Huyo chatu yuko wapi sasa?
Tutaaminije bila picha.........?....
Nyani Ngabu kuwadanganya watanzania wala sio kazi ilimradi tu uwaaminishe hata kama hukutoa ushahidi wataamini, ndio tabia za watanganyika wameshazoewea kudanganywa na wanapenda kudanganywa
Weka picha ya huyo sungura,otherwise na wewe ni Shigongo tu!!!Kama ni kweli basi ni aina ya wakina mama wanaotafutia
watoto kwa wanganga wa kienyeji.
Haya ni mauzauza kuna mwingine nakumbuka mwaka 1979 alijifungua sungura na baadaye yule mama alifariki.