Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #41
kuguna vepe?Duuh
kuguna vepe?Duuh
SAWAmwenye tabia kama ya MUNA LOVE ndiye anafaa kuolewa
WE USHAOA SINGO MAZA AU?Hakuna kama single maza,they got grown up mind!![]()
sawa mpareNafikiri hiyo hoja ya Bikira UFUTE KABISA kwa sababu zipo sababu nyingi zinazofanya mwanamke asiwe na bikira hata bila kuingiliwa!
Ndiyo,mke wangu ni single maza!....She got that grown up mind that i need the most!!WE USHAOA SINGO MAZA AU?
sawa sawaNdiyo,mke wangu ni single maza!....She got that grown up mind that i need the most!!
Kinge ni nini?sawa sawa
ila KINGE jomoon KINGE!
hataree
sasa best singo maza umeshamuoa anakuwaje singo maza tena?Kinge ni nini?
Ni swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi
Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!
1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu
2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu
3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu
4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA
Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!
Au wewe chaguo lako ni no 4?!
hahahahaWote siwatak
uuuuwiAyejitambua tu,mengine si yamsingi sana kwangu
Vp mkuuhahahaha
uuuuwi
Wote hawana vigezo nivitakavyoNi swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi
Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!
1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu
2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu
3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu
4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA
Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!
Au wewe chaguo lako ni no 4?!
Wote hawana vigezo nivitakavyoNi swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi
Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!
1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu
2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu
3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu
4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA
Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!
Au wewe chaguo lako ni no 4?!
hatareeWote hawana vigezo nivitakavyo
poa niaje baalia?!Vp mkuu
Shwari baharia mwenzangupoa niaje baalia?!
Mitabia yako ya mwaka jana bado umekuja nayo huku 2019???Ni swali rahisi tu wala usijifanye hauelewi
Wewe kama Mwanaume (Kidume/ Rijali)
Ungependa uoe Mwanamke was aina Gani Kati ya hawa 3?!
1. Mwanamke mpole, sio bikra, mnyenyekevu, mkimya, ukimtukana hajibu, akikuona unakuja anakukimbilia kukupokea mzigo uliobeba, anampenda Mungu, mtulivu, Introvert, kila ukimpa idea anasema ndio bwana upo sawa bwana, hachangii maendeleo anakuachia kila kitu ufanye Wewe, changamoto za maisha zikija anakukimbilia Wewe, elimu chuo kikuu
2. Mwanamke Mjanja, aggressive, sio bikra, fighter, mchapakazi, changamoto za maisha zikija anazimaliza mwenyewe alafu anakupa mrejesho, anachangia maendeleo mwanzo mwisho, sio mpole (mwongeaji), ana akili (smart), anampenda Mungu, elimu chuo kikuu
3. Mkimya, sio mwongeaji, ana bikra, changamoto za maisha zikija anachangia ila 70% anakuachia mume, ndio bwana madizaini, elimu chuo kikuu
4. SICHAGUI HATA M1 UTAKAEMCHAGUA
Kuwa mkweli Mwanamke yupi Kati ya hao 3 utamuwowa?!
Au wewe chaguo lako ni no 4?!
NAJIBU MAJIBU YA WATU