Ha ha ha ha haaaaaa...
Unajua na mie nimezaa mabinti, najaribu tu kuwashtua wachanganye na za kwao.....
CC: King'asti, MwanajamiiOne, Asnam, Husninyo, Cantalisia
vAcha mama yao ashughulikie hiyo mada wewe somesha lisha visha inatosha ongezea na dini basi!!!!!!
Tutashindwa mechi kabla ya kuanza; nyie ujana wenu mmefaidi saa hizi ndio busara kibao! !!!!!!
Mnatusaliti jamani seniors wetu!!!!!!!
ram najua ni ngumu lakini at least umeujua ukweli ........ LOL
v
Ndio basi tena
Nahavache mno!
Atanitambua leo
Basi nini???!!!
Hamwe nawe....
Mira usire ukakonda vukwe.........
Nashukuru kwa kunikubali habari ya hapa...Mtambuzi unatisha kuna ukweli ndani mwake mungu akupe maisha marefu aiseee!!!!!