Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 167,284
- 185,566
Watu wajinga na wapumbavu hukimbia hoja kijinga na kipumbavu.Huyo demu ni moja ya crushes. Nishakula mademu wengi sana kumuwaza yeye
Ila mada yako imekaa kimbeya mbeya sana.
Wewe umefanya nini na IQ yako?
No reforms tunaitaka.daah hlf hawa ndo vijana anaowapambania lisu🙆♂️
vijana wa ovyo kabisa😆
Kugawa papuchi kwa wakubwa,wazito enzi hizoMaarifa ya Albert Einstein yanajulikana. Tupe ya Marilyn Monroe nayo tuyajue.
Hii naikubali. Na madawa ya kulevya.Kugawa papuchi kwa wakubwa,wazito enzi hizo
Ova
Umefikiria Kama Mimi.HUYU HAKUNA MCHEZA VIDEO ZA HOVYO KWELI?Au NI MONROE MWINGINE YULE🤔🤔
Santo sana kwa mwongozoTaarifa za kisayansi na za utafiti wa kibinafsi hazijathibitisha moja kwa moja kiwango cha IQ yake lakini pia alikua na changamoto nyingi za kisaikolojia, za kifamilia na za kijamii.
Alikua na IQ kubwa ila alikua hana afya ya akili kwa sababu ya changamoto...
Cc: Mahondaw
Kugongwa Ikulu ya Marekani na ndugu wa damu yaan mtu na kaka yake walikua wanamgonga kumbe yeye yupo kwenye mission ya kuiba taarifa za Siri za Ikulu ya MarekaniUmesema hakuacha alama. Je, aliishi maisha ya aina gani?