Naona unajiandalia mazingira mazuri yakujibiwa pm.Unaonekana una hekima sana,nimeangalia michango yako mingi.
NB:comment hii haihusiani na bandiko.
Hahah hapana mkuu sijihusishagi na Pm kabisa.Naona unajiandalia mazingira mazuri yakujibiwa pm.
Wewe unahis kwann?Nikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Nikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Wanaume wakila matunda mengi kimasihara huwa wanapongezana sana ila nyie mkila dushe nyingi kimasihara basi ni kesi!Pole sana mkuuNikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Kwaiyo tuanzishe mandiko ya kujisifia namna tulivyo mkimbia Simba..Simba anasifiwa kwa kukamata swala
Swala hasifiwi Kwa kuliwa na Simba..
Nature inatufundisha hivyo
Jf usichukulie serious kila kitu..Kwaiyo tuanzishe mandiko ya kujisifia namna tulivyo mkimbia Simba..
Napo mtasema mnaringa na.mnachagua Sana....tunawagonja mfike 35...mtawakimbilia wenyewe Simba.
mwanaume swala la kuchit ni kawaida kaumbwa nalo ila mwanamke toka enz sio huruka yake kutembea na me weng tofaut na mme wake au mpenz mmoja, in short ke hajaumbwa hivyo ila me yupo hivyo toka enzi,Nikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Kuna mkuu kaja na bandiko kuwa alimtongoza mwanaume...na wapo fresh...Ila Watu wametusi Vibaya mno..Usiogope, we funguka tu umeshatembea na wangapi na changamoto uliyokutana nazoNATANIA
Kukuattack inategemea na mtu amekuelewaje na ulichokisema amekichukuliaje.