Ndo hivyo yaan mwanamke hutakiw uwe na mahusiano na Wanaume lukuki ingekua Haina ubaya mngeruhisiwa kuolewa na Wanaume wanne kwa wakat mmojaHiyo Ni ndoa na Mimi Sina shida ya mtu kuoa wake wanne ...
Tatizo lipo wapi mwanamke kuzungumzia mahusiano yake...hata Kama Ni ya mtu mmoja..bado atakuwa branded na insulted.... Ina maana kuwa mwanamke TU hutakiwi au HUNA Haki ya kusema just because you are a women
Mkuu naona umekariri?!
Asante mkuu...
Je mwanaume.karuhusiwa kuwa na wanawake lukuki..au karuhusiwa kuo wanawake lukuki...Akija mwanaume hapa akajisifia anawake wengi Kama Doctor mwaka hamna shida..Ndo hivyo yaan mwanamke hutakiw uwe na mahusiano na Wanaume lukuki ingekua Haina ubaya mngeruhisiwa kuolewa na Wanaume wanne kwa wakat mmoja
[emoji3][emoji3][emoji3].. Kweli Tena leo situkanani na Wewe...
Tatizo mwanaume anafanya na mwanamke anafanywa....anyway tukomae na tumboNikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Nakutia moyo katika juhudi za kulipunguza.. anyway tu komae nalo tu.Duuuh...ningekuwa naishi karibu na kwenh..ungekuwa unaniita Tumbo badala ya jina langu[emoji16][emoji16]
Ukisema nimelala na wapenzi kadhaa unatukanwa malaya, ukisema sijalala na yeyote au nimelala na mmoja tu pia utatukanwa eti mnafiki. Cha muhimu ni kuacha kuzungumzia sexual life yako utakuwa salamaNikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
Mimi sizungumzii sexual.life yangu...kuna.mtu alileta bandiko.hapa leo la.kutongoza wanaume...Watu walireact vibaya..mpaka.akafuta ule Uzi..hicho ndo kilipelekea Mimi kuanzisha huu Uzi.Ukisema nimelala na wapenzi kadhaa unatukanwa malaya, ukisema sijalala na yeyote au nimelala na mmoja tu pia utatukanwa eti mnafiki. Cha muhimu ni kuacha kuzungumzia sexual life yako utakuwa salama