Mwanamke anayejiweza kimaisha

JS:

Of all the ppl, I never imagined that you are still "single"!

Anyways endelea kupambana tu kwani hata Oprah alishawahi kuolewa!

Mtoto yupo single huyu Baba Enock ni wewe tu na sera zako.
Kikubwa zaidi hajawa used kiviiiiiiile mtoto safi ila mm naogopa kutangaza nia.
 
Hapo komredi inatakiwa kumega na kulala mbele, alafu unamchuna kweli kweli huku ukiwekeza kwenu.
umeongea mkuu.........Hivi mwanamke anaekulea hata akichelewa kurudi home utasubutu hata kumkolomea..
 
Kweli kabsaa!! unajua hapa wanao tetea hoja ni kwamba wanashindwa kutofautisha..maana kuna yule mnaoa then katika maisha kutokana na hali yeye anapata kipato zaidi na mambo yanamnyookea hapo kwa sasbabu mpo kwenye ndoa nyodo zinapungua!! Ila hawa ambao unaoa kabsaa na kukuta mambo safi asee Nyodo zinazidi sana! Kuna msela wangu ana demu anazo siku iyo bana kaazima mkoko wa demu asee si tukapitia maeneo muda demu akampigia simu dah acha tu!! ilibidi turudishe gari la watu na sisi kuchukua teksi then tukaendelea kupat kilaji chetu kwa raha!! We demu mwenye nazo sio mwenzo asee!!


hommie.....now this is disgusting isnt it? nadhanai hizi nyodo ndo watu wakiziopgopa!

La msingi nadhani ni wote kuanzia from scratch hapo hata zikipatikana baadaye mnajua zinapatikana ndani ya ndoa hapo mpo wawili so hakuna shida saaana

Tatizo kwa sasa ni kwamba baadhi ya kina dada wakiwa nazo kidogo (wengine kwa kuhongwa na siye) basi full manyodo mtaani, sasa vijana lazima waogope...HAKUNA MWANAUME ANAYEPENDA KUJISIKIA INSECURE KWENYE RELATIONSHIP....


Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
 
Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
Leo nimeuliza nikajibiwa eti ni fashen....:cool:
 
hommie.....now this is disgusting isnt it? nadhanai hizi nyodo ndo watu wakiziopgopa!

La msingi nadhani ni wote kuanzia from scratch hapo hata zikipatikana baadaye mnajua zinapatikana ndani ya ndoa hapo mpo wawili so hakuna shida saaana

Tatizo kwa sasa ni kwamba baadhi ya kina dada wakiwa nazo kidogo (wengine kwa kuhongwa na siye) basi full manyodo mtaani, sasa vijana lazima waogope...HAKUNA MWANAUME ANAYEPENDA KUJISIKIA INSECURE KWENYE RELATIONSHIP....


Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?
hahaha hommie naona unatafuta ugomvi hapa!! Ishakua fasheni hii mwanawane dah sasa kuna miwani mingine bana yani unabaki kucheka tu!!
 
I beg to contradict with your view. Sio wote wenye nazo wana matatizo. unajua pia inategemea na mtu.
Wengi tunaowaona mtaani wana matatizo JS,sijawahi ona wa afadgali kati ya zaidi ya kumi ninaowafahamu,na ukiona wanadumu na wapenzi wao ujue kuwa wapenzi wao hukubaliana na kila watakalo,kuna siku nilikuwa muziki na mmoja wao akiwa na husband wake ile hus kwenda ****** na kukutana na dada wanayefahamiana na kuanza salimiana ilikuwa kosa kubwa,jamaa kufika tu akaambiwa twende nyumbani,ile jamaa kugoma tu akarushiwa msimbazi wawili na kuambiwa achukue taxi wakati anarudi,bibie akaondoka na mkoko wake taratibu!!!!!!!!!!!!Iliniuma sana
Na huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ya wadada wenye nazo.
 
Wandugu za leo,

Hivi ukikutana na mwanamke umempenda na unatamani awe wako wa milele (kumuoa) lakini unakuta bahati nzuri (au mbaya kwa wengine) huyo mwanamke yuko safi kimaisha kazi nzuri kama pesa anazo kama mali anazo pia (sio hawa wamama watu wazima hapana wadada tu wenye umri unaofaa kuolewa) utamuoa hata kama wewe huna thamani ya kiuchumi aliyo nayo?

kwa nini nimeuliza hivi, kwa sababu katika mazungumzo ya kawaida tu jana kuna rafiki yangu akaniambia watu wataogopa kutangaza nia kwangu nikiendelea kujijenga kimaisha and it got me thinking.

Sasa wanaume utamuoa tu huyo dada hata kama wewe hali yako si fresh? na wadada utakuwa bread provider kwa huyo mumeo? mapenzi yana nafasi yake na pia uwezo kiuchumi una nafasi. zamani haikuwa hivi lakini kadri siku zinavyozidi kusonga mbele mambo yanabadilika
:A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee::A S-coffee:
 
Hapo kwenye gari, jamani naomba kuuliza kwa nini kina dada/mama wengi wanaondesha magari wanavaaa miwani kubwa ya jua (tinted) hata kama alikuwa havai zamani? kuna siri gani hapo?


Wanazuia jua jamani na siri ni urembo....................:tongue:
 
Binadamu ni kinyonga. Hata wanaume wengine wanakuwa wapole wakati hawana kitu. Siku mambo yakiwa mazuri anaanza kupandisha mabega. Ingekuwa safi sana kama mnaanza pamoja na kuyashuhudia mafanikio yenu. Namna hiyo mtayafurahia. Sipendi mahusiano yenye elements kutumiana kimapato ingawa haipekuki. Binafsi sikuwahi hata siku moja kumhonga GF wangu yeyote kwani sikuwa na interest na mwanamke mwenye kulia lia njaa. Na pia wale wenye nazo hata angenambia ananipenda vipi bado kwanga haingewezekana. Ku-cross class naona ni hatari sana. Kama JS unazo basi angaza angaza macho kwa wale wa dizaini zako. Ukitafuta kijana wa Tandika anaweza kukuchefua kwa mambo mengi hata kuacha toilet yako unayoipenda sana bila ku-flush! Mimi ningeshauri nyani waishi na nyani wenzao na tumbili vile vile
 
Wanazuia jua jamani na siri ni urembo....................:tongue:
JS jua linakuwa kali wakiwa kwenye gari au hata wakati wanasaga lami kabla ya kupata hayo magari kutoka Autorec au Japanesvehicle.com?
 
Hmmmm wewe na Fidel...mbona uko naye sana leo?

Ushaanza mambo yako...........kwa sababu Fidel anakataa kwamba anaweza kukutana na mdada ambaye mambo safi na wala asimnyanyase instead akampa raha zaidi
 
Ushaanza mambo yako...........kwa sababu Fidel anakataa kwamba anaweza kukutana na mdada ambaye mambo safi na wala asimnyanyase instead akampa raha zaidi

Things that make you go hhmmmmmm.........haya bana.
 
JS jua linakuwa kali wakiwa kwenye gari au hata wakati wanasaga lami kabla ya kupata hayo magari kutoka Autorec au Japanesvehicle.com?

Linakuwa kali kotekote kwenye gari binafsi kwenye lami kwenye daladala
 
Back
Top Bottom