Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,536
Duuh hadi wanaume siku hizi mnatafuta wanawake wenye hela?? Kweli vyuma vimekaza!!Demu kama hana hela unamtongoza wa nini Mkuu?
Kweli unahuruma sana.
Duuh hadi wanaume siku hizi mnatafuta wanawake wenye hela?? Kweli vyuma vimekaza!!Demu kama hana hela unamtongoza wa nini Mkuu?
Kweli unahuruma sana.
Duuh hadi wanaume siku hizi mnatafuta wanawake wenye hela?? Kweli vyuma vimekaza!!
Haha ili usimhudumie au??Hiyo ni falsafa yangu tokea zamani hata JPM hajawaza kuchukua fomu.
Mimi siwezi changanya damu na masikini
Haha ili usimhudumie au??
Duuh kwahiyo hapo ulipo una mwanamke uliyemkuta bikira na akiwa na hela zake??Ahudumie kwao huko. Sio matatizo ya kwao aniletee mimi. Sitaki upuuzi mimi.
Duuh kwahiyo hapo ulipo una mwanamke uliyemkuta bikira na akiwa na hela zake??
Haha aiseNilikupa namba PM unifahamu vizuri naona unauliza maswali ya kipuuzi humu.
Muda wa kukujibu sina mimi.
Hivi wanaume wanajiangalia kwenye kioo kweli? Eti Mwanaume anakuwa handsome na pesa halaf mwanamke sura yake ndo kauli ya mwisho ili watoto wasitoke vibaya. Ina maana hio genetics za wanaume hazina mchango wake? Ndio maana mnaharibu watoto wa kike.We confidence na akil za mwanamke zitakupeleka wap...?? we chukua mwanamke n mwanamke uje utuharbie watoto uone kama tutakuelewa
HahahUngekubaliwaa napo ungekuja na uzii hapa kuwa mademu niwepesi maharage ya mbeyaa Kama kakukataa ujuee na wewe hujawa na viwango anavyovitaka hujamvutia huendaa nayeye anawaambia mashost zakee kunaa mwanaume kanitongozaa mbayaaa huyoooo
Habari wakuu
Mnajua kuna wanawake wanashangaza na kustaajabisha sana asee
Yaani unakuta mwanamke hana mvuto wowote na pia hana hata wanaomtongoza kwa sababu ya mapungufu yake lakini amejaa maringo ukimsemesha na kumtongoza
Wanaume tunahuruma sana, mademu wabovu tunawatongoza kuwapa kampani tu na kuwaondolea ile hali ya kijiona si kitu kwa sababu tu hawana mvuto na hawatongozwi, unataka kuwasaidia unaishia kuchezea maneno ya shombo as if unaitaka ya wema sepetu aseeeee
Unakuta mwanamke Titi ni kubwa balaa limelala, hips hana, sura ya baba yake, umri umegonga 30
Mwanaume Kajitoa muhanga kukutongoza bado unaleta
nyodo Dada angu unaitaji maombi Aise
Wenye sura za baba zetu tunapata tabu sana aisee
HahahahahahaSasa si ukatongoze mwenye mvuto? Nani alikudanganya KE wasio na mvuto wanagawa papuchi kama NJUGU!? [emoji15][emoji15][emoji15]
Kwahiyo wanaume wenye sura mbaya hawatakiwi kuzaa kwa kuwa tu watazaa watoto wabaya?Ina maana hio genetics za wanaume hazina mchango wake? Ndio maana mnaharibu watoto wa kike.