Ndo mbinu pendwa ha ha hahahaha hapo kwenye kuacha kitu kimoja kimoja
Siku Hizi No Mimba, No Ndoa, nadhani hiyo ndio mbinu kubwa hasa wanayo2mia
mimba wanategesha ...ila hizo mbinu siku hiz hazisaidiiii utabaki kulea mtoto na atunzo utapewa ila kuoa hakuji kwa nia hiiyo
Naaam hizo hizo mi nazijua kwa jina la zubeda
ha ha ha ndo maana nati zimelegea, ndoa sio kitu cha kulazimisha kabisa
Yap zubeda pia alitimliwa nayo ndo maana ikaitwa zubedaHizo ZUBEDA zilitokana na wimbo wa prof Jay(Nikusaidiaje).
Mi nimeangalia muda uliopost hii matirio tu baaaas.
Mjadala na uendelee. Maana hautuhusu sisi wazee wa 1947 ambao tuliletewa wake nyumbani na wazazi wetu.
Raia wema both Kaka & Dada ni mbinu gani mwanamke anaweza kutumia kushawishi au kushinikiza boyfriend au mchumba wake amuoe?