Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
chatu yu wapi!!!!??
Amerudi tumboni kwa huyu mama tena
chatu yu wapi!!!!??
Kumamaeee picha wpiiiiii!!!!!!
Loading error..................
Kumamaeee picha wpiiiiii!!!!!!
Huyo chatu yuko wapi sasa?
Mkuu hizi tabloids papers wanabuni maagizo ya kila sampuri katika harakati zao za kuvutia wanunuzi.
kazi ya shigongo hyoo
Kama ni kweli basi ni aina ya wakina mama wanaotafutia
watoto kwa wanganga wa kienyeji.
Haya ni mauzauza kuna mwingine nakumbuka mwaka 1979 alijifungua sungura na baadaye yule mama alifariki.
Watu wanapo acha kutegemea Yesu ambaye ni Mungu, ndio mambo kama haya yanawapata. Umesema vizuri kabisa kuwa Sarai alisubiri wake ingawa aliteleza kidogo pale alipo mpa mume wake Ruhusa na akazliwa wa jina langu.Mkuu;
si huko tu! Hata kwenda kutafuta mimba/watoto kwa wachungaji au maaskofu wa KILOKOLE ni hatari sana.
Msijaribu kabisa hayo. We komaa na hospital tuuu! Mungu yupo.
Tatizo watu tumekuwa wepesi wa imani na aapumbafu sana. SARAI (Mke wa Ibrahimu) alipata mtoto(Isaka) akiwa na umri mkubwa sana(kikongwe). Aliendelea kumtumainia Mungu.
Hata ukikosa kabisa, ndiyo mipango yake Mola. Usiweweseke!
Pia, ndugu na wanafamilia husika wajitahidi sana kuwapenda na kuwatia moyo wahanga wa matatizo ya watoto/ujauzito.
Manyanyaso na micharuko ya mawifi e.t.c ndio huwakimbiza kina mama/dada kusiko takiwa ili wapate watoto/unafuu, ndo wanaishia kwenda kupewa chatu, majini e.t.c
Utanisahihisha kesho Ishmael
Weka picha ya huyo sungura,otherwise na wewe ni Shigongo tu!!!
Amejifungulia nyumbani? Hakuna maelezo ya mkunga/daktari? Hadithi ya kijinga kabisa.Hivi haya magazeti yanasimamiwa na chombo gani kuhakikisha yanatoa habari zisizopotosha?
Mwanamke ajifungua simu aina ya galax s3 huko mbagala ntaleta picha.
..
Tutaaminije bila picha.........?....