Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

Yaani ulikua na main na side chick halafu side chick ndiye kausha damu?

Kwanini ulitafuta side chick?
 
noma sana,

mimi alikua ananiamsha asubuhi na call au msg baada ya hapo inafata mizinga aah nikawa nampa kidg au sometimes namwambia sina anakasirika kubwa kuliko alitaka nimununulie simu ya 700k nikakwambia sina hela ukatokea ugomvi nikakwambia wewe kwenye hio lak 7 unashingp nikuongezee anasema hana nikampiga swaga hilo tukalipotezea sikununua..

Tho alivyokimbia nilifurahi sana.
 
Yaani ulikua na main na side chick halafu side chick ndiye kausha damu?

Kwanini ulitafuta side chick?
Sijaoa mkuu nae nilikuwa nimemuweka kwenye wish list ila baadae nikaona hanifai kabisa.

Kuna siku ntaleta uzi wa wish list yangu muone visa na visanga kwa sasa nimeshaselect 1 naeona ni sahihi nimetulia
 
Huyo alitaka 600K
Akashuka hadi 200K
Then 50K nikaona huyu kuna namna ananiona ngoja nimpotezee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…