Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,907
Kwanini hukuamua kumwacha your Man kwasababu hiyo ya kukupiga? Kwanini unaishi na mtu ili tu siku zipite?siku my man alivyonyanyua mkono na kunipiga ni siku iliyobadilisha kila kitu kwenye maisha yetu, sijui namuonaje hata aongee kitu kinapita kulia kinatokea kushoto, nimemshusha thamani kabisa, tunaishi tu siku ziende naigiza kila kitu and i am not committed anymore.
ewe mwanaume usimpige mkeo na ukimpiga akakaa kimya usiamini umeshinda, unaharibu sehemu kubwa sana ya mahusiano yenu.