Mwanamke anayejali na kupenda

Mwanamke anayejali na kupenda

Tatizo mnatembea na mke wa mtu. Hao wote ulokwishatembea naomba unadhani Mungu alikuumbia wewe tu? Kuna wanaume ambao hao wapenzi wako wanatakiwa kuwajali na kuwapenda, ukipata wa kwako hatakusumbua kabisa.
Kwa hiyo unataka kuniambia kila mtu kaumbiwa wake?
 
Watu wanaolalamika kuombwa hela, ni hawa ambao hata hela hawajui kutafuta, hela walizonazo ni ile mizinga wanayopiga wazazi wao, basi wallah tena lazima muone mnachunwa. Kumbe ni wajibu wa mwanamume kuhudumia mpnz wake.
 
Wanaume wasio na hela utawajua Tu...kuuutwa kulalamika...em tafuteni hela huko unadhani wanawake wanapendeza kwa kutumia mawe
 
hahaaaa...!wapo sana sema huwaoni kulingana na namna unavyoapproach

nyie mnataka maduu,wanaojua kuvaa mnaokutana nao maeneo flani 'amaizing'...wanakula baga na eggchops!

Mshawakuta wamependezeshwa tayari...

Kubalini tu matokeo vijana!!
KUNA MKAKA KIPINDI NIMEANZA KAZI NIKAWA NATAFUTA NYUMBA ANA BONGE LA MJUMBA MBEZI BEACH HUKU NIKAMUOMBA ANIPANGISHIE AKAGOMA AKAWA ANANIONA MSHAMBA MADHARAU KIBAO SIJUI UTAWEZA KUNILIPA BLAH BLAH
MUNGU SIO RASHID BOSS WANGU AKANIPA NYUMBA JIRANI YAKE KILA SIKU ANANITONGOZA ANADAI NARINGA SANA
UKIWA NA SHIDA HUPATI MTU
 
Dawa yao ni ndogo tu....kila ukimpa hela ajue lazima umgegede kama hataki alale mbele..japo kumgegeda kila aombapo hela humkomoi maana ni jukumum lake kukupa.
 
KUNA MKAKA KIPINDI NIMEANZA KAZI NIKAWA NATAFUTA NYUMBA ANA BONGE LA MJUMBA MBEZI BEACH HUKU NIKAMUOMBA ANIPANGISHIE AKAGOMA AKAWA ANANIONA MSHAMBA MADHARAU KIBAO SIJUI UTAWEZA KUNILIPA BLAH BLAH
MUNGU SIO RASHID BOSS WANGU AKANIPA NYUMBA JIRANI YAKE KILA SIKU ANANITONGOZA ANADAI NARINGA SANA
UKIWA NA SHIDA HUPATI MTU
aibu yake mwenyewe!!

yani Leo ndo anakuona wa thamani....!!

ashachelewa!!!
 
basi kuanzia leo wewe ni wangu. ila kila ukifanya tofauti nakuonesha hii comment yako
Wambeke umenichekesha, aambiwe Mwekundu wewe udakie kuwa ni wako. kwani amewaambia wote au?

nieleweshe tu maana huenda sijamsoma vizuri.
 
Wambeke umenichekesha, aambiwe Mwekundu wewe udakie kuwa ni wako. kwani amewaambia wote au?

nieleweshe tu maana huenda sijamsoma vizuri.
Mkuu watu kama hawa ni Adhimu sana sasa unapoona anajitokeza hadharani kusema hana makuu lazima tufanye juu chini kummiliki sasa mimi ntapambana na na MWEKUNDU katika hili
 
Mkuu watu kama hawa ni Adhimu sana sasa unapoona anajitokeza hadharani kusema hana makuu lazima tufanye juu chini kummiliki sasa mimi ntapambana na na MWEKUNDU katika hili
Nimekukubali mkuu. all da best
 
Mkuu watu kama hawa ni Adhimu sana sasa unapoona anajitokeza hadharani kusema hana makuu lazima tufanye juu chini kummiliki sasa mimi ntapambana na na MWEKUNDU katika hili
Nimependa courage yako pia. I think you can win if utang'ang'ana kwa mahesabu.
 
Back
Top Bottom