Mwanamke hatakiwi kujieleza mahusiano yake?

Mwanamke hatakiwi kujieleza mahusiano yake?

Hiyo ni kanuni ya asili mwanamke lazima awemsili kuanzia ndani hadi nje.
Mf. Mtoto mdogo wa kiume akiwa uchi haishangazi sana kama kumkuta mtoto mdogo wa kike akiwa uchi.
Sema sahivi mmekuwa vichwa ngumu mna laana na asili ya ulimwengu,
Kutembea uchi nyie.
Kutembea Uchi..kwakweli namimi nakushangaa Sana...Tena Sana..labda nimekuwa Mzee
 
Hongera ushaepuka vitimbwi vitimbi vinavyo watesa vijana wa kike kipindi hiki
Nadhani Ni umri na pia utandawazi na mapicha ya Instagram na pia mwanamke kuwa Uchi anapata attention zaidi..kwa kuangaliwa au kutongozwa and the like....kwaiyo wanapenda hiyo attention

Japo ni detrimental and hua haina matokeo chanya.
 
Kwan na ww umeshatembea na wanaume wangap ? Ili na ww tukusifie maana unaonekana wahitaji kusifiwa kwa mambo ya kipuuzi
Wapi nimesema nataka KUSIFIWA kwa Kufanya uZINIFU..

Mimi naamini Mtu ukifanya madhambi kwa Siri ALLAH akakustiri usiyaanike hadharani..

Hivyo wanaume wasijisifie kwa uchafu halikadhalika wanawake
 
Wapi nimesema nataka KUSIFIWA kwa Kufanya uZINIFU..

Mimi naamini Mtu ukifanya madhambi kwa Siri ALLAH akakustiri usiyaanike hadharani..

Hivyo wanaume wasijisifie kwa uchafu halikadhalika wanawake
Rudi kasome Uzi wako mwanzo, uelewe vizuri unataka nn, au hata ulichoandika hukiewi , unaonekana wahitaji na wanawake wasifiwe kwa kufanya uchafu
 
Rudi kasome Uzi wako mwanzo, uelewe vizuri unataka nn, au hata ulichoandika hukiewi , unaonekana wahitaji na wanawake wasifiwe kwa kufanya uchafu
Yaaani Kwanini wanaume wanawatukana wanawake kwa kuleta bandiko kuhusu Mabf wako au Waume zao wakilalamika au kuwasifia au vyovyote..

Ila wanaume wakifanya hivyo ...Hali hua Tofauti..

Sijasema NATAKA WANAWEKE WASIFIWE KWA KUJIUZA AU KUTOMBWA NA KILA MTU..
 
Yaaani Kwanini wanaume wanawatukana wanawake kwa kuleta bandiko kuhusu Mabf wako au Waume zao wakilalamika au kuwasifia au vyovyote..

Ila wanaume wakifanya hivyo ...Hali hua Tofauti..

Sijasema NATAKA WANAWEKE WASIFIWE KWA KUJIUZA AU KUTOMBWA NA KILA MTU..
Punguza ukali Wa maneno , usije kula ban bure
 
Fala wewe
Usikasirike sasa,utajiongezea vidonda vya tumbo.... C unajua Mimi nakupendea tumbo lako? Tumbo lenye NGOZI lainiiiiiii kamaa nyama ya shingo.... Achana na magaga kwakuwa yamepwetelea mbali....sasa nang'ang'ania tumbo lako.....nikufanyie MASSAGE mgongoni,kupitia kiunoni hadi tumboni..hakika wafaaa kuolewa na kizeee Mimi...asante kwa kunipenda waubani wangu CreditAnalyst
 
Funguo inayofungua makufuli mengi, inaitwa master key.
Kufuli linalofunguliwa na funguo yoyote huitwa BOVU.
 
Anaetakiwa kunya ni kuku tu bata yake asili ni kuhara tu.
Mi ni mkristo kwa imani
Baada ya kumfikisha kwa Yesu yule mwanamke mzinzi kulingana sheria zao wakati huo, (kupondwa mawe hadi kifo) Yesu aliinama chini kaandika ambaye hajawahi kuzini awe wa kwanza kumpiga yule mwanamke yaani ile kumaliza kuandika na kuinua uso hakuna mtu hata 1 miongoni mwa waliompeleka , Yesu akamwambia yule mwanamke enenda zako na usitende dhambi tena.
Mpaka hapo tu asili ipo upande wa mwanaume toka enzi na enzi.
Ushauri wangu kwako, ukitaka uishi kwenye ndoa salama na vizuri usifanye kila alifanyalo mwanaume, kama ambavyo huwezi mwanamke olewa na wanaume wawili au zaidi kwa wakati 1, japo mwanaume kwa asili yake anaweza kuwa na mke zaidi ya 1 kwa wakati 1 (iwe kimila au kidini siku hizi ugumu wa maisha na kustarabika hayo yanafanyika kwa kificho ndo hiyo michepuko) na kama ujuavyo hakuna mwanaume hakosi michepuko labda ukata uzidi.
Maana'angu ni hii, mwanaume hata iweje akiwa na mchepuko kumgundua itakuchukua muda na kwenye familia mambo yanaenda fresh kabisa tu.
Ila sasa mwanamke aliye olewa akiwa na mchepuko huitaji degree kumgundua, ni haraka na upesi humo ndani keshabadilika, hasa majibu yake kwa mume na mienendo yake na mambo mengine., lazima tu uhisi mwenzangu huyu mbona simuelewi japo hata kwa mwanaume ipo hiyo hali ila ni kama nilivyosema inachukua muda.
Ko mleta mada usilinganishe baadhi ya mambo yakifanywa na mke yanachukiliwa ndivyo sivyo kama akifanya mwanaume, tumeumbwa kiutofati toka kama zilivyo jinsia zetu.
Mwisho kabisa achana na hizi mambo za HAKI SAWA.
 
Tafuteni pesa, acheni kuwaza mapenzi kila muda

By the way, Neno I love u, halileti chakula mezani
 
Back
Top Bottom