Nadhani hukuelewa nilichosema ni kelele. Umekuja hapa na kauli "Hao wanawake sita wote wanafanya kazi vizuri sana kwenye wilaya zao". Mimi nilichokataa ni kusema WOTE SITA wakati namjua fika kati yao kuna ambaye hafanyi kazi vizuri. Hayo mengine wala sikuwekea comments na vizuri umeendelea kuweka taarifa za uongo kuwa KILA MTU ana ndoa wakati kuna wasionazo na wako hapo kwenye hiyo picha!! Ukweli hauna siasa ...changanya na zako mkuu...
WEWE NDIO MWENYE KELELE...KILA MTU MNAMWITA CHAKULA CHA WAKUBWA!kuvunjia heshima watua wazima na heshima zao hapo kila mtu ana ndoa yake na wanaheshimika tunawajua!sio wanawake wote wanahadaika kama J....kama wewe unaliwa na wakubwa wako wenzako wanawaheshimu!hovyooooo!
Khadija Koppa --Kinondoni.
Asha Baraka " Twanga Pepeta" --Temeke
Ray C--Ilala
Hawa ndio al maarufu wa muungwana!!!
Ananilea Nkya Je?
Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.
Wakuu tujadili ni wanawake gani Mashuhuri wanaweza kukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010 maana idadi hii ya uwakilishi wa akina mamabado haitoshi kabisa. Mimi naona kina Fatma Almasi Nyangasa, Shyrose Bhanji, Vicky KAMATA and the list goes on and on...wana nafasi ya kuchaguliwa kama wakuu wa wilaya baada ya uchaguzi 2010.
Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.
Wakuu wa Wilaya wapya, sita wanawake kati ya 15 walioteuliwa na Rais hivi karibuni wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumaliza semina elekezi mjini Morogoro, majina na Wilaya zao kwenye mabano , kutoka kulia ni Fatma Mwassa ( Mvomero), Queen Mlozi ( Ukerewe), Fatma Ally ( Nanyumbu), Mery Silla (Arumeru), Dk Rehema Nchimbi ( Newala) na Angelina Mabula ( Mulemba)., mafunzo hayo ya awali yalifanyika kuanzia Mei 5,hadi 8, mwaka huu.
Wakuu tujadili ni wanawake gani Mashuhuri wanaweza kukwaa U-DC baada ya uchaguzi 2010 maana idadi hii ya uwakilishi wa akina mamabado haitoshi kabisa. Mimi naona kina Fatma Almasi Nyangasa, Shyrose Bhanji, Vicky KAMATA and the list goes on and on...wana nafasi ya kuchaguliwa kama wakuu wa wilaya baada ya uchaguzi 2010.
say what? is this the kinda talk that makes me think you probably ain't got no pudding?Hivi ili mtu uwe mashuhuri ni lazima uwe mashuhuri?
Sifa za u - DC moja ni kiupitiwa na mwenye kajya ili akitembelea huko apate kula kiporo. Zingine ni za ovyo ovyo kama ulikuwa mpambe mzuri katika kampeni za urais. Ulikuwa unakati mbele yake nk hapo una uhakika wa kupata u-DC
acha kashfa jamani!ina maana hata hao madume wamepitiwa?
Wake zao?
Bi Kidude-Msoga(wilaya mpya)