Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

Mwanamke hutumia mbinu gani ili aolewe?

Dar Brother

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
21
Reaction score
7
Raia wema both Kaka & Dada ni mbinu gani mwanamke anaweza kutumia kushawishi au kushinikiza boyfriend au mchumba wake amuoe?
 
Mbinu!!!?? Sizani kama kuna mbinu au ufundi wowote kwenye hill jambo, kama alivyosema #Kaboom Utayari ndio kitu cha msingi
 
Mbinu!!!?? Sizani kama kuna mbinu au ufundi wowote kwenye hill jambo, kama alivyosema #Kaboom Utayari ndio kitu cha msingi


Alivyosema Kaboom nakubaliana nayo sitilii shaka mtazamo wake.
Ila naamini mabinti wanateknik zao kutushika tuweze kuingia kifungoni mapema.
Hizo ndio nataka kuzijua
 
Alivyosema Kaboom nakubaliana nayo sitilii shaka mtazamo wake.
Ila naamini mabinti wanateknik zao kutushika tuweze kuingia kifungoni mapema.
Hizo ndio nataka kuzijua

Ok, kamazipo hizo tekniki basi watakuja kuzitoa. Ila mimi sizani kama hata hizo tekniki zitafanyakazi kama HAUKO TAYARI
 
Mimi ni mwanaume nataka kutanua benki yangu ya knowledge kwa kujua mbinu za wenza wetu.
basi sawa mkuu..ngoja waje..ila what i know from male perspective,wanaume hatupendi kuwa controlled mara nyingi..hata kama ilikuwa ni idea ya mwanaume at the first place kuoana,ila mwanamke akianza kuforce tu basi mwanaume ataanza kupiga chenga..we dont like to be manipulated..so the more u force a guy to do something the more he will resist
 
Kushinikiza??? Hakunaga hiyo kitu hata kushawishi huwezi bali inatokea tu
 
Raia wema both Kakaz & Dadaz ni mbinu gani mwanamke anaweza kutumia kushawishi au kushinikiza boyfriend au mchumba wake amuoe??
ndoa hailazimishwi. Ndoa is something which comes automatically. Utalazimisha harusi lakini si ndoa. Ndoa ya kulazimisha ni ndoano. Lazima utateseka tu
 
Mi nimeangalia muda uliopost hii matirio tu baaaas.

Mjadala na uendelee. Maana hautuhusu sisi wazee wa 1947 ambao tuliletewa wake nyumbani na wazazi wetu.

Safi iyo sidhan kama watu wangekimbilia kuoa na kuolewa
 
wanakutega unawapa mimba ukishawapa tuu basi imekula kwako atakuganda hadi umuowe
 
Mimi nafikiri anaefaa kujibu swali hili mwanaume..., wanawake wengi huwa wanaolewa kwa bahati nasibu tuu...
 
chema chajiuza...kibaya....................
 
Mmmh hao wanaume wa kulazimishwa wako wapi na unaanzaje kwa mfano? Labda uwe na baby boy kama nuhu mziwanda ndo utamlazimisha
 
Kama ipo ipo tuu...why tuanze kushinikizana kulazimishana.
 
Back
Top Bottom