jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
na uendeleee tu huna namna mkuuMkuu nasikitika tuuu
na uendeleee tu huna namna mkuuMkuu nasikitika tuuu
Hahaha na bado unatafuta ungana na mwekundu mtoa mada muwe mwil mmojasana mkuu
sawa mkuuna uendeleee tu huna namna mkuu
Ni pm kaka ake nipoJamani mwekundu mbona tupo wengi tu... Hebu fumbua macho utuwone bana
vzr kuelewa kwa uwepesi.sawa mkuu
AHSANTE BOSSKUNA MKAKA KIPINDI NIMEANZA KAZI NIKAWA NATAFUTA NYUMBA ANA BONGE LA MJUMBA MBEZI BEACH HUKU NIKAMUOMBA ANIPANGISHIE AKAGOMA AKAWA ANANIONA MSHAMBA MADHARAU KIBAO SIJUI UTAWEZA KUNILIPA BLAH BLAH
MUNGU SIO RASHID BOSS WANGU AKANIPA NYUMBA JIRANI YAKE KILA SIKU ANANITONGOZA ANADAI NARINGA SANA
UKIWA NA SHIDA HUPATI MTU

Lazima unalipa sana hadi mtu anatoa nyumba!hapana mwenye kampuni kabisa
wala hajawai nitongozaLazima unalipa sana hadi mtu anatoa nyumba!
Wako wapi?au napishana nao nini?Niko nao mtaa tofauti?yaani wanawake ninao date nao mimi siku akikuchangamkia either atahitaji hela very soon au umetoka kumgea hela
Aisee Mungu anawaona wanawake mnaroho ngumu sana,wanasema kumuelewa msichana ni ngumu ila kuwa tu na hela utamsoma,mapenzi siku hizi yanamahusiano ambayo ni transaction hupati penzi hadi utoe hamasa huu ni mtazamo wangu 90% japo sio wote ,
kuna haja ya kufanya utafiti wa kina relationship kati na mapenzi na fedha au utajiri na hii sometimes ipo hata kwa wanaume lakini % chache sana
Ukimpata mwanamke anayekupenda kwa hali yoyote na kukujali usimuache!!
MH SERA ZAKO NIMEZIKUBARI AISEEEE.mwekundu nipo hapa au hunioni??? Nina mapenzi ya dhati na sina tamaa hata kidogo najua kuridhika na hali yeyote ile.
Nipo nashangaa tu hunioniHa ha upo?
Yeah...nakuona...magoli ya mbaliHuu ni mtego tu!!