Mwanamke anayejali na kupenda

Mwanamke anayejali na kupenda

Nimependa courage yako pia. I think you can win if utang'ang'ana kwa mahesabu.
Mkuu niombee tu na ikiwezekana unisadie uwe mshenga, nakuhakikishia sitakuangusha
 
Wako wapi?au napishana nao nini?Niko nao mtaa tofauti?yaani wanawake ninao date nao mimi siku akikuchangamkia either atahitaji hela very soon au umetoka kumgea hela

Aisee Mungu anawaona wanawake mnaroho ngumu sana,wanasema kumuelewa msichana ni ngumu ila kuwa tu na hela utamsoma,mapenzi siku hizi yanamahusiano ambayo ni transaction hupati penzi hadi utoe hamasa huu ni mtazamo wangu 90% japo sio wote ,

kuna haja ya kufanya utafiti wa kina relationship kati na mapenzi na fedha au utajiri na hii sometimes ipo hata kwa wanaume lakini % chache sana
Ukimpata mwanamke anayekupenda kwa hali yoyote na kukujali usimuache!!
Si utani hata kidogo
 
Mkuu njoo Pm tumalizane maana nikitangaza hapa Mwekundu anaweza panda juu afu ukaniacha nalia na majonzi
sitaki la mafichoni mie, wewe panda dau lako hapahapa, mwekundu akija nitakutonya amesema ngapi halafu wewe uongeze.

hahahhahahahaha hapa ni dau lililo juu ndilo litatazamwa
 
sitaki la mafichoni mie, wewe panda dau lako hapahapa, mwekundu akija nitakutonya amesema ngapi halafu wewe uongeze.

hahahhahahahaha hapa ni dau lililo juu ndilo litatazamwa
Mkuu nikisema dau langu hapa tunaweza kumharibu huyu tunaetaka kuwa nae. wewe njoo PM tumalizane tafadhali.
 
Mkuu nikisema dau langu hapa tunaweza kumharibu huyu tunaetaka kuwa nae. wewe njoo PM tumalizane tafadhali.
haaaa sitaki tena ushenga naona unataka kuleta mambo ya rushwa wewe.

Rushwa ni adui wa afya mkuu. Anyway ili usiniingize kwenye hili sakata endelea tu mwenyewe.
 
haaaa sitaki tena ushenga naona unataka kuleta mambo ya rushwa wewe.

Rushwa ni adui wa afya mkuu. Anyway ili usiniingize kwenye hili sakata endelea tu mwenyewe.
Sawa Mkuu Ahsante kwa kunikana hadharani
 
KUNA MKAKA KIPINDI NIMEANZA KAZI NIKAWA NATAFUTA NYUMBA ANA BONGE LA MJUMBA MBEZI BEACH HUKU NIKAMUOMBA ANIPANGISHIE AKAGOMA AKAWA ANANIONA MSHAMBA MADHARAU KIBAO SIJUI UTAWEZA KUNILIPA BLAH BLAH
MUNGU SIO RASHID BOSS WANGU AKANIPA NYUMBA JIRANI YAKE KILA SIKU ANANITONGOZA ANADAI NARINGA SANA
UKIWA NA SHIDA HUPATI MTU
Kuna mabosi wana roho nzuri.
 
sijakukana ila nimesema ukweli.

ukileta dau hapa mambo yataenda sawa.

hhahahahhahahaha
Sawa Mkuu maana naona chemba nako umenifukuza. ahsante kwa kuninyanyapaa. ila Mungu anakuona
 
Back
Top Bottom