Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,425
- 9,823
- Thread starter
- #101
Duh.! Kumbe bikira zipo tatu mkuu. Me nilikua nazijua mbili tuHakikisha ana bikra zote tatu ndiyo utoe mahari
Duh.! Kumbe bikira zipo tatu mkuu. Me nilikua nazijua mbili tuHakikisha ana bikra zote tatu ndiyo utoe mahari
Akivunja ungoMjadala wa bikra uende sambamba na umri upi ni sahihi wa Binti kuolewa.
Sheria ni msumeno inatakiwa ikate huku na huku, tunaposema mwanamke asie na bikra hastahili kutolewa mahari tunamaanisha ni wanawake wote. Hata binti yangu nikijua ni wa hovyo sipokei mahari ya mtuUkiwa unatoa ushauri jaribu kuangalia upande wa pili ndugu zako
Mama yako alkua bikra
Dada zako ni bikra
Shangazi zako ni mabikra
Mama mdgo/ mkubwa je ni mabikra
So km hao wate kwenye ukoo wenu wangeolewa bila mahari ungejizkia vp
Ni vyema kujadili mada bila kumshambulia mtoa mada. Thread haijajumuisha wala kutojumuisha ke wa familia yoyote.Ukiwa unatoa ushauri jaribu kuangalia upande wa pili ndugu zako
Mama yako alkua bikra
Dada zako ni bikra
Shangazi zako ni mabikra
Mama mdgo/ mkubwa je ni mabikra
So km hao wate kwenye ukoo wenu wangeolewa bila mahari ungejizkia vp
Nakuunga Mkono Mkuu.Inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu.
Wewe umeoa mwanamke asie bikira na hapa unajitetea kimkakati tu ila deep inside unajua umeuziwa mbuzi kwenye gunia. Ni fahari ya kila mwanaume kuoa mke bikira. Kubali umebugi hili usije kurithisha hayo mawazo ya kijinga kwa watoto wako, hii itasaidia kukata chain ya kuoa makahaba katika kizazi chako.Kwangu bikra sio kigezo cha kuoa...
Akili kubwa tuu inanitosha..
Mwanaume ana bikira acha ufaraunataka bikira na wewe ni bikira? mnataka ambao hawajaguswa wewe hujagusa mtoto wa watu?
MmmhNatafuta kazi.
Yesu alikuwa sawa alipomuokoa yule mwanamke kupigwa mawe ili are. "AMBAYE HAJAWAHI KUTENDA DHAMBI TANGU KUZALIWA NA AWE WA KWANZA KUMPIGA MAWE" Watu ni wepesi wa kuwahukumu wenzao huku wao wakiwa wachafu zaidi.unataka bikira na wewe ni bikira? mnataka ambao hawajaguswa wewe hujagusa mtoto wa watu?
AhahaaaaaNdo kwanza page ya kwanza ila Mtoa mada kavamiwa na Watu wa mlengo wa pili sio poa, umenena ukweli huna baya.
Nmelia sana aseeNikijua tu mtu anafunga ndoa na mwanamke ambae hajamkuta virgin basi ghafla naanza kumuona kama hajitambui