Mwanamke huna mvuto, maringo ya nini ukitongozwa?

Mwanamke huna mvuto, maringo ya nini ukitongozwa?

Pole Sana..vumilia ndio uanaume huo.
 
We confidence na akil za mwanamke zitakupeleka wap...?? we chukua mwanamke n mwanamke uje utuharbie watoto uone kama tutakuelewa
Hatuwezi kuelewana,ntakupa mfano kwanini wanawake wa kinaejeria hawana sura wala shape nzuri kushinda wabongo lakini wana mafanikio kuwashinda iwe kwenye movie,music,biashara,Hapo kwenye kuharibu watoto nimebaki nachekaaaaaa tu.
 
Ukimtongoza akakukataa kubali kuwa kakataa, sio sababu hajakuvutia basi ndo akukubali sababu umemuonea huruma!!

Wakati unamtongoza sidhani kama ulimwambia unampa kampani sababu ya sura ya babake!!

Lakini, heshimu maamuzi ya mtu, usikejeli uumbaji wa Mungu. Kufanana na baba zetu isiwe tabu!

Eti anasema mwanamke hana mvuto, ulimtongozaje eti, huyu jamaa hajitambui huyu.
 
Yani umenena, huyo ni sizitaki mbichi izi. Mpk kamfata ujue kuna kitu kimemvutia tu kwa huyo dada.


Kufanana na baba zetu sio chanzo cha kutunanga...ye mwnyw ukute sura mbovu nani amkubali
Ukimtongoza akakukataa kubali kuwa kakataa, sio sababu hajakuvutia basi ndo akukubali sababu umemuonea huruma!!

Wakati unamtongoza sidhani kama ulimwambia unampa kampani sababu ya sura ya babake!!

Lakini, heshimu maamuzi ya mtu, usikejeli uumbaji wa Mungu. Kufanana na baba zetu isiwe tabu!
 
Yani umenena, huyo ni sizitaki mbichi izi. Mpk kamfata ujue kuna kitu kimemvutia tu kwa huyo dada.


Kufanana na baba zetu sio chanzo cha kutunanga...ye mwnyw ukute sura mbovu nani amkubali
Kabisaa jamani, akubali tuu kakataliwa!
 
Najua mkuu ulikuwa unatafuta sehemu ya kupunguzia Lita za maji ila nikwambia tu lazima aringe whether ni zombie or not


Kwa sababu anajua kakuvutia
Kabisa umenena, kwanini wanatusema jmn wenye sura za baba zetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Demu kama hana hela unamtongoza wa nini Mkuu?

Kweli unahuruma sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom