Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
Ni swali raising turn wala usijifanye hauelewi
Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!
1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu
2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu
3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu
4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA
Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!
Au wewe chaguo lako ni no 4?!
Bikra kwanza mambo mengine yanafuata.Hongera
No 4 sijaielewa, naona picha tu, Labda uifafanue ili niielewe.Chagua no 4 basi
Namba 189Bro taja namba bwana mbona una ukorofi wa kiafande?!
Kuoa ni lazimaLakini si utaoa huko mbeleni?!
Paulo ni nani?Aya Paulo
Mimi nachagua namba 2. Kwanini? Bikra ni nini bwana? Mimi nipo tayari kuoa hata mwenye mtoto mmoja, bora tu awe na mapenzi ya kweli. Unaweza kuoa bikra na baadae akabadilika na usiamini. Lakini ukioa ambaye alikwisha pitia maisha hakuna mapya yatakayomzuzua. Ukija kwenye uchangamfu ni kabisaa, mimi huwa nawapenda sana wanawake wachangamfu kwani hata nyumbani kukiwa na challenge unajisikia ahueni mkeo anapokuchangamkia. Kwa kifupi nachukua namba 2 bila hata kusita.Bro taja namba bwana mbona una ukorofi wa kiafande?!
Mimi sijachagua,Basi tena ushachagua