Mwanamke huyu alikosea nini tena?

Mwanamke huyu alikosea nini tena?

Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​
HAPA NAPIGA na kama kawaida kimoja namwaga chini kuwashukuru wandewa
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​
Kuwa IQ kubwa si kigezo, ni jinsi gani unaitumia hiyo IQ kufanya mambo makubwa

Ndio inatofautisha akina enstein akina tesla akina newton walifanya makubwa, vumbuzi zao ndio zinawatofautisha na wengine waliokuwa na IQ kubwa kama zao
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​

1: Unawezaje kufanya hitimisho kwa mtu ambae mpaka unaandika hauna taarifa zake sahihi?

2: Unapima mafanikio yake kwa mlengo wa matakwa yako au mhusika?

3: Ni mzani gani unaoutumia wa alama zinazokubalika duniani, wakati huo zingatia utashi wa maisha ya mhusika na maisha yake rasmi?

4: Je wewe umeacha alama? Ni kwa mjibu wako, familia, taifa au ulimwengu?

NB: Tusilazimishe mafanikio ya mtu kusimama na mitizamo yetu tu.


Legacy​

"In their first runs, Monroe’s 23 movies grossed a total of more than $200 million, and her fame surpassed that of any other entertainer of her time. Her early image as a dumb and seductive blonde gave way in later years to the tragic figure of a sensitive and insecure woman unable to escape the pressures of Hollywood. Her vulnerability and sensuousness combined with her needless death eventually raised her to the status of an American cultural icon."
 
Alikua mchepuko wa Raisi. System ilimuondoa. Ni alama tosha.
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​
Kumchanganya feder castor na John Kennedy ni lazima uwe na iq kubwa
 
Bila shaka moja ya movie yake ni the river of no return,kifo chake mpaka leo ni fumbo
 
Utajuaje mtu ana IQ kubwa kama kajawahi kufanya chochote chenye upekee?

Kwani IQ ni single test examination au lifetime examination?

"IQ can be assessed by using tests that aim to measure a person's intellectual abilities along with their potential by giving them tasks that focus on reasoning, problem-solving, and logic."

Unatakiwa kufanya maswali husika, eleza umri wako na utapewa uwezo wako kulingana na umri. Utatumiaje hiyo IQ mtaani si sehemu yake.
 
Mara nyingi watu wenye IQ kubwa wasipoitumia huwa wanachanganyikiwa... Hebu tupe historia yake tuone aliishiaje
 
Marilyn Monroe ni moja ya wanawake wanaotajwa kuwa na IQ kubwa kuwahi tokea duniani alikuwa na IQ ya 165 kubwa kuliko ya Albert Eisten ambaye alikuwa na 160.Ila cha ajabu licha ya maarifa makubwa aliyokuwa nayo hakuacha alama yeyote duniani kwa kupitia maarifa yake.

View attachment 3393289Na hii ni moja ya mifano tosha kwamba unaweza kuwa na maarifa makubwa sana ,Na ukashindwa kuyatumia hadi muda unaondoka duniani Naaam​
Alama yake ni kutokuacha alama na kugawa mbususu yake.
 
Inashangaza sana
Huyo aliacha alama ya umalaya alikua anagongwa na ndugu wawili wa familia moja yaan rais na kaka yake wote walikua wanamgonga huku anaiba Siri za Ikulu
 
Chura Kiziwi ana IQ ya 500 na ndio maana kwa muda wa miaka 4 kafanya uchumi wa Tz uupate wa Marekani.
 
Corrections: Hii ni ishara kwamba upeo wa Mlevi mmoja wa kiume ni zaid ya Upeo wa Magenius Wasomi kadhaa Wakike.
 
Back
Top Bottom