real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,303
mwambieeeeeeeeeeeeeeeMkuu, ngoma huchezwa kutokana na midundo yake, sasa ww kariri km hujashinda kuomba ushauri humu JF daily.
mwambieeeeeeeeeeeeeeeMkuu, ngoma huchezwa kutokana na midundo yake, sasa ww kariri km hujashinda kuomba ushauri humu JF daily.
ebanaee mimi naunga mkono mwanaume kumpiga mwanamke ni jambo la ajabu, na ni udhaifu mkubwa, ila hizo blah blah nyingine za ubavu, sijui ,moyo au kichwa endelea kutafakari vizuri utapata jibu sahihiMwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe.
unaamini ukimpiga atatenda utakacho?
Mwanaume halisi kamwe hawezi kumuumiza mwanamke. Kuwa mwangalifu pindi unapomliza mwanamke. Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake.Mwanamke alitokana na ubavu wa mwanaume. Si kwenye miguu yake ili kukanyagwa. Sio kichwa chake ili kuwa juu yake. Lakini kwenye upande wake ili kuwa sawa. Chini ya mkono ili alindwe. Na baada ya moyo ili apendwe.
wewe mwanamke wewe muda siyo mrefu unamwua uyo jamaa kama siyo kwa sumu utamwagia maji ya moto akiwa amelalasiku my man alivyonyanyua mkono na kunipiga ni siku iliyobadilisha kila kitu kwenye maisha yetu, sijui namuonaje hata aongee kitu kinapita kulia kinatokea kushoto, nimemshusha thamani kabisa, tunaishi tu siku ziende naigiza kila kitu and i am not committed anymore.
ewe mwanaume usimpige mkeo na ukimpiga akakaa kimya usiamini umeshinda, unaharibu sehemu kubwa sana ya mahusiano yenu.
siwezi kumwua ila namchuna mpaka mwisho yaani nshasema simsaidii chochote hata aumwe atauguzwa na ndugu zake mie aka nipo kwa ajili ya raha tu shida zake hazinihusu.wewe mwanamke wewe muda siyo mrefu unamwua uyo jamaa kama siyo kwa sumu utamwagia maji ya moto akiwa amelala
ndo mana nikakuambia hana maisha marefu akiendelea kuwa na wewesiwezi kumwua ila namchuna mpaka mwisho yaani nshasema simsaidii chochote hata aumwe atauguzwa na ndugu zake mie aka nipo kwa ajili ya raha tu shida zake hazinihusu.
hahaaa, mleta mada naona alikua anaongea kihisia zaidi, kuliko kiuhalisiaSiungi mkono wanawake kupigwa, ila hii kauli
''...Kwasababu Mungu anahesabu machozi yake...''
Mungu yupi huyo anayejishughulisha na kuhesabu machozi ya wanawake?!
Pole sana ndugu yangu mkeo atakua anamegwa kirahisi sana kama kweli utakua unamfanyia hivo ...hizo mbata hazisaidii mkuu yan atakapotokea jamaa ppemben akalijua hili na ambae ni muelewa wa haya mambo umekwisha ndugu yangu.Daah ungekuwa mke wangu then ulete za kuleta lazima ule mbata. Inatakiwa ujue ninj wajibu wako na kipi unachitakiwa kutenda.
siku my man alivyonyanyua mkono na kunipiga ni siku iliyobadilisha kila kitu kwenye maisha yetu, sijui namuonaje hata aongee kitu kinapita kulia kinatokea kushoto, nimemshusha thamani kabisa, tunaishi tu siku ziende naigiza kila kitu and i am not committed anymore.
ewe mwanaume usimpige mkeo na ukimpiga akakaa kimya usiamini umeshinda, unaharibu sehemu kubwa sana ya mahusiano yenu.
siku my man alivyonyanyua mkono na kunipiga ni siku iliyobadilisha kila kitu kwenye maisha yetu, sijui namuonaje hata aongee kitu kinapita kulia kinatokea kushoto, nimemshusha thamani kabisa, tunaishi tu siku ziende naigiza kila kitu and i am not committed anymore.
ewe mwanaume usimpige mkeo na ukimpiga akakaa kimya usiamini umeshinda, unaharibu sehemu kubwa sana ya mahusiano yenu.
mwambie mkuu maanake wengine wanaona ni sifa kutoa mbata kwa wanawakePole sana ndugu yangu mkeo atakua anamegwa kirahisi sana kama kweli utakua unamfanyia hivo ...hizo mbata hazisaidii mkuu yan atakapotokea jamaa ppemben akalijua hili na ambae ni muelewa wa haya mambo umekwisha ndugu yangu.