HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,205
Yaani ni rahisi mno.
Lakini hiyo yote ni kwa sababu tunapenda kuendekeza ujinga.
Kwa mfano tu, ukitaka kuleta kizaazaa sehemu jaribu kuchukua paka halafu shingoni mfunge matambara halafu weka na kikaratasi chenye maneno ya Kiarabu (na si lazima hayo maneno yamaanishe chochote...unaweza ukaungaunga tu herufi, basi).
Halafu kabla watu wengine hawajaamka ile alfajiri kamtupe uani kwa mtu.
Hahahaaa.....naweza kukuhakikishia kuwa watu siku hiyo hawatalala. Wanaweza wakashinda hata kwa mganga wakijaribu kujua hayo maneno yanamaanisha nini.
hahaaahahaaaa!
we jamaa tumesoma wote nini?
tuliwah mfanyia hiyo kitu mwalimu wetu, alikuwa mkali hatar, vijana wakaona isiwe tabu!
huwezi amin aliumwa hadi kulazwa!!
ila from there alikuwa mpole kama karogwa tena!!!! vijana hatr sana