Mwanamke huna mvuto, maringo ya nini ukitongozwa?

Mwanamke huna mvuto, maringo ya nini ukitongozwa?

Kwahiyo wanaume wenye sura mbaya hawatakiwi kuzaa kwa kuwa tu watazaa watoto wabaya?

Hmmmm! Hii Kali!
Hapana wala sikumaanisha hivyo. Ninacho jaribu kusema ni kwamba kuna watu wanapenda kuchambua muonekano wa mwanamke na kusema kuwa mwanamke mbaya = watoto wasio kuwa na muonekano wakati huo wakisahau kuwa na wao pia wanaweza wasiwe na muonekani mzuri na huweza kuchangia kwenye muonekano wa "offsprings". Halafu huwa hao wanaume huwa ndo wa kwanza kukosoa muonekano wa mwanamke asiependezwa nae.
 
Kipimo cha mvuto ni kipi?

Unawezaje kujua nwanamke Huyu ana mvuto Huyu hana?

Mvuto huo kwiyo?! [emoji4][emoji4]
 
Likikushinda kulila usilitie ila [emoji108][emoji108][emoji108]

Rejea hadithi ya Sungura ya “ sizitaki mbichi hizi”
 
Hizo hizo zinaathiri watoto wa kike. Hivi nani akiyewaambia wanaume kuwa sura zao hazionekani kwa watoto wao wa kike? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha, mtoto wangu wa kike akifanana na mm atapata hasara
 
Huyo ambae wewe unaona hana mvuto, kuna mtu ambae anamuona kama malaika kwake!!

Another man's food is another man's poison.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom