend kwa maslahi fulani(kama hivo show off na sio natural) au malezi yao yalikua ya aina hiyo. Unajiuliza mbele ya wazazi wao wanaweza kufanya hivo? Maana wenye tamaduni yao wanafanya deep kissing popote na kwa yoyote
mkuu mie binafsi i kiss my huuby ila sio ile deep,mfano anakwenda kazini,amerudi home,tumekutana mjini au popote ni kawaida yetu,sasa kuna ile yakuona watu wewe ukaanza ku kisss au mara umemshika hapa mpaka yule bwana unamuona kama hana amani tena,wakati unapokua nae walaaaaaaaaaaaa huna shughuli nae kama tissue ..
 
Hiyo inaitwa abiria chunga mzigo wako
Mwalimu wake kamfundisha vibaya sanaaa,au kama ndio mawazo yake ataibiwa kila siku,anatakiwa afanye kitu ambacho anajua sio rahisi kukipata kwengine na ajitume kwenye mambo ya msingi...
 
mkuu mie binafsi i kiss my huuby ila sio ile deep,mfano anakwenda kazini,amerudi home,tumekutana mjini au popote ni kawaida yetu,sasa kuna ile yakuona watu wewe ukaanza ku kisss au mara umemshika hapa mpaka yule bwana unamuona kama hana amani tena,wakati unapokua nae walaaaaaaaaaaaa huna shughuli nae kama tissue ..
Hiyo ni kawaida mkuu na ni jambo zuri kwa sababu ipo natural, mahaba ya ku pretend ndio yanayochekesha maana unaona kabisaa kama ni mwanamke ana struggle kumpetipeti aonekane na hadhira, mwenyewe anadhani ndio anamlinda mwanaume asiibiwe na unaona haswa hawapo comfortable
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom