Mwanamke anayekupenda huwa hivi

Mwanamke anayekupenda huwa hivi

Kwa nini tena mkuu. [emoji85] [emoji85]

Kwema kabisa namshukuru m'mungu. Habari ya jumapili?
Eeeh,,,,kuna relationship nipitiaga yan
Nlijiona nmefka paradiso Bila hata
Kusali ,,wahenga tu ndo waliharbu kwa
Kusema chenye mwanzo hakikos mwisho


Mzur kabisa kukumis tu ndyo
Mingi

Triple A
 
Eeeh,,,,kuna relationship nipitiaga yan
Nlijiona nmefka paradiso Bila hata
Kusali ,,wahenga tu ndo waliharbu kwa
Kusema chenye mwanzo hakikos mwisho


Mzur kabisa kukumis tu ndyo
Mingi

Triple A

Pole sana mkuu. Ila kuna hali fulani ikifikia hakuna jinsi zaidi ya kusonga mbele na kushukuru m'mungu kwa yote.

Nami pia mkuu. Mambo tu ndio mengi mengi na ndio sababu inayofanya hatuonani.
 
Pole sana mkuu. Ila kuna hali fulani ikifikia hakuna jinsi zaidi ya kusonga mbele na kushukuru m'mungu kwa yote.

Nami pia mkuu. Mambo tu ndio mengi mengi na ndio sababu inayofanya hatuonani.
Kabisa mkuu cha muhimun
Kutambua tu kuna maisha baada ya yote
Unayoachana nayo japo mengne haya Kuag
Ya furaha


Yes kweli kabisa pilikapilka
Za hapa na pale ndo znafanya
Tupishane as Long as uzma
Upo no problem

Triple A
 
Mwanamke akikupenda sana nayo ni matatizo.

Mtu anakukuta anajua kabisa wewe Castr ni freelancer katika hii sekta, na anakubali na kutamba kua ye mwenyewe hana shida ni freelancer mwenzako.

Wiki moja ya uhusiano anataka kucontrol kila kitu, simu, muda uanaoutumia whatsapp, muda wa kulala, gym, chakula unachokula, watu unaohusiana nao.

Mara njoo tuishi wote.

Inakera.
 
Sio kazi ngumu sana kuelewa mwanamke anaekupenda kiukweli. Mwanamke anaekupenda kweli hawezi kukuomba wewe kitu chochote bali atachohitaji kutoka kwako sana sana ni muda wako na 'attention' yako kwake.
Hayo mengine kuhusu pesa, outing, shopping na mengineyo unatakiwa kujiongeza wewe kama mwanaume na sio kubweteka na kupendwa, kwa sababu mwanamke wako anahitaji matunzo vilevile.
Anachohitaji mwanamke ni wewe tu na muda wako. Wanawake wameumbwa na moyo 'strong' lakini katika suala la mapenzi na hisia wako 'sensitive' sana. Wanahitaji kupendwa na wanahitaji kuona akijaliwa.
Mwanamke akikupenda kweli kutoka moyoni mwake atahitaji awe na wewe muda mwingi, atakutext mara kwa mara, atakupigia simu every time when she feels she wants to talk to you.
Atakuwa kama mtoto mdogo anayehitaji kupendwa, kukumbatiwa, kubebwa na kutizamwa kwa umakini.
Mpende sana mwanamke wa aina hiyo, muda mwingine aweza kuwa anakufuatilia sana mpaka unajiuliza nina 'date' na shushushu ama nini? Ila unapaswa kutambua kuwa anakupenda kwa dhati na anataka ajihakikishie kuwa yupo peke yake kwako.
Ukipata mwanamke wa aina hiyo tulia, usimuumize wachana na mitambo mingine, utazunguka bucha zote lakini nyama ni ile ile sana sana utamaliza nauli yako na nguvu zako za kuzunguka kila bucha.
daaarr ume ongea ki2 kuntu,,, itx strong poit dear,,, waeleze hao wasio jua umuhimu wa mwanamke jinsi anavyo penda,,, umenikoshaa sana,, nikimpata atakaye jali hisia zaNgu nitamganda kama ruba,, lakini nyie waanaume kwenye 200 wapo 9,,, daaarrr hongera sana kwa kulitambua hilo,, ckujua kuwa wapo wanaoume wanao lijua hilo ila ww ni mmoja wapo,,, Big Up my dear
 
daaarr ume ongea ki2 kuntu,,, itx strong poit dear,,, waeleze hao wasio jua umuhimu wa mwanamke jinsi anavyo penda,,, umenikoshaa sana,, nikimpata atakaye jali hisia zaNgu nitamganda kama ruba,, lakini nyie waanaume kwenye 200 wapo 9,,, daaarrr hongera sana kwa kulitambua hilo,, ckujua kuwa wapo wanaoume wanao lijua hilo ila ww ni mmoja wapo,,, Big Up my dear
Karibu kwangu nikupatie upendo wa kweli,katika maisha yangu sijabahatika kupendwa jmn sijui nna nin hata
 
wanawake wenyewe ndo wanaongoza kuchagua wapenzi kwahiyo nguvu ya kubalace mapenzi weka kapuni, speed hiihiii inatosha sana!!!
 
Back
Top Bottom