Ndo nikasema inategemea mtu amechukuliaje, nadhani hata comment si zote wanapondea bali kunawanaotoa ushauri mzuri.Kuna mkuu kaja na bandiko kuwa alimtongoza mwanaume...na wapo fresh...Ila Watu wametusi Vibaya mno..
Nashangaaa Kwanini?... Akija mwanamke alilalamika mwanaume kumcheat na kumuumiza...mnamwambia Vumilia tu na Tena asikasirike...
Akija mwanaume na bandiko Hilo Hilo...PIGA CHINI KAHABA HUYO..
HILI swala la KUCHEAT mnalihalalisha kwa matamanio yenu tu...Kwamba lazima.UCHEAT eti ndo ukamilike uanaume si kweli...mwanaume swala la kuchit ni kawaida kaumbwa nalo ila mwanamke toka enz sio huruka yake kutembea na me weng tofaut na mme wake au mpenz mmoja, in short ke hajaumbwa hivyo ila me yupo hivyo toka enzi,
Nshafanya Mkuu nimekimbia KM 3..na Abb workout..na nimekula kidonchoro
Subiri siku itakapotangazwa NDOA YA WANAUME WENGI utaungwa mkono.Hivi kwa Nini mwanamke akianshiza bandiko.kuhusu mahusiano yako na akaelezea kuhusu Mambo ya faragha...huwa mnamua attack Sana... prostitute Mara Kahaba Mara hivi Mara vile..
Lakini akianzisha Me... hua anapata wafuasi wengi wakuelezea experience Zao.
Kwani hao mnaofanya nao Ni wanyama?
Kwanini kwa Ke iwe Shida na kwa Me iwe Pongezi na kusheherekewa Tena WAKISIFIANA ... KABISAA ...WHY?
[emoji28][emoji28][emoji28]...Kweli kabisa
Mwanaume hatukatai kuwa na wake wengi..Tena Mimi naona ni sawa kabisa..Subiri siku itakapotangazwa NDOA YA WANAUME WENGI utaungwa mkono.
Kama haitatokea ni jibu tosha kwamba majina hayo yatakuhusu.
Hua tunamuiga mfalme suleimani , maana alikua na wake elfu 70Nikija nauzi nikisema nimetembea na wanaume ...kadhaaa...nitaitwa Kahaba..Malaya..najiuza..bwawa..Nk
Akija mwanaume na kitu hicho hicho..HUA wanakuja Watu kuunga mkono na kuweka uzoefu wao...
Kwanini.
umemaliza kila kitu mkuuSimba anasifiwa kwa kukamata swala
Swala hasifiwi Kwa kuliwa na Simba..
Nature inatufundisha hivyo
Tulia we hta vtabu vya din vinaruhusu Wanaume kuowa wake wanne ila mwanamke haruhusiwiNi upumbafu tu...
Hiyo Ni ndoa na Mimi Sina shida ya mtu kuoa wake wanne ...Tulia we hta vtabu vya din vinaruhusu Wanaume kuowa wake wanne ila mwanamke haruhusiwi