- Na ndio sababu kama hii muuza nyanya wa kitaa hapa kwetu amekuwa maarufu kwa wake za watu.
- Unabaki kujiuliza yle mama kila kitu anacho sijui kakaosa nini kwa mumwe mpaka aende kwa muuza nyanya.
- Hapa wanamume yabidi tujifunze na kubadilika.
mkuu kwani wewe ndo boss mwenyewe!punguza uzito wa maneno yakutokayo kinywani mwako!stupid...
Asante mkuu kwa ofa,ila situmii maji ya mende nadhani yasijenitengua na mimi siku moja mke wangu asijenileta hapa janvini kwamba sishikiki!mkuu unatumia maji ya mende??nidai kreti
tatizo wanaume wanahisi expenses ndo matunzo kwa mwanamke,kuspend nae muda ndo matunzo kwake,hell nooo,labda kama mchimba dhahabu
TATIZO LAKO HUJUI VITU GANI UKIACHANA NA DAWA NA SIJUI KUMZUNGUSHA NA GARI NAAMANISHA VILE VYA ROMANTIC VINAVYOMPA RAHAHASWA AKIWA KWENYE MOOD KAMA YAKE
......LoadingMiafrica ndivyo tulivyo yani kula kuvaa ndio mapenzi maninaa weee.
Hapo ni tofauti,kuna status ya uwezo wa mtu kulinganisha na anachokimiliki nayo ni muhimu kwa mke,tunasema mme siyo suruali tu,lkn hapa kinachozungumzwa ni mahaba,na kama ni kweli kwa nini asiolewe na muuza karanga au mbeba mizigo?
wewe mkubwa sasa,haya matangazo yanawafaa under 18.Nina mpenzi wangu anayefanya kazi Morogoro, mwezi march alikuja kunitembelea sababu alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2 na siku 3 tangu afike. Alishikwa na malaria kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze.
Kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa, pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa. Mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.
Lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu sikuwahi kumletea kadi ya get well soon. Ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali?
Acha mapenzi ya lamujere de vida wewe..? Mademu wengine mnadanganyana mno hapa jf..kama unashindwa kushukuru tu kwa mtu kukupa dawa, chakula na kuacha kazi zake kukuuguza bora uondoke.. Nashukuru kuna wasichana wanajitambua si kama nyinyi hapa jf na maisha yenu ya muvimkuu unatumia maji ya mende??nidai kreti
tatizo wanaume wanahisi expenses ndo matunzo kwa mwanamke,kuspend nae muda ndo matunzo kwake,hell nooo,labda kama mchimba dhahabu
TATIZO LAKO HUJUI VITU GANI UKIACHANA NA DAWA NA SIJUI KUMZUNGUSHA NA GARI NAAMANISHA VILE VYA ROMANTIC VINAVYOMPA RAHAHASWA AKIWA KWENYE MOOD KAMA YAKE
Acha mapenzi ya lamujere de vida wewe..? Mademu wengine mnadanganyana mno hapa jf..kama unashindwa kushukuru tu kwa mtu kukupa dawa, chakula na kuacha kazi zake kukuuguza bora uondoke.. Nashukuru kuna wasichana wanajitambua si kama nyinyi hapa jf na maisha yenu ya muvi wasichana wa kibongo hamjui maisha..sisi tupo nchi za watu huku tunaon tofati .. Mwanamke mwenye akili anastic with his man na yupo appreciative on everythingacha ubahili kanunue kadi... kadi ni kadi na dawa ni dawa, vitu viili tafauti.
wanaume wa siku hizi vipi!
Wewe hayo mapenzi mengine imeyaona wapi..sisi tupo hiku hatuoni mapenzi ya kishamba hayo ya kutoangalia mambo makubwa unaangalia mdogo..au unafikiri mapenzi ya tv ya kina jay z na beyonce...ndo watu wanaish street..mademu wa kibongo ni limbukeniMiafrica ndivyo tulivyo yani kula kuvaa ndio mapenzi maninaa weee.
Sio wa sekondari mkuu..si inaona hapa mademu wakubwa tu na mindevu yao wanamteteakuwa na mpenzi wa sekondari raha sana
Nina mpenzi wangu anayefanya kazi Morogoro, mwezi march alikuja kunitembelea sababu alikuwa likizo na alikaa kwangu wiki 2 na siku 3 tangu afike. Alishikwa na malaria kali ikabidi niombe ruhusa kazini ili nimuuguze.
Kiukweli nilimpa kila kitu anachotakiwa kupewa mgonjwa including dawa,vyakula vilivyopendekezwa na daktari na vyakula alivyopenda mgonjwa, pamoja na gari kumpeleka hospitali au sehemu yoyote aliyopenda ili kumliwaza mgonjwa. Mungu akasaidia akapona na amerudi morogoro.
Lakini cha ajabu juzi ananiambia sikumjali alipokuwa anaumwa sababu sikuwahi kumletea kadi ya get well soon. Ebu nisaidieni kadi tu ndio mtu akujali?